Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za uvimbe kwenye kizazi, uvimbe unatokea kwenye kizazi ila utofautiana kulingana na sehemu ambazo uvimbe huo umepata.
Aina za uvimbe kwenye kizazi.
1. Uvimbe kwenye kuta za mji wa mimba.
Aina hizi ya uvimbe kwa kitaalamu huitwa intramular mara nyingi uwa kwenye mlango wa kutokea kizazi inaweza kutokea kama mama amebeba Mimba na uvimbe ni kidogo kadri mtoto anavyokuwa na uvimbe unakua hatimaye wakati wa mtoto kuzaliwa ndipo uvimbe huu unaweza kugundulika.
2. Kuna uvimbe ambao utokea nje ya kuta za mji wa mimba, mara nyingi uvimbe huu huwa mkubwa na pia hauwezi kuingilia na pale mtoto alipo wakati wa kukua kwa hiyo uvimbe huu unaweza kuhadhili zaidi sehemu za nje ya mji wa mimba.uvimbe huu kwa kitaalamu huitwa subserosal fibroids
3. Kuna uvimbe mwingine utokea kwenye misuli chini ya ngozi laini ya kuta za mji wa Mimba.
Uvimbe huu kwa kitaalamu huitwa submucosal fibroids uvimbe kwa upande mwingine huu uvimbe haishambulii kwenye ndani ya mji wa mimba kwa hiyo uweza kuaribu sehemu mbalimbali za mwili.
4. Kuna uvimbe mwingine ambaye utokea kwenye mlango wa kizazi.
Huu uvimbe uwa karibu sana na mlango na tumbo la uzazi pia uvimbe unaweza kufanyiwa upasuaji na pia mtoto ambaye yuko tumboni anaweza kuishi kawaida na kuendelea na maisha kwa hiyo uvimbe huu kwa kitaalamu huitwa cervical fibroids.
5. Kwa hiyo hizi ndizo aina kuu za uvimbe ambazo zinaweza kujitokeza na pia zingine zinaweza kuishi kwa mda mrefu tumboni na kutoaribu mtoto kwa hiyo tunapaswa kujua aina hizi kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa baada ya kugundua kuwa kuna uvimbe wanapaswa kufanyiwa upasuaji na kuruhusu mama apate mimba au wasio na watoto waweze kupata mimba.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba kuanzia siku ya 7 Hadi ya 14
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi msaada au namna ya kuwahudumia wale wasioona hedhi na wamefikiwa kwenye umri wa kuweza kuona hedhi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mda ambao mama anapaswa kukaa bila kufanya tendo la ndoa mara tu baada ya kujifungua.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo tunapaswa kujua au kufahamu kuhusu mbegu za kiume, kwa kuwa mbegu za kiume usaidia katika utungaji wa mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kuzitunza Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa s
Soma Zaidi...Hii ni hali inayowapata wanaume kushindwa kuhimili tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi fangasi za ukeni, hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba watoto, akina dada na wanawake kwa hiyo na vizuri kujua Dalili zake na kuweza kuchukua hatua mapema.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kutumia njia za uzazi wa mpango, Ni watu ambao Wana matatizo mbalimbali endapo wakitumia wanaoweza kuleta madhara mbalimbali.
Soma Zaidi...Nini humaanisha kama chuchu zinauma na hupati period mwanaidi mrefu.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukupa sababu zinazoweza kupelekea uke kuwa mkavu yaani kukosa majimaji wakati wa kufanya tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Kama unadhani una tatizo la kuwahi kufika kileleni basi post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...