Je kukosa hedhi kwa mwanmke anayenyonyesha ni dalili ya mimba

Kipimo cha mimba cha mkojo hakiwezi kyonyesha mimva changa sana. Hivyo kama ni mimba baada ya wikibpima tena itaweza kuonekana. Dalili hizobulizotaja pekee haziashirii mimba tu huwenda ni homoni zimebadilika kidogo, ama una uti.

SWALI

Za kazi,namtoto wa mwaka na miezi minne bado ananyonya mwezi ulioisha nimeingia period trh 14 mwezi huu adi now sijaona siku nilijiisi mjamzito nkapima na kile kipimo wiki nilivyokutana akijaonyesha chochote lakini adi Leo sijaona period na najskia dalili za period na azitoki lakini pia najskia dalili ambazo sielewi tumbo kuuma km wiki niliona dam Sasa sijajua shida nn mimba au???

 

Tatizo la kubadilika badilika siku za mwanamke akiwa ananyonyesha hutokea sana. Wakati wa kunyonyesha mwili wa mwanamke unapata mabadiliko mengi. Mabadiliko haya yanweza kuwa ya homoni hivyo kusababisha mifumo mbalimbali ya mwili kutofanya kazi kama alivyozoea. Miongoni mwa mifumo hii mfumo wa uzazi unaweza kupata mabadiliko haya, hivyo kusababisha kutokuona hedhi kama zamani.

 

Kutokuona hedhi ni iongoni mwa dalili za ujauzito. Hata hivyo mwanamke asiwe na uhakika kuwa ni ujauzito bila ya vipimo. Kwanza apate kipimo kisha ndipo aapata uhakika kuwa ni ujauzito ama sio. Kukosa hedhi kunaweza kusababishwa na mabo yagfuatayo:-

1. Mazingira

2. hali ya hewa

3. vyakula

4. madawa

5. njia za uzazi wa mpango

6. mvurugiko wa homoni

7. maradhi kwenye mfumo wa uzazi

8. afya ya akili na saikolojia ukiwa mbaya inaweza kuathiri mzunguko wa siku za mwanamke

maradhi mengineyo kama PID na UTI

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 9348

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Madhara ya kutumia vidonge kwa akina dada vya uzazi wa mpango

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa akina dada.

Soma Zaidi...
Madhara ya vidonge vya P2

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia mara kwa mara vidonge vya P2,

Soma Zaidi...
Dalili za mimba kutoka.

Post hii inahusu zaidi dalili za mimba kutoka, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mimba zote ambazo utaka kutoka kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.

Posti hii inahusu zaidi uhusiano uliopo kati ya Mama Mjamzito na kibofu cha mkojo.ni mwingiliano unaokuwepo ambao usababisha Mama kukojoa sana wakati wa ujauzito.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba changa

Zijuwe dalili 17 za mimba na mimba changa, kuanzia siku ya kwanza mpaka mwezi mmoja

Soma Zaidi...
Kutokwa na damu baada ya tendo la ndoa

Kutokwa na damu baada ya tendo la ndoabkunaweza kuashiria kuwa kuna majeraha yametokea huwenda ni michubuko ilitokea ndio ikavujisha damu. Lakini kwa nini hali kama hii itokee. Posti hii itakwwnda mujibu swali hili.

Soma Zaidi...
Zifahamu sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi ambayo kwa kitaalamu huitwa follapian tube, ni sababu ambazo ufanya mirija ya follapian tube kuziba.

Soma Zaidi...
Fahamu dalili za mapacha walio unganishwa

Mapacha walioungana ni watoto wawili wanaozaliwa wakiwa wameunganishwa kimwili. Mapacha walioungana hukua wakati kiinitete cha mapema kinapojitenga na kuunda watu wawili. Ingawa fetusi mbili zitakua kutoka kwa kiinitete hiki, zitabaki zimeunganishwa mar

Soma Zaidi...
Namna ya kuongeza na mjamzito ili kupata taarifa zake na kutoa msaada

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kugundua tatizo lake na kutoa msaada pale penye uhitaji.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba kuanzia siku 7 Hadi 14

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba kuanzia siku ya 7 Hadi ya 14

Soma Zaidi...