Wanaowajibika kuhijji
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Wanaowajibika kuhiji.
- Waislamu wenye sifa zifuatazo wanalazimika kuhiji;
- Waliobaleghe – Watoto wadogo hawawajibiki kuhiji hata kama wana uwezo,
hata hivyo wanaruhusiwa chini ya uangalizi wa wazazi wao.
- Wenye Akili timamu – Asiye na akili timamu hawajibikiwi kwa ibada yeyote
ile katika Uislamu.
- Waungwana – Wafungwa au watumwa hawawajibiki kwa Hijja mkapa
watakapokuwa huru.
- Wenye uwezo – Waislamu wote wenye uwezo kimali na afya njema ni wajibu
kutekeleza ibada ya Hijjah.
- Wasio katika kizuizi – Waliowekewa kizuizi au kuzuiliwa kwa sababu za
kiusalama sio wajibu kwao kuhiji muda huo.
- Wanawake waongozane na maharimu wao.
- Mwanamke mwenye uwezo atawajibika kuhiji iwapo ataongozana na
maharimu wake.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 ai web app 👉3 web hosting 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Tofauti ya uchumi wa kiislamu na uchumi wa kikafiri
Uchumi wa kiislamu unatofautiana sana na uchumi wa kikafiri. Hapa utajifunza tofauti hizo.
Soma Zaidi...Vituo vya kunuia hijjah au umrah
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Mafunzo ya swala
Jifunze namna ya kuswali, zijuwe aina za swala na ujifunze masharti ya swala, kwa nini swala hazijibiwi? nini kifanyike?
Soma Zaidi...Jukumu la serikali katika kuzuia dhuluma
Serikali ina nafasi kubwa katika kuzuia dhulma na kufanya uchumibuwe huru kuyokana na dhulma.
Soma Zaidi...Sanda ya mwanamke na namna ya kumkafini
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: Dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...