HISTORIA YA MAISHA YA MTUME S.A.W KABLA YA UTUME
MAISHA YA MTUME (S.
![]()
![]()
MAISHA YA MTUME (S.A.W) KABLA YA UTUME
Muhammad alipokuwa ni kijana alikuwa ni mwenye tabia njema, mwenye mwenendo mwema, mkweli na muaminifu. Waarabu walimwita jina la Al-Amini yaani mwaminifu. Alikuwa ni mwenye busara na akili sana. Alikuwa si muongeaji sana muda mwili alikuwa mkimya huki akitafakari ukweli katika maumbile ya mbingu na ardhi.
Katu hakuwahi kusujudia sanamu wala ibada za kijahilia. Hakuwahi kupigana wala kugombana. Katu hakuthubutu kula nyama iliyochinjwa kwa ajili ya ibada za masanamu na mila zao za kijahilia. Pia hakuweza kumvumilia yeyote ambaye anaapa kwa jina la Al-lat au Al-Uzaa na haya ni majina ya miungu yao.
ITAENDELEAβ¦β¦.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Simulizi za Hadithi Audio π2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π3 Bongolite - Game zone - Play free game π4 Dua za Mitume na Manabii π5 web hosting π6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Kuendeshwa kwa dola ya kiislamu, Uchumi, ulinzi, haki na sheria, siasa na vikao vya shura
Uendeshaji wa Dola ya Kiislamu Madinah.
Soma Zaidi...MAMA YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W) ANAMLEA MTUME MUHAMAD AKIWA NA UMRI WA MIAKA MINNE (4)
KULELEWA NA MAMA YAKE ALIPOFIKA MIAKA MINNEMtume (s.
Soma Zaidi...Ni jitihada gan alizo zifanya sayyidna othman katika kuihifadh qur an ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Jitihada alizozifanya Khalifa wa Tatu katika kuilinda Quran
Soma Zaidi...