Posti inahusu zaidi njia maalum za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha,Ni njia za uzazi ambazo wanaonyesha wanatumia kwa sababu kuna njia nyingine zikitumiwa na wanaonyonyesha zinaweza kuleta matatizo kwa watoto au kusababisha maziwa kutokuwa na vitamini v
Njia za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha.
1. Kwanza kabisa tunajua kuwa maziwa ya Mama yanapaswa kuwa na virutubisho vyote vinavyohitajika kuna wakati mwingine virutubisho hivyo vinaweza kupunguza kwa sababu mbalimbali kama vile madawa, aina ya vyakula na njia mbalimbali za uzazi wa mpango ili kuepuka tatizo hili wanawake wanaonyonyesha wanapaswa kutumia njia zifuatazo.
2.Matumizi ya kitanzini.
Hii njia utumiwa na wanawake wanaonyonyesha kwa sababu haingiliani na uzalishaji wa maziwa, kitanzi hiki kimetengenezwa na madini ya kopa na uwekwa kwenye mlango wa kizazi na kinaweza kukaa kwa mda wa miaka kumi na miwili, kwa hiyo uzuia mbegu za kiume kutokutana na mbegu za kike kwa hiyo mimba haiwezi kutungwa.
3.Pia wanaonyonyesha wanaweza kutumia njiti kwa sababu haingiliani na uzalishaji wa maziwa, huu njiti uwekwa mwilini juu ya mkono na uweza kuzuia mimba kwa kipindi cha miaka mitano, kwa hiyo kina homoni ambayo uzuia yai kupevuka kwa hiyo njia hizi inaweza kuwa na maudhi madogo madogo kama vile kutapika, kichefuchefu na kizungu Zungu na hivyo uisha kwenye miezi ya mwanzo na maisha uendelee kama kawaida.
4.Njia ya kutumia homoni ya progesterone peke yake iwe ya kuchoma au kutumia vidonge, hii ni njia ambayo uzuia yai lisipevuke na pia haingiliani na uzalishaji wa maziwa kwa hiyo mama anayenyonyesha anapaswa kutumia progesterone homoni peke yake asije akachanganya na oestrogen kwa sababu uingiliana na uzalishaji wa maziwa.
5.Pia Mama anaweza kutumia njia ya kunyonyesha kwa miezi sita ya mwanzoni baada ya hapo anaweza kutumia njia yoyote ya uzazi wa mpango, na pia kama familia haina mpango wa watoto wengine wanaweza kutumia njia ya kudumu ambapo wote wawili wanakata mirija inayosafirisha mbegu na yai kwa kufanya hivyo hawawezi kupata watoto tena, kwa hiyo hizi ndio njia pekee kwa wanaonyesha na pia kondomu inaweza kutumika.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Kama unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa, suluhisho lako lipo kwenye makala hii
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke ukizingatia usafi huwa unafanyika mara kwa mara ila harufu bado inaendelea kuwa mbaya kwa hiyo tutaona sababu hapo chini.
Soma Zaidi...Nitajuwaje kama mjamzito amekaribia kujifunguwa, ni dalili gani anaonyesha, dalili za uchungu wa kujifunguwa
Soma Zaidi...Jifunze muda ambao mjamzito hatatkiwa kishiriki tendo la ndoa. je kuna madhara kwa mjamzito kushiriki tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Ni mida gani njamzito ananza kuhisi kuwa tumboni anebeba mtoto.
Soma Zaidi...dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo utakuwa na dalili za mimba lakini kila ukipima hakuna mimba.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mda ambao mama anapaswa kukaa bila kufanya tendo la ndoa mara tu baada ya kujifungua.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka mambo haya yanaweza yakawahusu akina Mama wenyewe, familia na jamii kwa ujumla.
Soma Zaidi...