Je kukosa hedhi kwa mwanmke anayenyonyesha ni dalili ya mimba

Kipimo cha mimba cha mkojo hakiwezi kyonyesha mimva changa sana. Hivyo kama ni mimba baada ya wikibpima tena itaweza kuonekana. Dalili hizobulizotaja pekee haziashirii mimba tu huwenda ni homoni zimebadilika kidogo, ama una uti.

SWALI

Za kazi,namtoto wa mwaka na miezi minne bado ananyonya mwezi ulioisha nimeingia period trh 14 mwezi huu adi now sijaona siku nilijiisi mjamzito nkapima na kile kipimo wiki nilivyokutana akijaonyesha chochote lakini adi Leo sijaona period na najskia dalili za period na azitoki lakini pia najskia dalili ambazo sielewi tumbo kuuma km wiki niliona dam Sasa sijajua shida nn mimba au???

 

Tatizo la kubadilika badilika siku za mwanamke akiwa ananyonyesha hutokea sana. Wakati wa kunyonyesha mwili wa mwanamke unapata mabadiliko mengi. Mabadiliko haya yanweza kuwa ya homoni hivyo kusababisha mifumo mbalimbali ya mwili kutofanya kazi kama alivyozoea. Miongoni mwa mifumo hii mfumo wa uzazi unaweza kupata mabadiliko haya, hivyo kusababisha kutokuona hedhi kama zamani.

 

Kutokuona hedhi ni iongoni mwa dalili za ujauzito. Hata hivyo mwanamke asiwe na uhakika kuwa ni ujauzito bila ya vipimo. Kwanza apate kipimo kisha ndipo aapata uhakika kuwa ni ujauzito ama sio. Kukosa hedhi kunaweza kusababishwa na mabo yagfuatayo:-

1. Mazingira

2. hali ya hewa

3. vyakula

4. madawa

5. njia za uzazi wa mpango

6. mvurugiko wa homoni

7. maradhi kwenye mfumo wa uzazi

8. afya ya akili na saikolojia ukiwa mbaya inaweza kuathiri mzunguko wa siku za mwanamke

maradhi mengineyo kama PID na UTI

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2021-09-15     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 6694

Post zifazofanana:-

Mda wa mwisho wa kula daku mwezi wa ramadhani
Post hii fupi itakwenda kukujulisha utaratibu wa kula daku. Soma Zaidi...

Kwa nini imefaradhishwa kufunga mwezi wa Ramadhani
Unaweza kijiuliza ni kwa nini hasa kimepelekea kufaradhishwa kufunga mwezi wa Ramadhani. Soma Zaidi...

Jinsi ya kukaa itiqaf na taratibu zake
Hapa utajifunza kuhusu taratibu za ibada ya itiqaf yaani kukaa msikitini kwa ajili ya ibada. Soma Zaidi...

Zijuwe funga za kafara na jinsi ya kuzigunga
Post hii itakufundisha kuhusu funga za kafara, zinavyotokea na na jinsi ya kuzifunga. Soma Zaidi...

Vipi utapata uchamungu kupitia funga
Vipi lengo la funga litafikiwa na kumfanya mfungaji awe mchamungu. Soma Zaidi...

Hukumu ya kufinga kwa kifuata kuandama kwa mwezi
Ni muda gani unatakiwa ufunge ramadhani, je kuandama kwa mwezi kwa kiona ama hata kusiki. Soma Zaidi...

Watu wanaolazimika kufunga mwezi wa Ramadhani
Hapa utajifunza watu ambao wanalazimika kufunga mwezi wa Ramadhani. Soma Zaidi...

Hili ndio lengo la kufunga.
Ni kwa nini Allah ametutaka tugunge. Je kuna lengo gani hasa katika kufunga. Soma Zaidi...

Sunnah za swaumu, sunnah ambazo zinaambatans ns kufungabmwezi wa Ramadhani
Yajuwe mambo ambayo yanapendeza kuyafanya wakati ukiwa umefunga Ramadhani. Soma Zaidi...

Je ni kwa nini lengo la finga halifikiwi kwa wafungaji
Lengo la funga ni kuwa mchamungu sasa ni kwa nini wafungaji hawalifikii lengo hili na kuwa wachamungu. Soma Zaidi...

Siku ambazo haziruhusiwi kufunga
Ni haramu kufunga katika masiku haya. Na endapo utafunga basi funga haitakuwa na malipo. Soma Zaidi...

Nguzo za swaumu (kufinga)
Hapa utajifunza nguzo kuu za swaumu. Kama hazitatimia nguzo hizi basi swaumu itakuwa ni batili. Soma Zaidi...