Aina za uvimbe kwenye kizazi.

Aina za uvimbe kwenye kizazi.

Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za uvimbe kwenye kizazi, uvimbe unatokea kwenye kizazi ila utofautiana kulingana na sehemu ambazo uvimbe huo umepata.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Aina za uvimbe kwenye kizazi.

1. Uvimbe kwenye kuta za mji wa mimba.

Aina hizi ya uvimbe kwa kitaalamu huitwa intramular mara nyingi uwa kwenye mlango wa kutokea kizazi inaweza kutokea kama  mama amebeba Mimba na uvimbe ni kidogo kadri mtoto anavyokuwa na uvimbe unakua hatimaye wakati wa mtoto kuzaliwa ndipo uvimbe huu unaweza kugundulika.

 

2. Kuna uvimbe ambao utokea nje ya kuta za mji wa mimba, mara nyingi uvimbe huu huwa mkubwa na pia hauwezi kuingilia na pale mtoto alipo wakati wa kukua kwa hiyo uvimbe huu unaweza kuhadhili zaidi sehemu za nje ya mji wa mimba.uvimbe huu kwa kitaalamu huitwa subserosal fibroids 

 

3. Kuna uvimbe mwingine utokea kwenye misuli chini ya ngozi laini ya kuta za mji wa Mimba.

Uvimbe huu kwa kitaalamu huitwa submucosal fibroids uvimbe kwa upande mwingine huu uvimbe haishambulii kwenye ndani ya mji wa mimba kwa hiyo uweza kuaribu sehemu mbalimbali za mwili.

 

4. Kuna uvimbe mwingine ambaye utokea kwenye mlango wa kizazi.

Huu uvimbe uwa karibu sana na mlango na tumbo la uzazi pia uvimbe unaweza kufanyiwa upasuaji na pia mtoto ambaye yuko tumboni anaweza kuishi kawaida na kuendelea na maisha kwa hiyo uvimbe huu kwa kitaalamu huitwa cervical fibroids.

 

5. Kwa hiyo hizi ndizo aina kuu za uvimbe ambazo zinaweza kujitokeza na pia zingine zinaweza kuishi kwa mda mrefu tumboni na kutoaribu mtoto kwa hiyo tunapaswa kujua aina hizi kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa baada ya kugundua kuwa kuna uvimbe wanapaswa kufanyiwa upasuaji na kuruhusu mama apate mimba au wasio na watoto waweze kupata mimba.

 

 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2619

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama.
Malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama.

Posti huu inahusu zaidi malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama, ni huduma muhimu ambazo zimetolewa kwa akina Mama ili kuweza kuepuka hatari mbalimbali zinazowakumba akina Mama wakati wa ujauzito, kujifu na malezi ya watoto chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Aina mbalimbali za mimba kutoka.
Aina mbalimbali za mimba kutoka.

Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za mimba kutoka, hizi ni jinsi mimba inavyoonyesha dalili za kutoka na nyingine zinaweza kuonyesha dalili Ila kwa sababu ya huduma mbalimbali za kwanza hizo mimba zinaweza kudhibiiwa na mtoto akazaliwa.

Soma Zaidi...
Huduma kwa wanaopata hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi
Huduma kwa wanaopata hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi

Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wanaoingia kwenye siku zao zaidi ya mara moja kwa mwezi.

Soma Zaidi...
Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.
Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.

Posti hii inaelezea kiufupi kabisa kuhusiana na Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.

Soma Zaidi...
Mambo yanayodhihirisha afya ya nguvu za kiume
Mambo yanayodhihirisha afya ya nguvu za kiume

Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali yanayodhoofisha afya za wanaume, kwa wakati mwingine wanaume ukosa kujiamini kwa sababu ya mambo ambayo yanaadhiri afya za wanaume.

Soma Zaidi...
Tiba ya awali  kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID
Tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID

Posti hii inahusu zaidi tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID, tunaita tiba ya awali kwa sababu baada ya kupima na kugunduliwa kwamba una tatizo au changamoto ya PID ni vizuri kutumia tiba hiii baadae ndipo utumie dawa.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kunyonyesha kwa Mama
Umuhimu wa kunyonyesha kwa Mama

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha kwa akina Mama, kunyonyesha ni kitendo ambacho Mama utumia maziwa yake na kumlisha mtoto pindi tu anapozaliwa mpaka wakati anapoachishwa titi, kunyonyesha huwa na faida kubwa kwa wote yaani Mama na mtoto, zif

Soma Zaidi...
Kiwango cha juu cha Androgen
Kiwango cha juu cha Androgen

Posti hii inahusu zaidi homoni ya androgen, ni homoni ambayo imo kwa wanaume na ikizidi kwa kiwango chake inaweza kuleta shida kwenye mwili wa binadamu kwa hiyo homoni hii inaweza kuleta shida iwapo ikiongezeka kwa kiasi kikubwa.

Soma Zaidi...
Changamoto kubwa za tendo la ndoa kwa wanaume
Changamoto kubwa za tendo la ndoa kwa wanaume

Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao

Soma Zaidi...
Watu ambao hawapaswi kutumia njia za uzazi wa mpango
Watu ambao hawapaswi kutumia njia za uzazi wa mpango

Post hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kutumia njia za uzazi wa mpango, Ni watu ambao Wana matatizo mbalimbali endapo wakitumia wanaoweza kuleta madhara mbalimbali.

Soma Zaidi...