Wanaowajibika kuhijji
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Wanaowajibika kuhiji.
- Waislamu wenye sifa zifuatazo wanalazimika kuhiji;
- Waliobaleghe – Watoto wadogo hawawajibiki kuhiji hata kama wana uwezo,
hata hivyo wanaruhusiwa chini ya uangalizi wa wazazi wao.
- Wenye Akili timamu – Asiye na akili timamu hawajibikiwi kwa ibada yeyote
ile katika Uislamu.
- Waungwana – Wafungwa au watumwa hawawajibiki kwa Hijja mkapa
watakapokuwa huru.
- Wenye uwezo – Waislamu wote wenye uwezo kimali na afya njema ni wajibu
kutekeleza ibada ya Hijjah.
- Wasio katika kizuizi – Waliowekewa kizuizi au kuzuiliwa kwa sababu za
kiusalama sio wajibu kwao kuhiji muda huo.
- Wanawake waongozane na maharimu wao.
- Mwanamke mwenye uwezo atawajibika kuhiji iwapo ataongozana na
maharimu wake.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 ai web app 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Msimamo wa uislamu juu ya utumwa
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Ni upi umuhimu wa kufunga katika uislamu
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu umuhimu wa kufunga kiroho, kiafya na kijamii.
Soma Zaidi...Faida za kuswali swala za sunnah
Posti hii inakwenda kukufundisha kuhush swala za sunnah.
Soma Zaidi...Utaratibu wa kuzika maiti ya kiislamu, hatua kwa hatua
Kuzika Kuzika ni kitendo cha nne cha faradh tunacho lazimika kumfanyia ndugu yetu aliyetutangulia kufa.
Soma Zaidi...