Msimamo wa uislamu juu ya utumwa

Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)

     5.2. Msimamo wa Uislamu juu ya Utumwa.
Hali ya Utumwa kabla ya Mtume Muhammad (s.a.w).
-  Biashara ya utumwa ilidumu na kuenea sana enzi za ujahili takribani nchi na 
mabara mbali mbali hasa nchi za Magharibi, Uarabuni, Bara la Asia na      kwingineko Duniani. 

-  Watumwa walikuwa wakikamatwa na kutezwa nguvu bila kujali utu na  
    ubinaadamu wao.

-  Watumwa walimilikiwa kwa kuuzwa na kununuliwa kama bidhaa za biashara
    au kwa matumizi mengineyo pia.

-  Watumwa walikuwa wakitumika kama sehemu ya starehe na kiburudisho kwa
   wakubwa zao.

-  Mateso, unyama na ukatili ilikuwa desturi ya kufanyiwa watumwa na mabwana
    zao katika kutimiza matashi yao.

-  Watumwa walikuwa hawana uhuru wa kufanya na kufuata mila, desturi au dini 
    waitakayo na waipendayo wao wenyewe bila ruhusa ya wakubwa wao.

- Watumwa walikuwa wakitumikishwa kama wanyama au hata zaidi ya wanyama 
    kwa kufanyishwa kazi ngumu zilizozidi uwezo wao.

-  Kila jaribio la ubaya lilifanywa kupitia watumwa, mfano makali ya kisu, mkuki, 
    mshale, n.k yalijaribiwa kwa watumwa.

-  Watumwa ndio ilikuwa nyenzo pekee ya kufanyia kazi, kubebea na kusafirishia
    mizigo mikubwa kwa masafa ya mbali.

-  Hadhi na nafasi kati ya mabwa na watumwa ilikuwa na utofauti mkubwa mno, 
   kiasi kwamba bwana anaweza kumdhalilisha mtumwa kwa namna apendavyo. 

-  Huduma na misaada ya kiutu kwa watumwa ilikuwa hafifu mno, kiasi kwamba
   mtumwa akiugua au kukosa uwezo wa kuzalisha mali alikuwa hana faida tena
   kwa bwana.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 2353

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Hadhi na Haki za Mwanamke katika jamii mbalimbali hapo zamani

Utangulizi:Uislamu unamuelekeza mwanaadamu namna nzuri ya kuendesha maisha yake katika kila kipengele cha maisha akiwa binafsi, katika familia na katika jamii.

Soma Zaidi...
Je ni nani mwenye haki ya kutaliki

Hapabutajifunza endapp mwanamke anahitaji kuachwa ni nini anatakiwa afanye.

Soma Zaidi...
Kutoa vilivyo halali

Nguzo za uislamu (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Twahara na umuhimu wake katika uislamu

Katika post hii utajifunza maana ya twahara kiligha na kishria. Pia utajifunza umuhimu wake

Soma Zaidi...
Siku zilizoharamishwa kufunga Sunnah

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...