image

Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu

Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu

Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu

- Ni wajibu wa dola kuhuisha, kuendeleza na kudumisha maadili ya jamii ili kuishi kwa furaha na amani ya kweli.


- Ni wajibu kukomesha maovu ambayo husababisha vurugu, huzuni na mashaka katika jamii.


- Ni wajibu kusimamia haki na uadilifu wa kila raia bila upendeleo wa aina yeyote kama ifuatavyo;




a) Haki za kila binaadamu

- Haki ya kuishi

- Haki ya usalama wa maisha yao

- Haki ya kuheshimu utwaharifu wa manmade

- Haki ya heshima

- Haki ya uhuru binfsi

- Haki ya usawa wa binaadamu

- Haki ya mahusiano



b) Haki za raia Katika Dola ya Kiislamu

- Haki ya kuendesha maisha binafsi

- Haki ya kupinga na kuzuia udhalimu, maovu na kuamrisha mema

- Haki ya uhuru wa kutoa maoni na kuheshimiwa

- Haki ya kuamini na kuabudu

- Haki ya kushitaki viongozi wa Dola

- Haki ya kushika hatamu ya uongozi wa Dola



c) Haki za Wasiokuwa Waislamu Katika Dola ya Kiislamu

- Haki ya ulinzi na usalama wa maisha na mali zao

- Haki katika sheria za jinai

- Haki katika sheria za madai

- Haki ya heshima

- Haki ya uhuru na katika sheria ya mtu binafsi

- Haki ya uhuru wa kuamini na kufanya ibada kwa mujibu wa imani yake. Kumbuka:
Dhimmi hawana haki ya kuongoza katika Dola ya Kiislamu kwa sababu wanaenda kinyume na hawakubaliani na malengo ya Dola.
Rejea Qur’an (2:257)



                   





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 391


Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰2 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰3 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Swala ya witiri na faida zake, na jinsi ya kuiswali
Hapa utajifunza jinsi ya kuswali swala ya witiri na faida zake kwa mwenye kuiswali. Soma Zaidi...

Aina za talaka zinazo rejewa
Soma Zaidi...

Ni mambo gani yanaharibu na kutengua udhu?
Soma Zaidi...

TAKBIRA YA KWANZA, DUA BAADA YA TAKBIRA YA KUHIRIMIA SWALA NA KUSOMA ALHAMDU (SURAT AL-FATIHA KWENYE SWALA
2. Soma Zaidi...

Taratibu za eda ya kufiwa katika uislamu
Hapa utajifunza taratibu za kukaa eda kwa mwanamke ambaye amefiwa na mume. Soma Zaidi...

Namna ya kurithisgha hatuwa kwa hatuwa.
Hspa utajifunza sasa jinsi ya kugawa mirathi kutokana na viwango maalumu. Soma Zaidi...

Haki za maadui katika vita (mateka wa kivita)
Haki na uadilifu katika uislamu (EDK form 3: Dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Lengo la hijjah na matendo ya ibada ya hijjah na mafunzo yatokanayo
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Hadhi na Haki za Mwanamke Ulaya chini ya kanisa hapo zamani
Soma Zaidi...

Dhana ya haki na uadilifu katika uislamu
HAKI NA UADILIFU KATIKA UISLAMU. Soma Zaidi...

Namna ya kuswali swala ya maiti: nguzo zake, sunnah zake na maandalizi juu ya maiti
3. Soma Zaidi...

Njia za kuzuia na kupunguza zinaa katika jamii
(ii) Hatua za Kuzuia Uzinzi JamiiUislamu pamoja na kutoa mafunzo ya maadii yanayomuwezesha mtu binafsi ajiepushe kwa hiari yake na kitendo kibaya cha zinaa, umechukua hatua mbali mbali ambazo huifanya zinaa isiwe kitendo chepesi katika jamii. Soma Zaidi...