Wanaowajibika kuhijji
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Wanaowajibika kuhiji.
- Waislamu wenye sifa zifuatazo wanalazimika kuhiji;
- Waliobaleghe – Watoto wadogo hawawajibiki kuhiji hata kama wana uwezo,
hata hivyo wanaruhusiwa chini ya uangalizi wa wazazi wao.
- Wenye Akili timamu – Asiye na akili timamu hawajibikiwi kwa ibada yeyote
ile katika Uislamu.
- Waungwana – Wafungwa au watumwa hawawajibiki kwa Hijja mkapa
watakapokuwa huru.
- Wenye uwezo – Waislamu wote wenye uwezo kimali na afya njema ni wajibu
kutekeleza ibada ya Hijjah.
- Wasio katika kizuizi – Waliowekewa kizuizi au kuzuiliwa kwa sababu za
kiusalama sio wajibu kwao kuhiji muda huo.
- Wanawake waongozane na maharimu wao.
- Mwanamke mwenye uwezo atawajibika kuhiji iwapo ataongozana na
maharimu wake.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Kugungisha ndoa ya kiislamu hatuwa kwa hatuwa
Hapa utajifunza jinsi ya kuozesha hatuwa kwa hatuwa. Pia utajifunza masharti ya kuoa na masharti ya kuolewa.
Soma Zaidi...Umuhimu na nafasi za hijjah katika uislamu
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Zoezi la 6 kusimamisha swala
Zoezi hili linamaswali mbalimbali kuhusiana na swala na masharti ya swala.
Soma Zaidi...Vipi utapata uchamungu kupitia funga
Vipi lengo la funga litafikiwa na kumfanya mfungaji awe mchamungu.
Soma Zaidi...