Tatizo la kutanuka kwa tezi dume.

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutanuka kwa tezi dume, ni tatizo ambalo linawakumba wanaume wengi kwa wakati huu kwa sababu ya kuwepo kwa maaambukizi kwenye tezi ambayo Usababishwa na vitu mbalimbali kama tulivyoona.

Tatizo la kutanuka kwa tezi dume.

1.Kwanza kabisa lishe ikiwa ndogo inaweza kusababisha kutanuka kwa tezi dume kwa sababu mtu kama hana lishe ni rahisi kila Maambukizi ambayo yapo uweza kumpata 

 

2. Kuwepo kwa sumu hasa kwenye ogani za uzazi,

Pengine kwenye organi za uzazi panakuwepo na sumu ambayo Usababishwa na matumizi ya kemikali mbalimbali ambazo zinatumika wakati wa kujamiiana.

 

3. Unywaji wa pombe hasa zile kali na uvutaji wa sigara kupita kiasi .

Haya yote uingiliana na sehemu za tezi na kuleta Maambukizi hatimaye kutanuka kwa tezi dume.

 

4. Kutokuwepo usawa katika vichocheo vya mwili.

Kwa kuwa tunafahamu kwamba kwenye mwili kuna vichocheo ambavyo ufanya kazi mbalimbali vikiongezeka au kupungua Usababisha kutanuka kwa tezi dume , vichocheo hivyo ni progesterone na oestrogen homoni na vinginevyo kwa kitaalamu huitwa ( hormonal lmbalance).

 

5. Magonjwa ya zinaa.

Kuwepo kwa magonjwa ya zinaa kama vile kisonono, kaswende na mengine mengi yanayoweza kusababisha kutanuka kwa tezi dume.

 

6. Upasuaji wa korodan.

Kwa wakati mwingine kama kuna upasuaji wowote kwenye korodani  na pale kama kuna kitu kimekosewa kuna uwezekano mkubwa wa kusababisha kutanuka kwa tezi dume.

 

7.Pengine Ugonjwa unaweza kuwa kwenye familia.

Kwa wakati mwingine kunakuwepo ile hali ya kurithi unakuta familia nzima ina Ugonjwa huo kwa hiyo inawezekana kubwa ni Ugonjwa wa familia.

 

8.umri kama umeenda.

Tunajua kabisa kama umri umeenda kuna uwezekano wa kupata magonjwa kwa sababu ya kushuka kwa kinga ya mwili kwa hiyo ugonjwa huu pia unaweza kuwapa wazee pia 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1344

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Mambo ya kuzingatia kwa mama ili apate huduma endelevu.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na huduma kwa mama wajawazito na waliojifungua.

Soma Zaidi...
Namna ya kutibu ugumba kwa Mwanaume.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutibu tatizo la ugumba kwa Mwanaume, ni njia ambazo utumiwa na wataalam mbalimbali Ili kuweza kutibu tatizo la ugumba kwa wanaume.

Soma Zaidi...
Mm tumbo linaniuma mara kwa mara na linakua kama linages alaf kichwa kinauma mara kwa mara na nakosa choo wakati mwingine na kiuno kinauma je?inawezakua n ujauzito? Maana nilshirki tendo la ndoa siku ya tano baada ya kutoka hedhi

Dalili za mwanzo za ujauzito zinaweza kuwa ni changamoto kwamwanamke hasa ikiwa ndio mimba yake ya kwanza. Maumivu ya tumbo, kujaa kwa tumbo gesi, kukosa choo ama hamu ya kula na kadhalika huweza pia kuambatana na ujauzito.

Soma Zaidi...
je maumivu ya nyonga na tumbo la chini ni dalili ya mimba?

Nina swali langu:-je maumivu ya nyonga na tumbo la chini ni dalili ya mimba?

Soma Zaidi...
Dalili za kuvimba kwa ovari.

  Posti hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa ovari kunakosababishwa na maambukizo ya bakteria na kawaida huweza kusababishwa na magonjwa sugu katika Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke.

Soma Zaidi...
Namna ya kumpima mtoto uzito

Posti hii inahusu namna ya kumpima mtoto uzito, ni njia ambayo utumika kujua uzito wake na maendeleo ya mtoto.

Soma Zaidi...
siku za kupata mimba

Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba na dalili za siku hizo.

Soma Zaidi...
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa wanawake.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kufunga kizazi kwa wanawake.

Soma Zaidi...
Kaka nasumbuliwa saan na tatizo la kuwasha kwenye kichwa Cha uume Sijui nifanyaje

Je kichwa cha uume wako kinawasha, na je kinatoa majimaji kwenye njia ya mkojo, una muda ganinavtatizo hili. Na je ulishiriki ngono zembe siku za hivi karibuni?

Soma Zaidi...