Wanaowajibika kuhijji

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-    Waislamu wenye sifa zifuatazo wanalazimika kuhiji;

  1. Waliobaleghe – Watoto wadogo hawawajibiki kuhiji hata kama wana uwezo, 

                    hata hivyo wanaruhusiwa chini ya uangalizi wa wazazi wao.                

  1. Wenye Akili timamu –  Asiye na akili timamu hawajibikiwi kwa ibada yeyote

                        ile katika Uislamu.

 

  1. Waungwana –  Wafungwa au watumwa hawawajibiki kwa Hijja mkapa

                  watakapokuwa huru.

 

  1. Wenye uwezo – Waislamu wote wenye uwezo kimali na afya njema ni wajibu 

                      kutekeleza ibada ya Hijjah.

 

  1. Wasio katika kizuizi – Waliowekewa kizuizi au kuzuiliwa kwa sababu za

                        kiusalama sio wajibu kwao kuhiji muda huo.

 

  1.    Wanawake waongozane na maharimu wao. 

      maharimu wake.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/01/07/Friday - 12:43:02 am     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1049

Post zifazofanana:-

Ujue ugonjwa wa kuishiwa na damu
post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuishiwa damu kwa kitaalamu huitwa(Anemia) ni ugonjwa wa kuishiwa na damu mwilini na kusababisha maisha ya mtu kuwa hatarini Soma Zaidi...

Sababu zinazopelekea maumivu ya Matiti.
'Maumivu ya matiti hutokea zaidi kwa watu ambao hawajamaliza hedhi, ingawa yanaweza kutokea baada ya kukoma hedhi.' Soma Zaidi...

Ijue kazi ya homoni ya HCG wakati wa kupima mimba.
Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya HCG katika kupima mimba, HCG maana yake ni human chorionic gonadotropin ni homoni ambayo uonekanekana kwenye mkojo na damu kama mtu ana mimba. Soma Zaidi...

Kumswalia maiti, masharti ya swala ya maiti
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo
Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mwenye matatizo ya uti wa mgongo, ni vyakula ambavyo upunguza makali kwenye uti wa Mgongo. Soma Zaidi...

Namna magonjwa ya koo yanavyosambaa
Posti hii inahusu zaidi namna ya magonjwa ya koo yanavyosambaa, magonjwa haya usambaa kutoka sehemu Moja kwenda nyingine kwa njia tofauti kama ifuayavyo Soma Zaidi...

Dalili za tonsillitis (mafindo mafindo)
Tonsillitis kwa kiswahili hujulikana kama mafundomafundo ambayo hutokea pande mbili karibu na Koo na huwa na uvimbe na zikikaa kwa muda bila matibabu hutoa usaha.Dalili na dalili za ugonjwa wa tonsillitis ni pamoja na Soma Zaidi...

Walio katika hatari ya kupata magonjwa ya ngono
Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye liski ya kupata magonjwa ya ngono, ni watu wanaofanya mambo yanayosababisha kupata magonjwa ya ngono. Soma Zaidi...

Kuamini vitabu vya mwenyezi Mungu (s.w)
Nguzo za Imani (EDK form 2: Dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Saratul-humaza
Quran (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Namna ya kumhudumia mtu aliyeingongwa na nyoka
Posti hii inahusu njia na namna ya kumhudumia aliyeingiwa na nyoka. Nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na mtu akifinywa na nyoka asipohudumiwa anaweza kupata ulemavu au kupoteza maisha Soma Zaidi...

Zifahamu sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi ambayo kwa kitaalamu huitwa follapian tube, ni sababu ambazo ufanya mirija ya follapian tube kuziba. Soma Zaidi...