Aina za uvimbe kwenye kizazi.

Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za uvimbe kwenye kizazi, uvimbe unatokea kwenye kizazi ila utofautiana kulingana na sehemu ambazo uvimbe huo umepata.

Aina za uvimbe kwenye kizazi.

1. Uvimbe kwenye kuta za mji wa mimba.

Aina hizi ya uvimbe kwa kitaalamu huitwa intramular mara nyingi uwa kwenye mlango wa kutokea kizazi inaweza kutokea kama  mama amebeba Mimba na uvimbe ni kidogo kadri mtoto anavyokuwa na uvimbe unakua hatimaye wakati wa mtoto kuzaliwa ndipo uvimbe huu unaweza kugundulika.

 

2. Kuna uvimbe ambao utokea nje ya kuta za mji wa mimba, mara nyingi uvimbe huu huwa mkubwa na pia hauwezi kuingilia na pale mtoto alipo wakati wa kukua kwa hiyo uvimbe huu unaweza kuhadhili zaidi sehemu za nje ya mji wa mimba.uvimbe huu kwa kitaalamu huitwa subserosal fibroids 

 

3. Kuna uvimbe mwingine utokea kwenye misuli chini ya ngozi laini ya kuta za mji wa Mimba.

Uvimbe huu kwa kitaalamu huitwa submucosal fibroids uvimbe kwa upande mwingine huu uvimbe haishambulii kwenye ndani ya mji wa mimba kwa hiyo uweza kuaribu sehemu mbalimbali za mwili.

 

4. Kuna uvimbe mwingine ambaye utokea kwenye mlango wa kizazi.

Huu uvimbe uwa karibu sana na mlango na tumbo la uzazi pia uvimbe unaweza kufanyiwa upasuaji na pia mtoto ambaye yuko tumboni anaweza kuishi kawaida na kuendelea na maisha kwa hiyo uvimbe huu kwa kitaalamu huitwa cervical fibroids.

 

5. Kwa hiyo hizi ndizo aina kuu za uvimbe ambazo zinaweza kujitokeza na pia zingine zinaweza kuishi kwa mda mrefu tumboni na kutoaribu mtoto kwa hiyo tunapaswa kujua aina hizi kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa baada ya kugundua kuwa kuna uvimbe wanapaswa kufanyiwa upasuaji na kuruhusu mama apate mimba au wasio na watoto waweze kupata mimba.

 

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2524

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Kazi na mdalasini katika kutibu matatizo ya homoni.

Posti hii inahusu zaidi kazi ya mdalasini katika matibabu ya homoni kwa wanawake.

Soma Zaidi...
Njia za kufanya ili kuepukana na tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo mtu anapaswa kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili kisiweze kutokea na pia kama jamii ikishirikiana kwa pamoja tunaweza kuepusha kwa kufanya yafuatayo.

Soma Zaidi...
Ujue Ute kwenye uke

Post hii inahusu zaidi Ute ambao umo kwenye uke, Ute huu utofautiana kulingana na hali ya mama aliyonayo, kama mama ana mimba uke utakuwa tofauti na yule ambaye hana mimba au kama Ute una una magonjwa na hivyo utakuwa tofauti.

Soma Zaidi...
Sababu za kuongezeka uzito wa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuongezeka uzito kwa wajawazito, Mara nyingi Mama akibeba mimba uongezeka uzito kutoka wiki ya Kwanza mpaka wiki ya mwisho ya kujifungua.

Soma Zaidi...
mimi mara ya mwisho kubleed ilikuwa tareh 3/9 nilisex tarehe 4 je ni kwel nna mimba maana hadi sasa sijableed au ni kawaida tu

Je unaijuwa siku yako hatari ya kupata mimba. Na itakuwaje kama tayari umebeba mimba changa. Nakala hii inakwenda kukushauri machache kuhusu maswali haya.

Soma Zaidi...
Ni vipi nitagundua kuwa nina ujauzito?

Hali ya ujauzito huanza kutabirika Mara tu ya kujamiana, pia chemikali (hormon) za mwili huanza mchakato wa kuongeza na kupunguza utendaji kazi wa kemikali hizo mfano.follical stimulating hormon (FSH) na lutenazing hormon kuivisha yai tayari kwa kutengen

Soma Zaidi...
SABABU ZA KUKOSA HAMU YA TENDO LANDOA

Hii ni hali inayompata mtu kukosa hamu kabisa ya kushiriki kitendo chochote kinachohusiana na kufanya tendo landoa au bunyeto.

Soma Zaidi...
Wanaopasawa kutumia PEP

PEP Ni dawa ambazo utumiwa na watu wanaojamiiana na watu wenye virus vya ukimwi ila wenyewe hawawezi kupata kwa sababu ya kutumia dawa hizo.

Soma Zaidi...
Zijue Athari za kuweka vitu ukeni.

Posti hii inahusu zaidi athari za kuweka vitu ukeni, tunajua kwa wakati huu kadri ya kukua kwa sayansi na teknolojia watu wanaendelea kugundua mbinu mbalimbali ili waweze kuwafurahisha wapenzi wao wakati wa kufanya tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Maji ya Amniotic

Posti hii inahusu zaidi maji ya Amniotic ni maji ambayo uzunguka mtoto na kufanya kazi mbalimbali kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...