Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Ajiepushe na kauli na vitendo viovu na vichafu.
- Azidishe kusoma Qur’an na kusimamisha swala za faradh kwa jamaa na kusimamisha swala za sunnah kwa wingi.
- Kuomba msamaha na kutubu kikweli kweli kwa Allah (s.w).
- Kujitahidi kujipamba na kila tabia njema na kuamiliana kwa wema na wanahajj wengine.
- Ajitahidi kujumuika na wanahajj kutoka sehemu mbali mbali Ulimwenguni.
- Ajiepushe na matamanio wanapokuwa katika mchanganyiko wa wanaume na wanawake katika Hijja
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Atika uislamu swala la kupanga uzazi linaruhusiwa endapo kutakuwa na sababu maalumu za kisheria.
Soma Zaidi...Post hii itakujuza maana ya uislamu na nguzo zake.
Soma Zaidi...Je unadhani ni kwa nini waislamu wanaelekea kibla, na jinsi gani utaweza kukipata kibla.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza watu wanaorithi bila ya kuwekewa mafungu maalumu au viwango maalumi vya kurithi.
Soma Zaidi...Je jamii inachukuliaje swala la kuoa mke zaidi ya mmoja.
Soma Zaidi...