picha

Wanaowajibika kuhijji

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-    Waislamu wenye sifa zifuatazo wanalazimika kuhiji;

  1. Waliobaleghe – Watoto wadogo hawawajibiki kuhiji hata kama wana uwezo, 

                    hata hivyo wanaruhusiwa chini ya uangalizi wa wazazi wao.                

  1. Wenye Akili timamu –  Asiye na akili timamu hawajibikiwi kwa ibada yeyote

                        ile katika Uislamu.

 

  1. Waungwana –  Wafungwa au watumwa hawawajibiki kwa Hijja mkapa

                  watakapokuwa huru.

 

  1. Wenye uwezo – Waislamu wote wenye uwezo kimali na afya njema ni wajibu 

                      kutekeleza ibada ya Hijjah.

 

  1. Wasio katika kizuizi – Waliowekewa kizuizi au kuzuiliwa kwa sababu za

                        kiusalama sio wajibu kwao kuhiji muda huo.

 

  1.    Wanawake waongozane na maharimu wao. 
    • Mwanamke mwenye uwezo atawajibika kuhiji iwapo ataongozana na

      maharimu wake.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/01/07/Friday - 12:43:02 am Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 2120

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Nguzo za uislamu

Katika kipengele hiki tutajifunza nguzo za uislamu.aina tano za nguzo za uislamu,dhana ya nguzo za uislamu,lengo na umuhimu wa nguzo za uislamu

Soma Zaidi...
Jinsi ya kiswali swala ya haja

Post hii itakufundisha kuhusu swala ya haja na jisi ya kuiswali.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutekeleza funga za sunnah

Hapa utajifunza muda wa kutia jia katika funga za sunnah. Pia utajifunza kuhusu uhuru ulio nao

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutawadha kama aalivyotawadha Mtume Muhammad (s.a.w)

Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutawadha kama vile ambavyo alitawadha Mtume

Soma Zaidi...
Maana ya Funga ya ramadhani kisheria na Aina za funga

Amesema mtume (s.a.w) kuwa Allah (s.w) amesema: kila amali ya mwanaadamu ni kwa ajili yake isipokuwa funga.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kujitwaharisha kutokana na najisi

Post hii inakwenda kukufundisha jinsi ya kujitwaharisha kutokana na najisi.

Soma Zaidi...