Msimamo wa uislamu juu ya utumwa

Msimamo wa uislamu juu ya utumwa

Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu)

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

     5.2. Msimamo wa Uislamu juu ya Utumwa.
Hali ya Utumwa kabla ya Mtume Muhammad (s.a.w).
-  Biashara ya utumwa ilidumu na kuenea sana enzi za ujahili takribani nchi na 
mabara mbali mbali hasa nchi za Magharibi, Uarabuni, Bara la Asia na      kwingineko Duniani. 

-  Watumwa walikuwa wakikamatwa na kutezwa nguvu bila kujali utu na  
    ubinaadamu wao.

-  Watumwa walimilikiwa kwa kuuzwa na kununuliwa kama bidhaa za biashara
    au kwa matumizi mengineyo pia.

-  Watumwa walikuwa wakitumika kama sehemu ya starehe na kiburudisho kwa
   wakubwa zao.

-  Mateso, unyama na ukatili ilikuwa desturi ya kufanyiwa watumwa na mabwana
    zao katika kutimiza matashi yao.

-  Watumwa walikuwa hawana uhuru wa kufanya na kufuata mila, desturi au dini 
    waitakayo na waipendayo wao wenyewe bila ruhusa ya wakubwa wao.

- Watumwa walikuwa wakitumikishwa kama wanyama au hata zaidi ya wanyama 
    kwa kufanyishwa kazi ngumu zilizozidi uwezo wao.

-  Kila jaribio la ubaya lilifanywa kupitia watumwa, mfano makali ya kisu, mkuki, 
    mshale, n.k yalijaribiwa kwa watumwa.

-  Watumwa ndio ilikuwa nyenzo pekee ya kufanyia kazi, kubebea na kusafirishia
    mizigo mikubwa kwa masafa ya mbali.

-  Hadhi na nafasi kati ya mabwa na watumwa ilikuwa na utofauti mkubwa mno, 
   kiasi kwamba bwana anaweza kumdhalilisha mtumwa kwa namna apendavyo. 

-  Huduma na misaada ya kiutu kwa watumwa ilikuwa hafifu mno, kiasi kwamba
   mtumwa akiugua au kukosa uwezo wa kuzalisha mali alikuwa hana faida tena
   kwa bwana.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1920

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana: