Madhara ya Tiba kemikali kwa wagonjwa wa saratani

Madhara ya Tiba kemikali kwa wagonjwa wa saratani

Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba kemikali, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wa saratani, madhara haya yanayoweza kuwa ni kwa Sababu mbalimbali kama vile kuaribika kwa seli zinazoendelea kufanya kazi kwenye mwili.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Madhara ya Tiba kemikali.

1. Miwasho ndani ya pua na mdomoni, miwasho hii utokea sehemu za pua na midomoni ambayo uendana na kuwepo kwa vipengele ndani ya pua na midomoni na puani hali hii ikitokea kwa wagonjwa wa saratani wanapaswa kutumia dawa za kawaida zinazotumika kutibu maupele kwenye mdomo na puani na pengine hali ikiendelea mgonjwa anapaswa kuonana na daktari wake kwa ushauri zaidi na pia mgonjwa anapaswa kutumia  sana vyakula vya kujenga mwili.

 

2. Kupoteza nywele kichwani.

Wagonjwa wa saratani upotea nywele kichwani hii ni kwa sababu ya kemikali ambayo uharibu mfumo wa seli na kusababisha nywele kuisha kwa mda kichwani, lakini baadae urudi tena hali hii ikitokea kwa wagonjwa wa saratani jamii inabidi kuelewa kuwa ni Sababu ya madawa na waepuke kuwa na Imani potofu kuhusu wagonjwa wa Aina hii na pia wanapaswa kutumia vyakula vya kutosha Ili kuweza kurudisha afya zao kwenye hali ya kawaida na vyakula viwe na virutubisho vya kutosha.

 

3. Mgonjwa anakuwa na uchovu 

Kwa kawaida wagonjwa wanaotumia dawa hii ya Tiba kemikali huwa na uchovu wa mara kwa mara kwa Sababu seli zao huwa zimearibiwa na kemikali na kwa hiyo wakati wa Tiba mgonjwa uhisi kuwa na uchovu kwa hiyo anapaswa kupumzika na sio kupumzika mda wote Bali anapaswa kutembea kwa mda wa dakika Kumi na Tano Ili kuupatia mwili mazoezi ya kutosha ingawa mazoezi yasiwe ya mda mrefu Bali kidogo kidogo na pia kutumia vyakula vinavyoongeza nguvu mwilini Ili kuondoa uchovu wa mara kwa mara.

 

4. Mgonjwa anayetumia Tiba kemikali huwa na kichefuchefu .hali hii utokea kwa sababu ya dawa zinazotumika kuharibu mfumo wa umengenyaji ambapo mgonjwa uhisi kurudisha kila kitu anachokula kwa hiyo mgonjwa anapaswa kula kidogo kidogo na mara kwa mara, anapaswa kutumia vitu vigumu kama vile mkate na chapati na anapaswa kuepuka kuinama akae wima na kuepuka vyakula ambavyo huwa havipendelei vinaweza kusababisha kutapika .

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1592

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

ujuwe ugonjwa wa gout na athari zake mwilini
ujuwe ugonjwa wa gout na athari zake mwilini

Post hii itakwenda kuzungumzia ugonjwa wa gout unaosababishwa na ongezeko la asidi mwilini.

Soma Zaidi...
Dalili za UKIMWI huonekana baada ya muda gani
Dalili za UKIMWI huonekana baada ya muda gani

Hapa utajifunza muda mabao dalili za VVU na UKIMWI huonekana, na kwa muda gani mgonjwa ataishi na UKIMWI bila ya kutumia ARV

Soma Zaidi...
Nini husababisha ugonjwa wa kifua na maumivu ya kifua?
Nini husababisha ugonjwa wa kifua na maumivu ya kifua?

Posti hii inazungumzia sababu zinazopelekea kuumwa na kifua.

Soma Zaidi...
Njia za kusambaa kwa ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine
Njia za kusambaa kwa ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine

Posti hii inahusu zaidi jinsi magonjwa yanavyosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

Soma Zaidi...
Naomb niulize ukiingiliana na mwanmke mweny ukimwi unaweza kuambikizwa na kusaambaaa kwa mda gan ndan ya mwil
Naomb niulize ukiingiliana na mwanmke mweny ukimwi unaweza kuambikizwa na kusaambaaa kwa mda gan ndan ya mwil

Muda gani ukimwi huweza kuonekana mwilini ama kugundulika kama umeathirika, ni dalili zipo hujitokeza punde tu utakapoathirika

Soma Zaidi...
Sababu za kutokea kwa maumivu ya jino
Sababu za kutokea kwa maumivu ya jino

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutokea kwa maumivu ya jino

Soma Zaidi...
Makundi yaliyo katika hatari ya kupata Ugonjwa wa ngiri.
Makundi yaliyo katika hatari ya kupata Ugonjwa wa ngiri.

Posti hii inahusu zaidi makundi ambayo yapo katika hatari ya kupata ugonjwa wa ngiri, ni hatari kwa sababu tunajua kuwa ngiri utokea kwa sababu ya kuta au tishu zinazoshikilia viungo fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwepo kwa uwazi na kufanya viun

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuepuka minyoo
Jinsi ya kuepuka minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuiepuka minyoo

Soma Zaidi...
Dalili za vidonda vya tumbo
Dalili za vidonda vya tumbo

Vidonda vya tumbo no tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda,hutokea baada ya ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaitwa mucus kuharibika. Vidonda vya tumbo (peptic ulcers) imegawanyika katika ma

Soma Zaidi...