Navigation Menu



image

Kazi alizokuwa akizifanya Mtume Muhammad s.a.w kabla ya utume.

Historia na sifa ya Mtume Muhammad s.a.w , sehemu ya 14. Hapa utajifunza kuhusu kazi alizozifanya Mtume s.a.w Enzo za ujana wake kabla ya utume.

KAZI ALIZOKUWA AKIFANYA MUHAMMAD (S.A.W) ZA KUMPATIA RIZKI

Muhammad (s.a.w) hakuwaga na shughuli maalumu ya kuweza kumpatika kazi. Kama ilivyokuwa ni desturi ya mitume kuchunga mifugo kama mbuzi na kondoo hivyo hivyo kijana Muhammad (s.a.s) alikuwa akifanya kazi hii. Muhammad (s.a.s) alikuwa akichunga mifugo ya bani Sa’ad kwa malipo maalum.



Pia kijana Muhammad (s.a.s) alikuwa ni mfanya biashara. Aliweza kupata uzoefu wa biashara kutoka kwa Baba yake mdogo Abu Tallib ambaye pia alikuwa ni mfanya biashara.

 

Alipokuwa na umri wa miaka 25 alisafiri kuwenda Sham (Syria) kwa ajili ya kufanya biashara. Na itambulike kuwa wakazi wa Makwa wakati huo walikuwa ni wafanya biashara wakubwa sana. Matajiri wengi wa Makkah walikuwa wakitegemea biasha. Kutokana na uadilifu, uaminifu na ukweli alokuwa nao kijana Muhammad (s.a.s) Bi Khadija alimtaka akamuuzie biashara zake Syria.



Bi khadija alikuwa ni katika wanawake wafanyabiashara wakubwa Mjini Mkkah. Alikuwa akiajiri wanaume kwa ajili yakufanyiwa biashara zake. Aliposikia sifa za Muhammad (s.a.s) alivutiwa kufanyabiashara nae.

 

Hivyo akazungumza nae na awalikubaliana kuwa atamlipa zaidi kuliko wenzie. Akamtuma Muhammad (s.a.s) akiwa na mfanyakazi wa bi Khadija aitwaye Maisarah, aliwatuma waende kufanya biashara Syria. Basi Muhammad (s.a.s) alikubali ombi aba safari akaelekea kwenda Sham. Na katika safari hii Bi Khadija aliona miujiza mikubwa sana kwa Muhammad (s.a.s).






           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Sira Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 743


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

NDOA YA MTUME S.A.W NA BI KHADIJA (HADIJA) BINTI KHUWALD
MTUME Muhammad (s. Soma Zaidi...

Uanzishwaji wa Makundi mbalimbali ya Harakati za Kuhuisha Uislamu Ulimwenguni
8. Soma Zaidi...

Mafunzo Yatokanayo na Historia ya Nabii Nuhu(a.s)
(i) Tuanze kulingania kwa Tawhiid – kumjua Allah(s. Soma Zaidi...

Historia ya maimam Wanne wa fiqh
Soma Zaidi...

Je waislamu walishindwa vita vya Uhudi?
Katika vita vya Uhudi waislamu walikufa wengi kulinganisha na makafiri. Lakini makafiri walikimbia uwanja wa vita baada ya kuzidiwa. Je ni nanibalishindwa vita vya Uhudi kati ya waislamu na makafiri? Soma Zaidi...

Imam Bukhari na Sahihul Bukhari
Soma Zaidi...

Nasaba ya mtume
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Darsa za Sira historia ya Mtume (s.a.w) Jaribio la 05
Soma Zaidi...

NI IPI FAMILIA YA MTUME MUHAMMAD (S.A.W) NA NI IPI NASABA YAKE, UKOO WAKE NA KABILA LAKE
FAMILIA YA MTUME (S. Soma Zaidi...

Kusingiziwa Nabii Sulaiman Uchawi
Pamoja na Ucha-Mungu aliokuwa nao Nabii Sulaiman watu hawakuacha kumsingizia mambo machafu. Soma Zaidi...

HISTORIA YA NABII LUT(A.S) NA WATU WA SODOMA NA GOMORA
Mtume Lut(a. Soma Zaidi...

Maadui wa uislamu na mbinu zao: wanafiki, makafiri, mayahudi, wakristo,
Upinzani dhidi ya Dola ya Kiislamu Madinah. Soma Zaidi...