Kuhifadhiwa kwa Quran
Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Kuhifadhiwa kwa Qur’an.
- Mtume (s.a.w) aliwaamrisha maswahaba wake kujifunza na kuifahamu Qur’an na kuihifadhi moyoni.
- Mtume (s.a.w) aliteuwa baadhi ya maswahaba kuiandika Qur’an ilipokuwa inashuka.
- Kuhifadhiwa kwa kusomwa mara kwa mara.
- Qur’an pia ilihifadhika kwa kusomwa mara kwa mara katika ibada za swala.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 web hosting 👉5 ai web app 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 web hosting 👉5 ai web app 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Tukio la kupasuliwa kifua Mtume Muhammad S.A.W
Sura na historia ya Mtume Muhammad S.A.W, sehemu ya 7
Soma Zaidi...Historia ya kujengwa kwa Alkabah (Maka)
Kama tulivyoona katika maisha ya Mtume Ibrahim(a.
Soma Zaidi...