Namna ya kufunga kitovu cha mtoto.

Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufunga kitovu cha mtoto mara tu anapozaliwa, kwa kawaida tunafahamu kwamba ili mtoto aweze kuishi akiwa tumboni anategemea sana kula na kufanya shughuli zake kwa kupitia kwenye plasenta kwa hiyo mtoto akizaliwa tu

Namna ya kufunga kitovu cha mtoto.

1. Tufahamu kuwa kitovu cha mtoto kinakuwa kimeunganika na Mama pindi mtoto anapozaliwa kwa hiyo mtoto anapolia tu pale wakati wa kuzaliwa anaanza kutegemea hewa ya nje na kuacha kutegemea hewa ya kupitisha kwenye plasenta kwa hiyo kitovu hicho kinaweza kutenganishwa na pia mtoto akaanza kutumia maziwa ya Mama kama chakula chake.na kitovu hiki kinahitaji sana umakini wakati wa kutenganishwa ili kuweza kuepuka matatizo ya Maambukizi na kuoza kwenye sehemu ya kitovu.

 

2. Kwa hiyo hatua ya kwanza tunapaswa kutenganisha mtoto kutoka kwenye plasenta kwa hiyo tunapima sentimita kuanzia nane mpaka kumi na tunabana, hizo sentimita zinaanzia kwenye kitovu cha mtoto tunafanya hivyo ili kuepuka kuchanganya damu ya Mama na mtoto.

 

3. Wakati wa kufanya hivyo tunazingatia usafi wa hali ya juu na kutumia glovesi nzuri na za kitaaluma zinazoitwa stelire gloves, kwa kufanya hivyo tunaepuka Maambukizi yanayoweza kujitokeza kwa wakati wowote.

 

4. Pa damu ukiacha kuzunguka tunapima sentimita mbili kutoka kwa mtoto na kufunga vizuri na pia tunapima sentimita tatu kutoka kwenye sentimita mbili na tunafunga, kwa hiyo tunakata kati kati ya sentimita mbili na tatu na tunazingatia usafi kwa kuweka kitambaa ili damu iweze kudondoka humo.

 

5.Baada ya kumaliza kuweka vizuri kitovu chukua vifaa vyote kwenye sehemu muhimu na inayohitajika na kuosha mikono vizuri kwa maji na sabuni hatimaye unaweza kuendelea na vitu vingine.na pia walezi na wazazi wote wanapaswa kuachana na mila potofu za kuweka vitu visivyofaa kwenye kitovu kwa hiyo niache kitovu kitakauka chenyewe.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 5269

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Njia huanza kufunguka mda gani kabla ya kujifungua

Mtoto huweza kuzaliwa ndani ya miezi 6 na unaweza kupona. Na huyu mdoe mtoto njiti. Na anaweza kuzliwa kwa njia ya kawaida. Hakuna ushahidi unaiinyesha kuwa njiti hukabiliwanamatatizo ya kitalima kwenye ukubwa wako.

Soma Zaidi...
Je kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo?

Nimesoma makala yenu, sasa nina swaliJe kitunguu saumu kina madhara kwa Mgonjwa wa figo?

Soma Zaidi...
Wanaopasawa kutumia PEP

PEP Ni dawa ambazo utumiwa na watu wanaojamiiana na watu wenye virus vya ukimwi ila wenyewe hawawezi kupata kwa sababu ya kutumia dawa hizo.

Soma Zaidi...
Mimi kwenye korodani yai moja limezungukwa na majimaji ,na haya maji yamekuwepo toka utotoni mwangu lakin bado sijayaona matatizo yake , je kitaaramu hii inaweza kua na athari gani? ,Naombeni ushauri

Korodani ni kiungo muhimu kwa mwanaume, katika afya ya uzazi. Unaweza kusema ni kiwanda cha kutengeneza mbegu za kiume. Kiungo hiki ni sawa na ovari kwa mwanamke.

Soma Zaidi...
Utaratibu kwa wajawazito na wanaonyonshesha wakiwa na virusi vya ukimwi na ukimwi

Je kuna madhara kwa mwenye virusi vya ukimwi kunyonyesha ama kubeba mimba, na nini afyanye kama ameshabeba mimba ama kama ananyonyesha

Soma Zaidi...
Faida za uzazi wa mpango kwa watu wenye ugonjwa wa Ukimwi

Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, ni faida wanazozipata waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi.

Soma Zaidi...
Lazima matiti kuuma ka mimba changa?

Kuuma mwa matiti ni moka ya Ichiro kuwa huwenda ni ujauzito. Hii haimaanishi etindio mjamzito, zipo dalili nyingi za ujauzito. Hata hivyo kuona dalili za ujauzito haimaanishi umepata tayari ujauzito. Kwanza fanya vipimondipo Upate uhakika

Soma Zaidi...
Je nitahakikisha vipi Kama Nina ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuhakiki Kama u-mjamzito

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya mzunguko wa damu kwa wajawazito, tunajua wazi kuwa wajawazito pindi ujauzito ukiingia tu, kila kitu kwenye mwili ubadilika vile vile na mzunguko wa damu ubadilika.

Soma Zaidi...