Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutanuka kwa tezi dume, ni tatizo ambalo linawakumba wanaume wengi kwa wakati huu kwa sababu ya kuwepo kwa maaambukizi kwenye tezi ambayo Usababishwa na vitu mbalimbali kama tulivyoona.
Tatizo la kutanuka kwa tezi dume.
1.Kwanza kabisa lishe ikiwa ndogo inaweza kusababisha kutanuka kwa tezi dume kwa sababu mtu kama hana lishe ni rahisi kila Maambukizi ambayo yapo uweza kumpata
2. Kuwepo kwa sumu hasa kwenye ogani za uzazi,
Pengine kwenye organi za uzazi panakuwepo na sumu ambayo Usababishwa na matumizi ya kemikali mbalimbali ambazo zinatumika wakati wa kujamiiana.
3. Unywaji wa pombe hasa zile kali na uvutaji wa sigara kupita kiasi .
Haya yote uingiliana na sehemu za tezi na kuleta Maambukizi hatimaye kutanuka kwa tezi dume.
4. Kutokuwepo usawa katika vichocheo vya mwili.
Kwa kuwa tunafahamu kwamba kwenye mwili kuna vichocheo ambavyo ufanya kazi mbalimbali vikiongezeka au kupungua Usababisha kutanuka kwa tezi dume , vichocheo hivyo ni progesterone na oestrogen homoni na vinginevyo kwa kitaalamu huitwa ( hormonal lmbalance).
5. Magonjwa ya zinaa.
Kuwepo kwa magonjwa ya zinaa kama vile kisonono, kaswende na mengine mengi yanayoweza kusababisha kutanuka kwa tezi dume.
6. Upasuaji wa korodan.
Kwa wakati mwingine kama kuna upasuaji wowote kwenye korodani na pale kama kuna kitu kimekosewa kuna uwezekano mkubwa wa kusababisha kutanuka kwa tezi dume.
7.Pengine Ugonjwa unaweza kuwa kwenye familia.
Kwa wakati mwingine kunakuwepo ile hali ya kurithi unakuta familia nzima ina Ugonjwa huo kwa hiyo inawezekana kubwa ni Ugonjwa wa familia.
8.umri kama umeenda.
Tunajua kabisa kama umri umeenda kuna uwezekano wa kupata magonjwa kwa sababu ya kushuka kwa kinga ya mwili kwa hiyo ugonjwa huu pia unaweza kuwapa wazee pia
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Je na wewe unasumbuliwa na fangasi wenye uume. Post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa,ni Dalili ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha estrogen kwenye mwili ukilinganisha na homoni ya projestoren.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba.
Soma Zaidi...Watu wengi wanadhania kuwa kufanya tendo la ndoa katika siku hatari ni lazima kuwa utapata ujauzito. Hili sio sahihi kabisa. Post hii itakwenda kuangalia jambo hili zaidi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale wenye tabia ya kutoa mimba mara Kwa mara .
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito, ni mojawapo ya njia ambazo utumiwa na wahudumu wa afya ili kuweza kuzuia upungufu wa damu kwa wajawazito.
Soma Zaidi...Maambukizi ya fangasi katika sehemu za Siri za mwanamke husababishwa na fangasi wanaoitwa CANDIDA ALBICANS pia maambukizi haya hujulikana kama YEAST INFECTION. Pia hupatikana katika midomo, mpira wa kupitisha chakula,kibofu Cha mkojo ,uume na uke.
Soma Zaidi...Matatizo yahusianayo na nguvu za kume na kukosa hamu ya tendo la ndoa kwahuweza kuchangiwa sana na mpangilio mbovu wa vyakula pamoja na saikolojia ya mtu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, ni faida wanazozipata waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi.
Soma Zaidi...PEP Ni dawa ambazo utumiwa na watu wanaojamiiana na watu wenye virus vya ukimwi ila wenyewe hawawezi kupata kwa sababu ya kutumia dawa hizo.
Soma Zaidi...