Ujuwevmv ugonjwa Nimonia na dalili zake

Nimonia ni Hali ya kuvimba pafu inayoathiri hasa vifuko vya hewa viitwavyo Alveoli, husababishwa na Maambukizi ya virusi

Dalili za Nimonia

1.joto la mwili kushuka

2.kikohozi

3,mwili kuchoka

4.homa za mara kwa mara

Visababishi vya ugonjwa huu

-virusi

-baktaria

Walio katika hatari ya kupata ugonjwa huu ni wafuatao.

-watoto wadogo chini ya miaka mitano hasa

-wazee 

-ambao kinga zao ziko chini

-wavutaji wa sigara

-watumiaji wavilei vikali

Visababishi  vya ugonjwa huu  ni zifuatazo

1.bakteria

2.virusi

Namna ya kuepuka ugonjwa huu

1.kuepuka uvutaji wa sigara

2.kuachana na vileo vikali

3.kutumia vyakula vinavyoongeza kinga

4.kufanya mazoezi

Pamoja na kuwepo kwa ugonjwa huu tunapaswa kwenda hospitalini mara moja Ili kuepuka madhara makubwa yanayoweza kujitokeza.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2021/11/17/Wednesday - 07:37:54 am     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 857

Post zifazofanana:-

Zijue sababu za kupungukiwa damu mwilini
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima. Soma Zaidi...

Huduma kwa wanaopata hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi
Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wanaoingia kwenye siku zao zaidi ya mara moja kwa mwezi. Soma Zaidi...

Njia za kukabiliana na presha ya kushuka
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kukabiliana na presha ya kushuka Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa mtu anayetokwa na damu ya pua
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu anayetokwa na damu ya pua Soma Zaidi...

Namna ya kujikinga na kifua kikuu
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia au kujikinga na kifua kikuu, hizi ni njia ambazo utumika ili kujikinga na kifua kikuu Soma Zaidi...

Aina za vidonda.
Posti hii inahusu zaidi aina kuu za vidonda,kuna aina kuu tatu za vidonda ambapo kila aina utumiwa kwa njia yake kama tutakavyoona hapo chini. Soma Zaidi...

Dawa za mitishamba za kutibu meno
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa za mitishamba za kutibu meno Soma Zaidi...

Dalili za kuvunjika kwa nyonga
Kuvunjika kwa nyonga ni jeraha kubwa, na matatizo ambayo yanaweza kuhatarisha maisha. Hatari ya kupasuka kwa nyonga huongezeka na umri. Soma Zaidi...

Mabadiliko ya Matiti kwa Mama mjamzito
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye Matiti kwa Mama mjamzito, hali hii utokea pale ambapo mama akibeba mimba Kuna mabadiliko kwenye Matiti kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

Jifunze jinsi ya kumsaidia mwenye kifafa
Kifafa hakiambukizi na ugonjwa wa ubongo lakini kifafa pia hakiathiri akili au ubongo Ila kikiwa kifafa Cha kudumu na Cha nguvu ndio huweza kuadhiri. Pia Kuna kifafa Cha mimba na kifafa Cha kawaida.kifafa Cha mimba ndio kinahatari Sana kuliko Cha Kawaida. Soma Zaidi...

Choo kisichokuwa cha kawaida
Posti hii inahusu zaidi Aina ya choo kisichokuwa cha kawaida, ni dalili za choo ambacho siyo Cha kawaida, Ina maana ukiona dalili za choo Cha Aina hii ni vizuri kwenda hospitalini Ili kupata matibabu. Soma Zaidi...

Dalili na Ishara za upungufu wa muunganisho wa macho.
posti hii inaonyesha dalili za upungufu wa muunganisho wa macho. Upungufu wa muunganisho hutokea wakati macho yako hayafanyi kazi pamoja unapojaribu kuangazia kitu kilicho karibu nawe. Unaposoma au kutazama kitu kilicho karibu, macho yako yanahitaji kugeuka ndani pamoja (kuungana) ili kuzingatia. Hii hukupa maono ya darubini, kukuwezesha kuona picha moja. Soma Zaidi...