Navigation Menu



Nini Chanzo

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Nini Chanzo

UWANJA WA TEKNOLOJIA

Sehemu ya nnne

.

2.KUFUNGUWA PROGRAM NYINGI KWA WAKATI MMOJA
Sababu ya pili inayofanya kompyuta yako au simu yako iwe slow yaan haina speed katika kufanya kazi ni kufunguwa program nyingi kwa wakati mmoja.

Hutokea wakati fulani mtumiaji wa kompyuta huwa anafunguwa program nyingi kwa wakatimmoja. Hii hali huweza kuifanya kompyuta yako iwe slow hasa ikiwa RAM na processor ni ndogo.

pia zipo software abazo kikawaida zenyewe ni mzito sana kufanyakazi katika kompyuta iliyo na RAM ndogo kwa mfano bluestacks appl player hii software yenyewe inahitaji kompyuta yenye uwezo mkubwa hivyo ukiifunguwa na software zingine kuna uwezo mkubwa kompyuta yako kuwa slow.

kulitatuwa tatizo
1.Funga program zote ambazo hauzitumii wakati huu. Unaweza kuzifunga kwa kuenda kwenye setting kisha task maneger, hapa utakuta orodha ya App ambazo zinafanya kazi. Chagua moja moja kisha uifunde (ende process).

2.Zuia background activities kwa program ambazo zinaran background. Ukienda setting kisha App maneger utakuta orodha ya App ambazo zinafanya kazi muda wowote. Chagua na uzifunge.

3.Hakikisha unapofungua program nzito kama bluestack au android studio na zinazofanana na hizi, usifungue pamoja na program zingine nzito kwa muda huohuo. Tahadhari hii ni muhimu kwa wale wanaotumia kompyuta zenye RAM ndogo.

5.Kwa wale wanaotumia simu pia hakikisha simu yako ina uwezo mkubwa kama unataka kufungua App nzito kama games. Pia hakikisha memori ya simu yako haijajaa mpaka mwisho na hakikisha simu yako ina nafasi ya kutosha kwenye RAM.



        

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Teknolojia Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 1012


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zifazofanana:-

Utajiaje kama simu/kompyuta ina virusi
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta.. Soma Zaidi...

TEKNOLOJIA NA MAWASILIANO
Soma Zaidi...

Kitabu Cha Daktari wa Simu
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet. Soma Zaidi...

Chanzo
Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta.. Soma Zaidi...

Jinsi ya kufanya simu yako iwe fasta
Posti hii inakwenda kukuelekeza njia za kufanya simu yako iwe fasta Soma Zaidi...

Maana ya legacy contact katika Facebook
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya legacy contact katika facebook Soma Zaidi...

yanayoathiri betri ya kifaa chako
makala hii itakuelezea mambo makuu ambayo ni hatari kwa usalama wa betri ya kifaa chako Soma Zaidi...

UTUNZAJI WA BETRY YA KIFAA CHAKO
Namna ya kutunza betri yako iweze kudumu kwa muda mrefu Soma Zaidi...

Je nitumie simu yangu wakati inachaji?
Somo hili linakwenda kujibu swali la je nitumie simu yangu wakati inachaji Soma Zaidi...

Njia rahisi ya kudownload video YouTube
Posti hii inakwenda kukuelekeza kuhusu njia rahisi ya kudownload video YouTube Soma Zaidi...