Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya jicho,ni Magonjwa ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za jicho kwa mfano kwenye retina,kuaribu mishipa ya retina ,macho kuwa makavu na pia mtoto wa jicho, hali hii ya magonjwa ya macho Usababisha madhara mbalimbali kama
Magonjwa ya jicho.
1. Kuharibka kwa retina .
Kuaribika kwa retina kwa kitaalamu huitwa macula, tunajua wazi kwamba retina ndiyo sehemu muhimu ambayo Usababisha kusafilisha mwanga mpaka kwenye ubongo ili mtu aweze kutambua na kuona kwa hiyo retina ikiaribika tunaweza kupata upofu kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha kuwa tunatumia macho yetu vizuri ili kuweza kuepuka madhara mbalimbali.
2. Kuaribika kwa mfumo wa kupeleka picha kwenye ubongo ambayo kwa kitaalamu huitwa Glaucoma
Kuna wakati mwingine kuna wakati mfumo wa kupeleka picha kwenye ubongo uharibika, tunajua wazi kuwa ili mtu aweze kupona anapaswa kuwa na sehemu hii na iwe nzima pakitokea shida yoyote kuona kunakuwa kwa shida na matibabu yasipotolewa tunaweza kupata upofu.
3. Kuaribika kwa mishipa ya retina.
Kuna wakati mwingine mishipa ya retina uharibika na kushindwa kufanya kazi vizuri kwa hiyo mtu mwenye tatizo hili uona kwa shida hasa hasa matatizo haya uwapata watu wenye ugonjwa wa kisukari kwa hiyo wanaweza kutumia miuani na maisha yanaenda kawaida.
4. Macho kuwa makavu.
Kwa wakati mwingine macho yanakuwa makavu kwa sababu sehemu inayozalisha maji maji huwa na matatizo kwa hiyo macho utoa Matongo tongo hali hii ikitokea inaweza kupona kwa hiyo ni vizuri kuwahi hospitalini.
5. Mtoto wa jicho kushambuliwa.
Tunajua kuwa kwenye jicho huwa kuna mtoto wa jicho ambaye anaweza kufanya kazi mbalimbali kwenye kuona kwa hiyo huyu alishambuliwa uleta madhara ya jicho kuona vizuri.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa tauni ambao kwa kitaalamu huitwa plague ni Ugonjwa unaosababishwa na wadudu ambao huitwa kitaalamu huitwa yersinia pestis ambao ukaa ndani ya panya.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Ujue ugonjwa wa Njia ya mkojo unaoitwa urethra stricture. Ambapo kwenye hii posti inaonyesha dalili na Sababu zinazopelekea Njia ya mkojo kuwa ngumu,nyembamba,na kovu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi msaada kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa, ni huduma anayopewa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa.
Soma Zaidi...Malengelenge sehemu za siri ni maambukizi ya kawaida ya zinaa ambayo huathiri wanaume na wanawake. Makala ya malengelenge sehemu za siri ni pamoja na maumivu, kuwasha na vidonda katika sehemu yako ya uzazi. Lakini huenda usiwe na dalili au ishara za mal
Soma Zaidi...Post yetu ya Leo inaenda kutufundisha kuhusiana na uvimbe wa korodani moja au ambayo kitaalamu huitwa EPIDIDYMITIS. EPIDIDYMITIS ni ugonjwa unaoathiri mfumo wa kiume wa uzazi. Epididymis ni mrija (tube) uliyoko nyuma ya korodani ambayo mbegu za kiume
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa madhara ya minyoo kwenye mwili wa binadamu. Yafuatayo Ni madhara ya minyoo;
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi ajalia ambazo utokea kwenye kifua Kwa kitaalamu huitwa chest injury,Kwa kawaida kwenye kifua kua sehemu mbalimbali kama vile mapafu,moyo,koo na sehemu mbalimbali, sehemu hizi uweza kupata ajali na kusababisha madhara makubwa,Kwa hiy
Soma Zaidi...Mshtuko wa moyo hutokea wakati mtiririko wa damu kwa moyo umezuiwa, mara nyingi kwa mkusanyiko wa mafuta, cholesterol na vitu vingine, ambayo huunda plaque katika mishipa inayolisha moyo (mishipa ya moyo). Mtiririko wa damu ulioingiliwa unaweza kuharibu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kupungukiwadamu, ni dalili zinazoonekana kwa mtu Mwenye tatizo la upungufu wa damu.
Soma Zaidi...