Kipimo cha mimba cha mkojo hakiwezi kyonyesha mimva changa sana. Hivyo kama ni mimba baada ya wikibpima tena itaweza kuonekana. Dalili hizobulizotaja pekee haziashirii mimba tu huwenda ni homoni zimebadilika kidogo, ama una uti.
SWALI
Za kazi,namtoto wa mwaka na miezi minne bado ananyonya mwezi ulioisha nimeingia period trh 14 mwezi huu adi now sijaona siku nilijiisi mjamzito nkapima na kile kipimo wiki nilivyokutana akijaonyesha chochote lakini adi Leo sijaona period na najskia dalili za period na azitoki lakini pia najskia dalili ambazo sielewi tumbo kuuma km wiki niliona dam Sasa sijajua shida nn mimba au???
Tatizo la kubadilika badilika siku za mwanamke akiwa ananyonyesha hutokea sana. Wakati wa kunyonyesha mwili wa mwanamke unapata mabadiliko mengi. Mabadiliko haya yanweza kuwa ya homoni hivyo kusababisha mifumo mbalimbali ya mwili kutofanya kazi kama alivyozoea. Miongoni mwa mifumo hii mfumo wa uzazi unaweza kupata mabadiliko haya, hivyo kusababisha kutokuona hedhi kama zamani.
Kutokuona hedhi ni iongoni mwa dalili za ujauzito. Hata hivyo mwanamke asiwe na uhakika kuwa ni ujauzito bila ya vipimo. Kwanza apate kipimo kisha ndipo aapata uhakika kuwa ni ujauzito ama sio. Kukosa hedhi kunaweza kusababishwa na mabo yagfuatayo:-
1. Mazingira
2. hali ya hewa
3. vyakula
4. madawa
5. njia za uzazi wa mpango
6. mvurugiko wa homoni
7. maradhi kwenye mfumo wa uzazi
8. afya ya akili na saikolojia ukiwa mbaya inaweza kuathiri mzunguko wa siku za mwanamke
maradhi mengineyo kama PID na UTI
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Kuunda na kujaa kwa matiti ni miongoni mwa dalili za ujauzito lakini pia ni dalili za kukaribia hedhi kwa baadhi ya wanawake. Posti hii itakwenda kufafanuabutofauti wa dalili hizi na kipi ni sahihibkatibya hedhi ama ujauzito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye via vya uzazi kwa wajawazito, tunajua kuwa Mama akibeba mimba tu kuna mabadiliko utokea katika sehemu mbalimbali za mwili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo anaweza kuzipata mwenye Ugonjwa wa tezi dume, sio Dalili zote mtu anaweza kuzipata kwa sababu dalili kama hizi zinaweza kujitokeza hata kwa magonjwa mengine.
Soma Zaidi...Kama na wewe una tatizo la kupitiliza siku zako za hedhi hli ya kuwa huna ujauzito, soma post hii ina majibu yako.
Soma Zaidi...DALILI KUU ZA MIMBA (UJAUZITO) Watu wengi sana wamekuwa wakilalamika kuwa mimba zao zinatoka, ama kupotea bila ya kujulikana tatizo wala bila ya kuugua.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala ya fangasi wa uumeni
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa mama aliyejifungua kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja.
Soma Zaidi...Dalili za mimba pekee haziwezi kuthibitisha uwepo wa mimba. Bila vipimo kwa. Muda sahihi huwezi kuwa. Na uhakika. Je na wewe unasumbuliwa na dalili za mimba na ukapona hakuna mimba? Makala hii ni kwa ajili yako. Swali
Soma Zaidi...Ujauzito unaweza kutoka kwa sababu nyingi kama maradhi, madawa, vyakula na ajali. Unawezakutoa mimba bila kujuwa amakwakujuwa. Damu kutoka ni moja ya dalili za kutoka kwa mimba hata hivyo maumivu ya tumbo huweza kuandamana na damu hii.
Soma Zaidi...