Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya jicho,ni Magonjwa ambayo ushambulia sehemu mbalimbali za jicho kwa mfano kwenye retina,kuaribu mishipa ya retina ,macho kuwa makavu na pia mtoto wa jicho, hali hii ya magonjwa ya macho Usababisha madhara mbalimbali kama
Magonjwa ya jicho.
1. Kuharibka kwa retina .
Kuaribika kwa retina kwa kitaalamu huitwa macula, tunajua wazi kwamba retina ndiyo sehemu muhimu ambayo Usababisha kusafilisha mwanga mpaka kwenye ubongo ili mtu aweze kutambua na kuona kwa hiyo retina ikiaribika tunaweza kupata upofu kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha kuwa tunatumia macho yetu vizuri ili kuweza kuepuka madhara mbalimbali.
2. Kuaribika kwa mfumo wa kupeleka picha kwenye ubongo ambayo kwa kitaalamu huitwa Glaucoma
Kuna wakati mwingine kuna wakati mfumo wa kupeleka picha kwenye ubongo uharibika, tunajua wazi kuwa ili mtu aweze kupona anapaswa kuwa na sehemu hii na iwe nzima pakitokea shida yoyote kuona kunakuwa kwa shida na matibabu yasipotolewa tunaweza kupata upofu.
3. Kuaribika kwa mishipa ya retina.
Kuna wakati mwingine mishipa ya retina uharibika na kushindwa kufanya kazi vizuri kwa hiyo mtu mwenye tatizo hili uona kwa shida hasa hasa matatizo haya uwapata watu wenye ugonjwa wa kisukari kwa hiyo wanaweza kutumia miuani na maisha yanaenda kawaida.
4. Macho kuwa makavu.
Kwa wakati mwingine macho yanakuwa makavu kwa sababu sehemu inayozalisha maji maji huwa na matatizo kwa hiyo macho utoa Matongo tongo hali hii ikitokea inaweza kupona kwa hiyo ni vizuri kuwahi hospitalini.
5. Mtoto wa jicho kushambuliwa.
Tunajua kuwa kwenye jicho huwa kuna mtoto wa jicho ambaye anaweza kufanya kazi mbalimbali kwenye kuona kwa hiyo huyu alishambuliwa uleta madhara ya jicho kuona vizuri.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowPosti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kupatikana ikiwa mwili unaweza kujaa sumu, kwa sababu mwili unapaswa kuwa huru Ili kuweza kufanya vizuri kazi yake ila ikiwa utajaa Sumu Kuna hatari mbalimbali zinaweza kutokea kama vile.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na was Uharibifu wa seli nyekundu za damu ambapo hujulikana Kama Ugonjwa wa Hemolytic uremic (HUS) ni hali inayotokana na uharibifu usio wa kawaida wa seli nyekundu za damu mapema. Mara tu mchakato huu unapoanza, seli nye
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Saratani inahusu ugonjwa wowote kati ya idadi kubwa ya magonjwa ambayo yanaonyeshwa na ukuaji wa seli zisizo za kawaida ambazo hugawanyika bila kudhibitiwa na kuwa na uwezo wa kupenya na kuharibu tishu za kawaida za mwili. Saratani mara nyingi ina uwezo
Soma Zaidi...Mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi hujitokeza sehemu yenye jeraha pia huonyesha wekundu wenye upele,Uvimbe na malengelenge.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake
Soma Zaidi...Pumu ni ugonjwa wa njia ya upumuaji unaojulikana na kizuizi cha muda mrefu cha njia ya upumuaji. Inahusisha mfumo wa upumuaji unaobana njia ya hewa, Inaweza kuwa ya nje (hii hutokea kwa vijana kutokana na mizio) au ya ndani (hutokea kwa wazee)
Soma Zaidi...Utakapofanya ngono na aliyeathirika haimaanishi na wewe kuwa lazima utakuwa umeathirika. Kuathirika kuna mambo mengi lazima yafanyike.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa kiungulia, kiungulia ni kitendo cha kupanda kwa gesi kutoka kwenye tumbo mpaka kwenye mdomo,hali uwasumbua wengi na kusababisha hali isiyo rafiki.
Soma Zaidi...NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO Kwa kuwa tumekwisha kuona namna ambavyo minyoo huenezwa, hivyo basi ni rahisi sasa kutaja namna ya kubambana na minyoo.
Soma Zaidi...