Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za uvimbe kwenye kizazi, uvimbe unatokea kwenye kizazi ila utofautiana kulingana na sehemu ambazo uvimbe huo umepata.
Aina za uvimbe kwenye kizazi.
1. Uvimbe kwenye kuta za mji wa mimba.
Aina hizi ya uvimbe kwa kitaalamu huitwa intramular mara nyingi uwa kwenye mlango wa kutokea kizazi inaweza kutokea kama mama amebeba Mimba na uvimbe ni kidogo kadri mtoto anavyokuwa na uvimbe unakua hatimaye wakati wa mtoto kuzaliwa ndipo uvimbe huu unaweza kugundulika.
2. Kuna uvimbe ambao utokea nje ya kuta za mji wa mimba, mara nyingi uvimbe huu huwa mkubwa na pia hauwezi kuingilia na pale mtoto alipo wakati wa kukua kwa hiyo uvimbe huu unaweza kuhadhili zaidi sehemu za nje ya mji wa mimba.uvimbe huu kwa kitaalamu huitwa subserosal fibroids
3. Kuna uvimbe mwingine utokea kwenye misuli chini ya ngozi laini ya kuta za mji wa Mimba.
Uvimbe huu kwa kitaalamu huitwa submucosal fibroids uvimbe kwa upande mwingine huu uvimbe haishambulii kwenye ndani ya mji wa mimba kwa hiyo uweza kuaribu sehemu mbalimbali za mwili.
4. Kuna uvimbe mwingine ambaye utokea kwenye mlango wa kizazi.
Huu uvimbe uwa karibu sana na mlango na tumbo la uzazi pia uvimbe unaweza kufanyiwa upasuaji na pia mtoto ambaye yuko tumboni anaweza kuishi kawaida na kuendelea na maisha kwa hiyo uvimbe huu kwa kitaalamu huitwa cervical fibroids.
5. Kwa hiyo hizi ndizo aina kuu za uvimbe ambazo zinaweza kujitokeza na pia zingine zinaweza kuishi kwa mda mrefu tumboni na kutoaribu mtoto kwa hiyo tunapaswa kujua aina hizi kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa baada ya kugundua kuwa kuna uvimbe wanapaswa kufanyiwa upasuaji na kuruhusu mama apate mimba au wasio na watoto waweze kupata mimba.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Kipimo cha mimba cha mkojo hakiwezi kyonyesha mimva changa sana. Hivyo kama ni mimba baada ya wikibpima tena itaweza kuonekana. Dalili hizobulizotaja pekee haziashirii mimba tu huwenda ni homoni zimebadilika kidogo, ama una uti.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke ukizingatia usafi huwa unafanyika mara kwa mara ila harufu bado inaendelea kuwa mbaya kwa hiyo tutaona sababu hapo chini.
Soma Zaidi...Kuzaa kabla ya wakati ni kuzaliwa ambayo hufanyika zaidi ya wiki tatu kabla ya kuzaliwa kwa mtoto au kuzaliwa mapema ni moja ambayo hutokea kabla ya mwanzo wa wiki ya 37 ya ujauzito. Kawaida, ujauzito hudumu kama wiki 40.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume.
Soma Zaidi...Kama unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa, suluhisho lako lipo kwenye makala hii
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo mtoa huduma anaweza kuzitumia kuangalia kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tabia mbalimbali za Ute wa ovulation kwa sababu Ute huu huwa tofauti na Ute mwingine kwa sababu ya kuwepo kwa tabia zake za kipekee kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Kama unadhani una tatizo la kuwahi kufika kileleni basi post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao.
Soma Zaidi...