picha

Namna ya kufunga kitovu cha mtoto.

Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufunga kitovu cha mtoto mara tu anapozaliwa, kwa kawaida tunafahamu kwamba ili mtoto aweze kuishi akiwa tumboni anategemea sana kula na kufanya shughuli zake kwa kupitia kwenye plasenta kwa hiyo mtoto akizaliwa tu

Namna ya kufunga kitovu cha mtoto.

1. Tufahamu kuwa kitovu cha mtoto kinakuwa kimeunganika na Mama pindi mtoto anapozaliwa kwa hiyo mtoto anapolia tu pale wakati wa kuzaliwa anaanza kutegemea hewa ya nje na kuacha kutegemea hewa ya kupitisha kwenye plasenta kwa hiyo kitovu hicho kinaweza kutenganishwa na pia mtoto akaanza kutumia maziwa ya Mama kama chakula chake.na kitovu hiki kinahitaji sana umakini wakati wa kutenganishwa ili kuweza kuepuka matatizo ya Maambukizi na kuoza kwenye sehemu ya kitovu.

 

2. Kwa hiyo hatua ya kwanza tunapaswa kutenganisha mtoto kutoka kwenye plasenta kwa hiyo tunapima sentimita kuanzia nane mpaka kumi na tunabana, hizo sentimita zinaanzia kwenye kitovu cha mtoto tunafanya hivyo ili kuepuka kuchanganya damu ya Mama na mtoto.

 

3. Wakati wa kufanya hivyo tunazingatia usafi wa hali ya juu na kutumia glovesi nzuri na za kitaaluma zinazoitwa stelire gloves, kwa kufanya hivyo tunaepuka Maambukizi yanayoweza kujitokeza kwa wakati wowote.

 

4. Pa damu ukiacha kuzunguka tunapima sentimita mbili kutoka kwa mtoto na kufunga vizuri na pia tunapima sentimita tatu kutoka kwenye sentimita mbili na tunafunga, kwa hiyo tunakata kati kati ya sentimita mbili na tatu na tunazingatia usafi kwa kuweka kitambaa ili damu iweze kudondoka humo.

 

5.Baada ya kumaliza kuweka vizuri kitovu chukua vifaa vyote kwenye sehemu muhimu na inayohitajika na kuosha mikono vizuri kwa maji na sabuni hatimaye unaweza kuendelea na vitu vingine.na pia walezi na wazazi wote wanapaswa kuachana na mila potofu za kuweka vitu visivyofaa kwenye kitovu kwa hiyo niache kitovu kitakauka chenyewe.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/04/07/Thursday - 07:21:59 pm Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 5879

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 ai web app    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID

Posti hii inahusu zaidi tiba ya awali kwa mwanamke mwenye changamoto ya PID, tunaita tiba ya awali kwa sababu baada ya kupima na kugunduliwa kwamba una tatizo au changamoto ya PID ni vizuri kutumia tiba hiii baadae ndipo utumie dawa.

Soma Zaidi...
Dalili za Ujauzito mchanga Siku Saba Baada ya Ovulation

Unaweza kujiuliza ikiwa inawezekana kupata dalili za ujauzito mchanga kama siku 7 baada ya kudondoshwa kwa yai (DPO yaani Days Past Ovulation).

Soma Zaidi...
Nini husababisha korodani moja kuwa kubwa kuliko nyingine

kama pumbu moja ni kubwa uliko jingine post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakwend akuangalia vinavyoweza kusababisha korodani moja kuw akubwa zaidi ya lingine

Soma Zaidi...
Vyanzo vya mwanamke kushindwa kupata ujauzito

Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya mwanamke kushindwa kupata ujauzito, kwa sababu kuna sababu nyingi ambazo Usababisha mwanamke kushindwa kupata ujauzito kama tutakavyoona hapo mbeleni

Soma Zaidi...
Vipimo muhimu wakati wa ujauzito

Post hii inahusu zaidi vipimo muhimu wakati wa ujauzito ni vipimo ambavyo vinapaswa kupimwa na Mama ili kuangalia mambo mbalimbali katika damu au sehemu yoyote, pia vipimo hivi umsaidia sana Mama kujua afya yake.

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa homoni ya progesterone

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.

Soma Zaidi...
DARASA LA AFYA NA AFYA YA UZAZI

Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.

Soma Zaidi...
Njia za kufanya ili kuepukana na tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo mtu anapaswa kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili kisiweze kutokea na pia kama jamii ikishirikiana kwa pamoja tunaweza kuepusha kwa kufanya yafuatayo.

Soma Zaidi...
Dalili za ujauzito: Nini kinatokea kwanza

Je, unafahamu dalili za mwanzo za ujauzito? Kutoka kwa kichefuchefu hadi uchovu, ujue nini cha kutarajia.

Soma Zaidi...