image

Tatizo la kutanuka kwa tezi dume.

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutanuka kwa tezi dume, ni tatizo ambalo linawakumba wanaume wengi kwa wakati huu kwa sababu ya kuwepo kwa maaambukizi kwenye tezi ambayo Usababishwa na vitu mbalimbali kama tulivyoona.

Tatizo la kutanuka kwa tezi dume.

1.Kwanza kabisa lishe ikiwa ndogo inaweza kusababisha kutanuka kwa tezi dume kwa sababu mtu kama hana lishe ni rahisi kila Maambukizi ambayo yapo uweza kumpata 

 

2. Kuwepo kwa sumu hasa kwenye ogani za uzazi,

Pengine kwenye organi za uzazi panakuwepo na sumu ambayo Usababishwa na matumizi ya kemikali mbalimbali ambazo zinatumika wakati wa kujamiiana.

 

3. Unywaji wa pombe hasa zile kali na uvutaji wa sigara kupita kiasi .

Haya yote uingiliana na sehemu za tezi na kuleta Maambukizi hatimaye kutanuka kwa tezi dume.

 

4. Kutokuwepo usawa katika vichocheo vya mwili.

Kwa kuwa tunafahamu kwamba kwenye mwili kuna vichocheo ambavyo ufanya kazi mbalimbali vikiongezeka au kupungua Usababisha kutanuka kwa tezi dume , vichocheo hivyo ni progesterone na oestrogen homoni na vinginevyo kwa kitaalamu huitwa ( hormonal lmbalance).

 

5. Magonjwa ya zinaa.

Kuwepo kwa magonjwa ya zinaa kama vile kisonono, kaswende na mengine mengi yanayoweza kusababisha kutanuka kwa tezi dume.

 

6. Upasuaji wa korodan.

Kwa wakati mwingine kama kuna upasuaji wowote kwenye korodani  na pale kama kuna kitu kimekosewa kuna uwezekano mkubwa wa kusababisha kutanuka kwa tezi dume.

 

7.Pengine Ugonjwa unaweza kuwa kwenye familia.

Kwa wakati mwingine kunakuwepo ile hali ya kurithi unakuta familia nzima ina Ugonjwa huo kwa hiyo inawezekana kubwa ni Ugonjwa wa familia.

 

8.umri kama umeenda.

Tunajua kabisa kama umri umeenda kuna uwezekano wa kupata magonjwa kwa sababu ya kushuka kwa kinga ya mwili kwa hiyo ugonjwa huu pia unaweza kuwapa wazee pia 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1082


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

mambo HATARI KWA UJAUZITO (MIMBA) mambo yanayopelekea kujauzito kuwa hatarini kutoka
Tofauti na mambo matano yaliyotajwa hapo juu kuwa yanapelekea ujauzito kutoka, kuna mambo mengine ambayo yanaweza kuuweka ujauzito kuwa hatarini. Soma Zaidi...

Maumivu wakati wa hedhi.
Posti hii inahusu zaidi maumivu wakati wa hedhi, haya ni maumivu ambayo utokea wakati wa hedhi kwa wanawake walio wengi, wengine huwa hawayapati kabisa na wengine hutapata na kwa kiwango kikubwa kutegemea na matatizo mbalimbali kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

Habari, naomba kuulizia, nimadhara gani atayapata mwanamke akitolewa bikra bila kukusudia
Je unawaza nini endapo bikra itatolewa bila wewe kukusudia, je imetolewa kwa njia ya kawaida yaani uume ama ilikuwa ni ajali? Soma Zaidi...

Ni ipi siku ya kupata ujauzito, na nitajuwaje kama nimepata ujauzito?
Hapa utajifunza siku nzuri kushoriki tendo la ndoa kupata ujauzito, dalili za siku hiyo na kuitafuta kwa mahesabu Soma Zaidi...

Nimetoka kufanya tendo la ndoa ghafla tumbo likaanza kukaza upande wa kushoto na kutoka maji yenye uzito wa kawaida kama ute mengi je hii itakuwa ni nini
Maumivu yavtumbo huwenda yakachanganya sana, Keane yanahusianana sababu nyingi sana. Kina baadhi ya watu hupata na maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa ama punde tu baada ya kumaliza. Soma Zaidi...

Tofauti za ute kwa mwanamke
Posti hii inahusu zaidi tofauti mbalimbali za uke, kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye mwili wa binadamu kuna tofauti mbalimbali za ute kutegemea na hali iliyopo. Soma Zaidi...

Namna ya kutunza joto la mtoto mara tu baada ya kuzaliwa.
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha i Soma Zaidi...

Sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa.
Posti hii inahusu zaidi sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa, ni sababu ambazo utokea kwa akina Mama wengi kadri ya wataalamu wametafuta asilimia kuwa asilimia sabini ya wanawake mifuko yao ya kizazi kushindwa kisinyaa. Soma Zaidi...

Upungufu wa homoni ya estrogen
Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili. Soma Zaidi...

Madhara ya kutoka kwa mimba
Post hii inahusu zaidi madhara ya kutoka kwa mimba, kwa kawaida tunafahamu kwamba mimba ikitungwa na mwili mzima huwa na wajibu wa kutunza kilichotungwa kwa hiyo ikitokea mimba ikatoka usababisha madhara yafuatayo. Soma Zaidi...

Sababu za kutangulia kwa kitovu wakati Mtoto anazaliwa
Posti hii inahusu zaidi sababu za kutangulia kwa kitovu wakati wa mtoto anapozaliwa. Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza hamu ya tendo la ndoa
Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye Soma Zaidi...