picha

Zijue dalili za maambukizi ndani ya sikio na madhara yake

Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu inayotumiwa kwa ajili ya kusikia, Kuna wakati mwingine hushambulia na bakteria na virusi

Dalili za maambukizi ndani ya sikio

1. Sikio kuuuma sana

2. Kichwa kuuuma

3 kutoka na usaha kwenye sikio

4. Kutisikia vizuri

 

Walio katika hatari ya kupata ugonjwa huu ni wafuatao.

1.watoto wadogo

2. Wazeee

3. Walio na kinga ndogo ya mwili

4. Wanapenda kuogelea kwenye maji ya ziwa au bahari

Namna ya kutibu ugonjwa huuu ni pamoja na.

1. Kuisha masikio mara kwa mara

2. Kutotumia vifaa vya Julia kwa mtu zaidi ya mmoja

3.walinde watoto wakati wanapokuwa wanacheza

4. Siku zote piga chafya kwenye kitambaa safi

Pamoja na kuwepo kwa ugonjwa huu dawa zipo na zinatibu kwa hiyo tunapaswa kuwapeleka wagonjwa wetu hospitalini Ili watibiwe tusiwafiche ndani

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2021/11/17/Wednesday - 10:07:46 am Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1877

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰3 ai web app    πŸ‘‰4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    πŸ‘‰5 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Ugonjwa wa UTI

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa UTI

Soma Zaidi...
ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO: maumivu ya tumbo, kichwa, kutapika damu, kichefuchefu, miwasho

ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO Kukaa na minyoo na kutoitibu kwa muda mrefu kunaweza kusababisha madhara mengi hususani kwenye ini na maeneo mengine ya mfumo wa kumeng’enya chakula.

Soma Zaidi...
Ni zipi dalili za awali za pumu

Kabla ya kubanwa zaidi na pumu, kuna dalili za awali zinzznza kujitokeza, na hapo ndipo utakapoanza kuchukuwa tahadhari. Makala hii itakwenda kukujulisha zaidi kuhusu dalili hizo.

Soma Zaidi...
Dalili za Ugonjwa wa mapafu.

posti hii inahusu dalili za ugonjwa wa mapafu.ambapo kitaalamu hujulikana Kama Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu yako. Majimaji mengi kw

Soma Zaidi...
Je unaijuwa ugonjwa wa bawasiri

Katika post hii nitakwenda kukujuza kuhusu ugonjwa wa bawasiri

Soma Zaidi...
Dalili na ishara za anemia ya minyoo

Posti hii inshusiana na dalili za anemia ya minyoo

Soma Zaidi...
Fahamu maambukizi ya kwenye mishipa ya Damu.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa ambao husababisha kuvimba kwa mishipa ya damu katika mwili wako wote. Ambao kitaalamu hujulikana Kama Behcet .

Soma Zaidi...
Ijuwe saratani ya kibofu cha nyongo

Makala hii inakwenda kukufahamishavkuhusu saratani yavkibifu cha mkojo.

Soma Zaidi...
Maumivu, kizunguzungu, kichefuchefu na kutoka na damu ni dalili zamimba?

Je unapata dalili zisizoeleweka ni ni za mimba ama laa. Hapa nitakujuza hali baadhi ya wanawake zinazowatokea.

Soma Zaidi...