Kuhifadhiwa kwa Quran
Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Kuhifadhiwa kwa Qur’an.
- Mtume (s.a.w) aliwaamrisha maswahaba wake kujifunza na kuifahamu Qur’an na kuihifadhi moyoni.
- Mtume (s.a.w) aliteuwa baadhi ya maswahaba kuiandika Qur’an ilipokuwa inashuka.
- Kuhifadhiwa kwa kusomwa mara kwa mara.
- Qur’an pia ilihifadhika kwa kusomwa mara kwa mara katika ibada za swala.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 web hosting 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Madrasa kiganjani
👉1 ai web app 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 web hosting 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
NI UPI MKATABA WA AL-FUDHUL NA ASILI YAKE, ATHARI ZAKE NA WALOHUSIKA
MKATABA WA AL-FUDHULBaada ya vita hivi viongozi wa pande mbili hizi waliamuwa wakae chini na wakubaliane kuweka kanun i na utaratibu utakaozuia kutotokea uonevu kama huuu tena.
Soma Zaidi...MJADALA JUU YA NDOA YA MTUME S.A.W NA BI KHADIJA (HADIJA)
LAKINI UMRI WANGU MKUBWABaada ya kuwaza na kufikiri muda mrefu, bibi Khadija (Radhiya Llahu anha) akafikia uamuzi wa kutaka kuolewa na Muhammad (Swalla Laahu alayhi wa sallam).
Soma Zaidi...MTUME MUHAMMAD (S.A.W)ANAKUTANA NA BAHIRA (MTAWA WA KIYAHUDI)
KUKUTANA NA BAHIRA (MTAWA) WA KIYAHUDIMzee Abu talib alikuwa ni mfanya biashara, hivyoslikuwa akimchukuwa kijana wake kwenda kwenye biashara.
Soma Zaidi...