picha

Yajue magonjwa ya jicho

Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya jicho,ni Magonjwa ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za jicho kwa mfano kwenye retina,kuaribu mishipa ya retina ,macho kuwa makavu na pia mtoto wa jicho, hali hii ya magonjwa ya macho Usababisha madhara mbalimbali kama

Magonjwa ya jicho.

1. Kuharibka kwa retina .

Kuaribika kwa retina kwa kitaalamu huitwa macula, tunajua wazi kwamba retina ndiyo sehemu muhimu ambayo Usababisha kusafilisha mwanga mpaka kwenye ubongo ili mtu aweze kutambua na kuona kwa hiyo retina ikiaribika tunaweza kupata upofu kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha kuwa tunatumia macho yetu vizuri ili kuweza kuepuka madhara mbalimbali.

 

2. Kuaribika kwa mfumo wa kupeleka picha kwenye ubongo ambayo kwa kitaalamu huitwa Glaucoma

Kuna wakati mwingine kuna wakati mfumo wa kupeleka picha kwenye ubongo uharibika, tunajua wazi kuwa ili mtu aweze kupona anapaswa kuwa na sehemu hii na iwe nzima pakitokea shida yoyote kuona kunakuwa kwa shida na matibabu yasipotolewa tunaweza kupata upofu.

 

3. Kuaribika kwa mishipa ya retina.

Kuna wakati mwingine mishipa ya retina uharibika na kushindwa kufanya kazi vizuri kwa hiyo mtu mwenye tatizo hili uona kwa shida hasa hasa matatizo haya uwapata watu wenye ugonjwa wa kisukari kwa hiyo wanaweza kutumia miuani na maisha yanaenda kawaida.

 

4. Macho kuwa makavu.

Kwa wakati mwingine macho yanakuwa makavu kwa sababu sehemu inayozalisha maji maji huwa na matatizo kwa hiyo macho utoa Matongo tongo hali hii ikitokea inaweza kupona kwa hiyo ni vizuri kuwahi hospitalini.

 

5. Mtoto wa jicho kushambuliwa.

Tunajua kuwa kwenye jicho huwa kuna mtoto wa jicho ambaye anaweza kufanya kazi mbalimbali kwenye kuona kwa hiyo huyu alishambuliwa uleta madhara ya jicho kuona vizuri.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1678

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 web hosting     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Nini sababu ya kuchubuka midomo na kuwa myeupe

Kama una tatizo la midomo kuchubuka na kuwa myeupe ama kuwa na vidonda. Post hii inakwenda kuangalia swala hili.

Soma Zaidi...
Uwepo wa asidi nyingi mwilini

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kuwepo kwa asidi nyingi mwilini hali uwasumbua watu wengi na kufikia kiasi cha kusababisha madhara mengine mawilini ikiwamo pamoja na kansa ya koo, ili kujua kama una wingi wa asildi mwilini unapaswa kujua dalili kama ifu

Soma Zaidi...
Kichwa kinaniuma mbele sielewi nini

Zijuwe sababu za kuumwa nankichwa upande mmoja wa kichwa.

Soma Zaidi...
Bawasili usababishwa na nini?

Posti hii inahusu zaidi visababishi vya ugonjwa wa Bawasili,kuna watu wengi wanapenda kujua kabisa chanzo cha kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii na kuna maswali mengi yanayoulizwa kuhusu visababishi vya Bawasili.

Soma Zaidi...
Matatizo yanayosababisha mshtuko wa moyo.

Mshtuko wa moyo hutokea wakati mtiririko wa damu kwa moyo umezuiwa, mara nyingi kwa mkusanyiko wa mafuta, cholesterol na vitu vingine, ambayo huunda plaque katika mishipa inayolisha moyo (mishipa ya moyo). Mtiririko wa damu ulioingiliwa unaweza kuharibu

Soma Zaidi...
Dalili za saratani ya koo

Saratani ya Koo inarejelea Vivimbe vya Saratani vinavyotokea kwenye koo lako (koromeo), sanduku la sauti (larynx) au tonsils.

Soma Zaidi...