Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu
- Ni wajibu wa dola kuhuisha, kuendeleza na kudumisha maadili ya jamii ili kuishi kwa furaha na amani ya kweli.
- Ni wajibu kukomesha maovu ambayo husababisha vurugu, huzuni na mashaka katika jamii.
- Ni wajibu kusimamia haki na uadilifu wa kila raia bila upendeleo wa aina yeyote kama ifuatavyo;
a) Haki za kila binaadamu
- Haki ya kuishi
- Haki ya usalama wa maisha yao
- Haki ya kuheshimu utwaharifu wa manmade
- Haki ya heshima
- Haki ya uhuru binfsi
- Haki ya usawa wa binaadamu
- Haki ya mahusiano
b) Haki za raia Katika Dola ya Kiislamu
- Haki ya kuendesha maisha binafsi
- Haki ya kupinga na kuzuia udhalimu, maovu na kuamrisha mema
- Haki ya uhuru wa kutoa maoni na kuheshimiwa
- Haki ya kuamini na kuabudu
- Haki ya kushitaki viongozi wa Dola
- Haki ya kushika hatamu ya uongozi wa Dola
c) Haki za Wasiokuwa Waislamu Katika Dola ya Kiislamu
- Haki ya ulinzi na usalama wa maisha na mali zao
- Haki katika sheria za jinai
- Haki katika sheria za madai
- Haki ya heshima
- Haki ya uhuru na katika sheria ya mtu binafsi
- Haki ya uhuru wa kuamini na kufanya ibada kwa mujibu wa imani yake. Kumbuka:
Dhimmi hawana haki ya kuongoza katika Dola ya Kiislamu kwa sababu wanaenda kinyume na hawakubaliani na malengo ya Dola.
Rejea Qurโan (2:257)
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika uislamu imekatazwa kutamani kufa hata kama utakuwa ni mtu muovu sana ama mchamungu sana.
Soma Zaidi...ุนููู ุฃูุจูู ููุนูููู ุดูุฏููุงุฏู ุจููู ุฃูููุณู ุฑูุถููู ุงูููู ุนููููู ุนููู ุฑูุณูููู ุงูููููู ุตูู ุงููู ุนููู ู ุณูู ููุงูู: "ุฅููู ุงูููููู ููุชูุจู ุงููุฅูุญ...
Soma Zaidi...Maana ya MirathiMirathi katika Uislamu ni kanuni na taratibu alizoziweka Allah (Sw) katika kuwagawawia na kuwarithisha familia na jamaa, mali aliyoiacha marehemu.
Soma Zaidi...Jifunze mengi kuhusu dini hapa
Soma Zaidi...Haya ni madhara ya riba katika jamii. Ni kwa namna gani jamii inadhurika kutokana na riba?
Soma Zaidi...