Post hii inahusu zaidi kuhusu kushambuliwa kwa moyo na kupumua, kushambuliwa kwa moyo na kupumua kwa kitaala huitwa (cardiopulmonary Arrest) ni kitendo Cha kusimama ghafla kwa moyo na kupumua.
Sababu za kushambuliwa kwa moyo na kupumua
1. Kupunguza kwa hewa ya oxgeni kwenye mwili husababisha moyo kusimama ghafla au kushambuliwa kwa moyo
2 kupungua kwa maji na damu kwenye mwili husababisha moyo kusimama ghafla
3. Kushuka kwa joto la mwili kuliko kawaida pia husababisha tatizo la moyo kusimama na upumuaji kuwa shida
4. Kupungua kwa madini kwenye mwili hasa potassium ambavyo husaidia kwenye moyo wakati wa kusukuma damu
5. Sumu kwenye damu ambayo husababisha moyo kuzidiwa katika ufanyaji wa kazi za kusukuma damu
6. Kuganda kwa damu, hii usababisha moyo kusukuma damu kwa kutumia nguvu lakini damu haiendi popote kwa hiyo moyo husimama ghafla
7. Kupasuka kwa mishipa inayosambaza damu nayo husababisha moyo kusimama ghafla
Kusimama kwa moyo ni ugonjwa wa hatari tunapaswa kunifanyia mgonjwa huduma ya kwanza Ili kuhakikisha moyo unashutuliwa na kufanya kazi tena
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Tina ya vidonda vya tumbo na dawa zake
Soma Zaidi...Post yetu Leo inaenda kuzungumzia Maumivu ya nyuma ni malalamiko ya kawaida. Kwa upande mkali, unaweza kuchukua hatua za kuzuia au kupunguza matukio mengi ya maumivu ya mgongo. Ikiwa kinga itashindikana, matibabu rahisi ya nyumbani na mbinu sahihi za m
Soma Zaidi...Postii hii inshusiana na dalili na ishara za kujikinga au kuzuia malaria kwa Njia mbalimbali.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo UKIMWI hutokea
Soma Zaidi...Je unasumbuliwa na maumivuvya tumbo chini ya kitovu upande wa kushito. Post hii itakuletea sababu za maukivubhayo na nini ufanye.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia Ugonjwa wa kaswende, tunajua wazi kuwa Ugonjwa huu unasambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kufanya ngono zembe na njia nyingine kwa hiyo tunaweza kuzuia kusambaa na kuenea kwa ugonjwa huu kwa n
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukuletea dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanaume
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na kisukari
Soma Zaidi...Kutokuona siku zake mwanamke ni ishara kuwa kuna shida kwenye umfumo wa uzazi. Wakati mwingine kutokuona siku ni ishara ya baraka ya kupata mtoto. Ijapokuwa kuna wengine wanadiriki kutoa mimba kwa sababu zisizo za msingi. Je unadhani UTI inaweza kusababi
Soma Zaidi...tambuwa chanzo na dalili za UTI na tiba yake, pamoja na njia za kupambana na UTI
Soma Zaidi...