Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu

Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu

Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu

- Ni wajibu wa dola kuhuisha, kuendeleza na kudumisha maadili ya jamii ili kuishi kwa furaha na amani ya kweli.


- Ni wajibu kukomesha maovu ambayo husababisha vurugu, huzuni na mashaka katika jamii.


- Ni wajibu kusimamia haki na uadilifu wa kila raia bila upendeleo wa aina yeyote kama ifuatavyo;




a) Haki za kila binaadamu

- Haki ya kuishi

- Haki ya usalama wa maisha yao

- Haki ya kuheshimu utwaharifu wa manmade

- Haki ya heshima

- Haki ya uhuru binfsi

- Haki ya usawa wa binaadamu

- Haki ya mahusiano



b) Haki za raia Katika Dola ya Kiislamu

- Haki ya kuendesha maisha binafsi

- Haki ya kupinga na kuzuia udhalimu, maovu na kuamrisha mema

- Haki ya uhuru wa kutoa maoni na kuheshimiwa

- Haki ya kuamini na kuabudu

- Haki ya kushitaki viongozi wa Dola

- Haki ya kushika hatamu ya uongozi wa Dola



c) Haki za Wasiokuwa Waislamu Katika Dola ya Kiislamu

- Haki ya ulinzi na usalama wa maisha na mali zao

- Haki katika sheria za jinai

- Haki katika sheria za madai

- Haki ya heshima

- Haki ya uhuru na katika sheria ya mtu binafsi

- Haki ya uhuru wa kuamini na kufanya ibada kwa mujibu wa imani yake. Kumbuka:
Dhimmi hawana haki ya kuongoza katika Dola ya Kiislamu kwa sababu wanaenda kinyume na hawakubaliani na malengo ya Dola.
Rejea Qur’an (2:257)



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1518

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Zoezi la nne mada ya fiqh.

Maswali mbalimbali kuhusu fiqh.

Soma Zaidi...
Dhana ya mirathi na kurithi katika zama za ujahiliya

Mirathi katika jamii za kijahiliKatika jamii nyingi za kijahili kama vile jamii ya Waarabu kabla ya Mtume Muhammad (s.

Soma Zaidi...
Hatua za kinga za ugumba na Utasa.

Ugumba ni “ugonjwa wa mfumo wa uzazi unaofafanuliwa kwa kushindwa kupata ujauzito baada ya miezi 12 au zaidi ya kujamiiana bila kinga mara kwa mara. Utasa  kutoweza kwa kiumbe hai kufanya uzazi wa ngono au kutoweza kupata mimba au kuchangia mimba.

Soma Zaidi...
Kugungisha ndoa ya kiislamu hatuwa kwa hatuwa

Hapa utajifunza jinsi ya kuozesha hatuwa kwa hatuwa. Pia utajifunza masharti ya kuoa na masharti ya kuolewa.

Soma Zaidi...
Kwanini lengo la funga halifikiwi na wafungaji wengi

Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Hadhi na Haki za mwanamke katika jamii za Kirumi hapo zamani

(b) WarumiJamii ya Warumi nayo ni miongoni mwa jamii zinazohesabika kuwa zilianza kustaarabika mapema katika historia ya ulimwengu.

Soma Zaidi...