Namna ya kufunga kitovu cha mtoto.


image


Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufunga kitovu cha mtoto mara tu anapozaliwa, kwa kawaida tunafahamu kwamba ili mtoto aweze kuishi akiwa tumboni anategemea sana kula na kufanya shughuli zake kwa kupitia kwenye plasenta kwa hiyo mtoto akizaliwa tu, tunapaswa kutenganisha.


Namna ya kufunga kitovu cha mtoto.

1. Tufahamu kuwa kitovu cha mtoto kinakuwa kimeunganika na Mama pindi mtoto anapozaliwa kwa hiyo mtoto anapolia tu pale wakati wa kuzaliwa anaanza kutegemea hewa ya nje na kuacha kutegemea hewa ya kupitisha kwenye plasenta kwa hiyo kitovu hicho kinaweza kutenganishwa na pia mtoto akaanza kutumia maziwa ya Mama kama chakula chake.na kitovu hiki kinahitaji sana umakini wakati wa kutenganishwa ili kuweza kuepuka matatizo ya Maambukizi na kuoza kwenye sehemu ya kitovu.

 

2. Kwa hiyo hatua ya kwanza tunapaswa kutenganisha mtoto kutoka kwenye plasenta kwa hiyo tunapima sentimita kuanzia nane mpaka kumi na tunabana, hizo sentimita zinaanzia kwenye kitovu cha mtoto tunafanya hivyo ili kuepuka kuchanganya damu ya Mama na mtoto.

 

3. Wakati wa kufanya hivyo tunazingatia usafi wa hali ya juu na kutumia glovesi nzuri na za kitaaluma zinazoitwa stelire gloves, kwa kufanya hivyo tunaepuka Maambukizi yanayoweza kujitokeza kwa wakati wowote.

 

4. Pa damu ukiacha kuzunguka tunapima sentimita mbili kutoka kwa mtoto na kufunga vizuri na pia tunapima sentimita tatu kutoka kwenye sentimita mbili na tunafunga, kwa hiyo tunakata kati kati ya sentimita mbili na tatu na tunazingatia usafi kwa kuweka kitambaa ili damu iweze kudondoka humo.

 

5.Baada ya kumaliza kuweka vizuri kitovu chukua vifaa vyote kwenye sehemu muhimu na inayohitajika na kuosha mikono vizuri kwa maji na sabuni hatimaye unaweza kuendelea na vitu vingine.na pia walezi na wazazi wote wanapaswa kuachana na mila potofu za kuweka vitu visivyofaa kwenye kitovu kwa hiyo niache kitovu kitakauka chenyewe.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Uchafu unaotoka ukeni na rangi zake.
Posti hii inahusu zaidi uchafu unaotoka ukeni na rangi zake, kwa kawaida ukeni utolewa uchafu, uchafu huo unaweza kuwa kawaida na unaweza kuwa na rangi mbalimbali kutokana na kuwepo kwa Maambukizi. Soma Zaidi...

image Nimegundua ni mjamzito na kibaya zaid namtoto mchanga nimefanyiwa opaleshen naomba ushauli wako mkuu
Inatakiwa angalau nafasivkati ya mtoto na mtoto wapishane miaka miwili. Soma Zaidi...

image Yajue madhara ya kutoa mimba mara Kwa mara
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale wenye tabia ya kutoa mimba mara Kwa mara . Soma Zaidi...

image Sababu za kuongezeka uzito wa wajawazito.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuongezeka uzito kwa wajawazito, Mara nyingi Mama akibeba mimba uongezeka uzito kutoka wiki ya Kwanza mpaka wiki ya mwisho ya kujifungua. Soma Zaidi...

image Dalili za vidonda vya tumbo
Vidonda vya tumbo no tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda,hutokea baada ya ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaitwa mucus kuharibika. Vidonda vya tumbo (peptic ulcers) imegawanyika katika makundi mawili ambayo n 1.vidonda vya tumbo mkumbwa(Gastric ulcers) ambapo hukaa ndani kabisa na hivi tuna hugundulika kama n chronic 2.vidonda vya utumbo mdogo (duodenal ulcers) hukaa njee ya ukuta Soma Zaidi...

image mimi mara ya mwisho kubleed ilikuwa tareh 3/9 nilisex tarehe 4 je ni kwel nna mimba maana hadi sasa sijableed au ni kawaida tu
Je unaijuwa siku yako hatari ya kupata mimba. Na itakuwaje kama tayari umebeba mimba changa. Nakala hii inakwenda kukushauri machache kuhusu maswali haya. Soma Zaidi...

image Sababu za wajawazito kupata Bawasili.
Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali ambazo zinafanya wajawazito kupata ugonjwa wa Bawasili, kwa sababu tatizo hili linawapa wakina mama wajawazito, kwa hiyo tutaona kwa nini wajawazito wanapatwa na tatizo hili sana. Soma Zaidi...

image Mimi kwenye korodani yai moja limezungukwa na majimaji ,na haya maji yamekuwepo toka utotoni mwangu lakin bado sijayaona matatizo yake , je kitaaramu hii inaweza kua na athari gani? ,Naombeni ushauri
Korodani ni kiungo muhimu kwa mwanaume, katika afya ya uzazi. Unaweza kusema ni kiwanda cha kutengeneza mbegu za kiume. Kiungo hiki ni sawa na ovari kwa mwanamke. Soma Zaidi...

image Mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito.
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito, ni mabadiliko ambayo utokea kwa wajawazito hasa kwenye mfumo wa chakula. Soma Zaidi...

image Aina mbalimbali za mimba kutoka.
Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za mimba kutoka, hizi ni jinsi mimba inavyoonyesha dalili za kutoka na nyingine zinaweza kuonyesha dalili Ila kwa sababu ya huduma mbalimbali za kwanza hizo mimba zinaweza kudhibiiwa na mtoto akazaliwa. Soma Zaidi...