Post hii inahusu zaidi kuhusu kushambuliwa kwa moyo na kupumua, kushambuliwa kwa moyo na kupumua kwa kitaala huitwa (cardiopulmonary Arrest) ni kitendo Cha kusimama ghafla kwa moyo na kupumua.
Sababu za kushambuliwa kwa moyo na kupumua
1. Kupunguza kwa hewa ya oxgeni kwenye mwili husababisha moyo kusimama ghafla au kushambuliwa kwa moyo
2 kupungua kwa maji na damu kwenye mwili husababisha moyo kusimama ghafla
3. Kushuka kwa joto la mwili kuliko kawaida pia husababisha tatizo la moyo kusimama na upumuaji kuwa shida
4. Kupungua kwa madini kwenye mwili hasa potassium ambavyo husaidia kwenye moyo wakati wa kusukuma damu
5. Sumu kwenye damu ambayo husababisha moyo kuzidiwa katika ufanyaji wa kazi za kusukuma damu
6. Kuganda kwa damu, hii usababisha moyo kusukuma damu kwa kutumia nguvu lakini damu haiendi popote kwa hiyo moyo husimama ghafla
7. Kupasuka kwa mishipa inayosambaza damu nayo husababisha moyo kusimama ghafla
Kusimama kwa moyo ni ugonjwa wa hatari tunapaswa kunifanyia mgonjwa huduma ya kwanza Ili kuhakikisha moyo unashutuliwa na kufanya kazi tena
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Post yetu inaenda kuzungumzia kuhusiana na Saratani ya Matiti ni Saratani ambayo hutokea katika seli za matiti. Baada ya Saratani ya Ngozi, Saratani ya matiti ndiyo Saratani inayojulikana zaidi hugunduliwa kwa wanawake Mara nyingi. Saratani yaÂ
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi visababishi vya maambukizi kwenye milija na, ni mambo yanayosababisha maambukizi kwenye milija na ovari.
Soma Zaidi...Ugojwa wa pumu ni hatari na unaweza kutokea ghafla. Lakini je unaweza kusababisha kifo, makalahii itakwend akujibu swali hili
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu fangasi wa sehemu za Siri
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo unapaswa kufanya kama una tatizo la kiungulia.
Soma Zaidi...Pisti hii inahusu zaidi dalili za mtoto mwenye Maambukizi ya ugonjwa wa Dondakoo, tunajua wazi kuwa ugonjwa huu uwashambulia hasa watoto wadogo ambao wako chini ya miaka mitano, kwa hiyo zifuatazo ni baadhi ya Dalili zinazoweza kujitokeza kwa watoto hawa.
Soma Zaidi...Vidonda vya tumbo ni vidonda vilivyo wazi vinavyotokea kwenye utando wa ndani wa umio, tumbo na sehemu ya juu ya utumbo wako. Dalili ya kawaida ya Peptic ulcer ni maumivu ya tumbo. Vidonda vya tumbo ni pamoja na: Vidonda vya tumbo vinavyotokea ndani
Soma Zaidi...