picha

Je kukosa hedhi kwa mwanmke anayenyonyesha ni dalili ya mimba

Kipimo cha mimba cha mkojo hakiwezi kyonyesha mimva changa sana. Hivyo kama ni mimba baada ya wikibpima tena itaweza kuonekana. Dalili hizobulizotaja pekee haziashirii mimba tu huwenda ni homoni zimebadilika kidogo, ama una uti.

SWALI

Za kazi,namtoto wa mwaka na miezi minne bado ananyonya mwezi ulioisha nimeingia period trh 14 mwezi huu adi now sijaona siku nilijiisi mjamzito nkapima na kile kipimo wiki nilivyokutana akijaonyesha chochote lakini adi Leo sijaona period na najskia dalili za period na azitoki lakini pia najskia dalili ambazo sielewi tumbo kuuma km wiki niliona dam Sasa sijajua shida nn mimba au???

 

Tatizo la kubadilika badilika siku za mwanamke akiwa ananyonyesha hutokea sana. Wakati wa kunyonyesha mwili wa mwanamke unapata mabadiliko mengi. Mabadiliko haya yanweza kuwa ya homoni hivyo kusababisha mifumo mbalimbali ya mwili kutofanya kazi kama alivyozoea. Miongoni mwa mifumo hii mfumo wa uzazi unaweza kupata mabadiliko haya, hivyo kusababisha kutokuona hedhi kama zamani.

 

Kutokuona hedhi ni iongoni mwa dalili za ujauzito. Hata hivyo mwanamke asiwe na uhakika kuwa ni ujauzito bila ya vipimo. Kwanza apate kipimo kisha ndipo aapata uhakika kuwa ni ujauzito ama sio. Kukosa hedhi kunaweza kusababishwa na mabo yagfuatayo:-

1. Mazingira

2. hali ya hewa

3. vyakula

4. madawa

5. njia za uzazi wa mpango

6. mvurugiko wa homoni

7. maradhi kwenye mfumo wa uzazi

8. afya ya akili na saikolojia ukiwa mbaya inaweza kuathiri mzunguko wa siku za mwanamke

maradhi mengineyo kama PID na UTI

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 12709

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 web hosting     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Fahamu Faida za Uzazi wa mpango

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za Uzazi wa mpango. Uzazi wa mpango ni huduma ambazo hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa.

Soma Zaidi...
Dalili za maumivu ya hedhi

Maumivu ya hedhi (dysmenorrhea) ni maumivu makali au ya kubana sehemu ya chini ya tumbo. Wanawake wengi hupatwa na Maumivu ya hedhi kabla tu na wakati wa hedhi zao. Kwa wanawake wengine, usumbufu huo ni wa kuudhi tu. Kwa wengine,&nbsp

Soma Zaidi...
Tiba mbadala ya fangasi wa uumeni

Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala ya fangasi wa uumeni

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa homoni ya progesterone

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.

Soma Zaidi...
Mambo muhimu kuhusu mbegu za kiume

Post hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo tunapaswa kujua au kufahamu kuhusu mbegu za kiume, kwa kuwa mbegu za kiume usaidia katika utungaji wa mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kuzitunza Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa s

Soma Zaidi...
Madhara ya sindano za kuzuia mimba kwa vijana.

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya matumizi ya sindano za kuzuia mimba kwa vijana ambao hawajafikilia mpango wa kuanza kujifungua watoto.

Soma Zaidi...