Hernia
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa hernia
Kuwa na henia hutokea pale shehemu ya ya ndani ya tumbo inaponasa kwenye misuli nsani ya tumbo na kupelekea maumivu. Dalili za henia ni pamoja na:-
A.Kuvumba kwa sehemu husika
B.Kuongezeka kwa maumivu
C.Mamivu wakati unaponyanyua kitu, unapocheka, unapolia ama unapokohoa
D.Kuhisi tumbo kushiba, ama kukosa choo.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Kitabu cha Afya π2 kitabu cha Simulizi π3 Dua za Mitume na Manabii π4 Simulizi za Hadithi Audio π5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi
Kiufipi posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi
Soma Zaidi...Mambo Yanayoharibu Mahusiano Kimya Kimya
βMahusiano mengi hayavunjiki kwa sababu ya matukio makubwa ya ghafla, bali kwa sababu ya mambo madogo yanayokusanyika kwa muda na kusababisha mmomonyoko wa upendo na uaminifu. Makala hii inachunguza "wauaji wa mahusiano" wasioonekana waziwazi na namna ya kuwazuia kabla hayajafika mwisho.
Soma Zaidi...Njia za kuzuia Ugonjwa wa tauni.
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepuka Ugonjwa wa raundi.
Soma Zaidi...Visababishi vya maambukizi kwenye milija na ovari
Posti hii inahusu zaidi visababishi vya maambukizi kwenye milija na, ni mambo yanayosababisha maambukizi kwenye milija na ovari.
Soma Zaidi...