Tatizo la kutanuka kwa tezi dume.
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutanuka kwa tezi dume, ni tatizo ambalo linawakumba wanaume wengi kwa wakati huu kwa sababu ya kuwepo kwa maaambukizi kwenye tezi ambayo Usababishwa na vitu mbalimbali kama tulivyoona.
Tatizo la kutanuka kwa tezi dume.
1.Kwanza kabisa lishe ikiwa ndogo inaweza kusababisha kutanuka kwa tezi dume kwa sababu mtu kama hana lishe ni rahisi kila Maambukizi ambayo yapo uweza kumpata
2. Kuwepo kwa sumu hasa kwenye ogani za uzazi,
Pengine kwenye organi za uzazi panakuwepo na sumu ambayo Usababishwa na matumizi ya kemikali mbalimbali ambazo zinatumika wakati wa kujamiiana.
3. Unywaji wa pombe hasa zile kali na uvutaji wa sigara kupita kiasi .
Haya yote uingiliana na sehemu za tezi na kuleta Maambukizi hatimaye kutanuka kwa tezi dume.
4. Kutokuwepo usawa katika vichocheo vya mwili.
Kwa kuwa tunafahamu kwamba kwenye mwili kuna vichocheo ambavyo ufanya kazi mbalimbali vikiongezeka au kupungua Usababisha kutanuka kwa tezi dume , vichocheo hivyo ni progesterone na oestrogen homoni na vinginevyo kwa kitaalamu huitwa ( hormonal lmbalance).
5. Magonjwa ya zinaa.
Kuwepo kwa magonjwa ya zinaa kama vile kisonono, kaswende na mengine mengi yanayoweza kusababisha kutanuka kwa tezi dume.
6. Upasuaji wa korodan.
Kwa wakati mwingine kama kuna upasuaji wowote kwenye korodani na pale kama kuna kitu kimekosewa kuna uwezekano mkubwa wa kusababisha kutanuka kwa tezi dume.
7.Pengine Ugonjwa unaweza kuwa kwenye familia.
Kwa wakati mwingine kunakuwepo ile hali ya kurithi unakuta familia nzima ina Ugonjwa huo kwa hiyo inawezekana kubwa ni Ugonjwa wa familia.
8.umri kama umeenda.
Tunajua kabisa kama umri umeenda kuna uwezekano wa kupata magonjwa kwa sababu ya kushuka kwa kinga ya mwili kwa hiyo ugonjwa huu pia unaweza kuwapa wazee pia
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Samahani naomba kuhuliza je unaweza kutokwa na maji maji ambayoa ayana rangi Wala harufu Ni dalili gani kwa mimba ya mwezi mmoja
ukiwa na ujauzito unaweza kuona mabadiliko mengi katika mwili wako yakiwemo kutokwa na majimaji. je majimaji haya yana dalili gani kwenye ujauzito?
Soma Zaidi...Madhara ya kutotoa huduma kwa Mama anayevuja damu baada ya kujifungua
Posti hii inahusu zaidi Madara ya kutomsaidia mama anayetokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.
Soma Zaidi...Sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa.
Posti hii inahusu zaidi sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa, ni sababu ambazo utokea kwa akina Mama wengi kadri ya wataalamu wametafuta asilimia kuwa asilimia sabini ya wanawake mifuko yao ya kizazi kushindwa kisinyaa.
Soma Zaidi...CHANGAMOTO ZA UJAUZITO, NA DALILI ZAKE NA NAMNA YA KUKABILIANA NAZO
Utawezaje kukabiliana na changamoto za ujauzito, je ni zipi changamoto hizo. Hapa nitakujuza.
Soma Zaidi...Sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.
Posti hii inahusu zaidi sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua, hili ni tatizo ambalo uwapata akina Mama wengi wanapomaliza kujifungua kwa hiyo tutaweza kuziona sababu zinazosababishwa na tatizo hili.
Soma Zaidi...Dalili za mama mjamzito akikaribia kujifungua
Post hii inazungumzia mama wajawazito Mara tu mama anapohisi kuwa yeye ni mjamzito anashauriwa kuanza clinic.na clinic hizi zinasaidia kuwapatia wakina mama elimu,namna ya kumkinga Mtoto asipatwe na maradhi Kama UKIMWI. Pia mama anapoanza clinic
Soma Zaidi...