Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Ajiepushe na kauli na vitendo viovu na vichafu.
- Azidishe kusoma Qur’an na kusimamisha swala za faradh kwa jamaa na kusimamisha swala za sunnah kwa wingi.
- Kuomba msamaha na kutubu kikweli kweli kwa Allah (s.w).
- Kujitahidi kujipamba na kila tabia njema na kuamiliana kwa wema na wanahajj wengine.
- Ajitahidi kujumuika na wanahajj kutoka sehemu mbali mbali Ulimwenguni.
- Ajiepushe na matamanio wanapokuwa katika mchanganyiko wa wanaume na wanawake katika Hijja
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kipengele hichi tutajifunza namna ya kusimamisha swala ukiwa safarini na vitani na nguzo zake.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kuhusu swala ya haja na jisi ya kuiswali.
Soma Zaidi...Kwa nini Lengo la Funga halifikiwi na Wafungaji Wengi?
Soma Zaidi...Yajuwe mambo ambayo yanapendeza kuyafanya wakati ukiwa umefunga Ramadhani.
Soma Zaidi...Haya ni madhara ya riba katika jamii. Ni kwa namna gani jamii inadhurika kutokana na riba?
Soma Zaidi...