Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa watoto, sio akina Mama peke yao wanaofaidika na uzazi wa mpango vile vile na watoto wanafaidika na uzazi wa mpango kama ifuatavyo.
Faida za uzazi wa mpango kwa watoto.
1.kwanza kabisa tunajua lengo kuu la uzazi wa mpango ni kupata namba ya watoto wanaohitajika na kuwapa nafasi ya kutosha kutoka kwa mtoto mmoja kwenda kwa mwingine, kwa hiyo na watoto wanapata faida ya uzazi wa mpango kama ifuatavyo.
2.uzazi wa mpango ukitumiwa ipasavyo unawapa watoto nafasi ya kupendwa na wazazi wao kwa mfano watoto wakizidiana miaka minne kwa vyovyote yule mtoto atainja mapenzi ya wazazi wake kuliko wale watoto wanaozidiana mwaka mmoja mmoja kwa hiyo tuwape watoto nafasi kati ya mtoto mmoja kwenda mwingine ili waweze kuonja mapenzi ya kweli kutoka kwa wazazi wao.
3.Pia uzazi wa mpango unawapa watoto nafasi ya kunyonya kwa mda mrefu , tunajua wazi kubwa mtoto alinyonya kwa mda unaofaa anakuwa na afya nzuri pia anaweza kukingwa dhidi ya magonjwa kuna wataalamu wanasema mtoto alkinyonya kwa mda wa kutosha anakuwa na akili za kufikiria kwa hiyo tuwape watoto mda waweze kunyonya kwa mda wa kutosha.
4.Uzazi wa mpango inawasaidia watoto wapate elimu ya kutosha kwa sababu mtoto akikaa na Wazazi kwa mda anajifunza mambo mengi kuliko wakiwa wengi na pia wazazi wataweza kupata Ela na kumpeleka mtoto wao shule nzuri kuliko kama wangekuwa wengi.
5.Pia uzazi wa mpango unasaidia kupunguza vifo vya watoto wakiwa wadogo , kwa sababu ya kukosa mahitaji muhimu au kuzaliwa wakiwa hawajafikishwa umri au na uzito mdogo kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa hata watoto wenyewe ikiwa wazazi wakitumia njia ya uzazi wa mpango nao wanapata faida kwa hiyo wazazi na jamii kwa ujumla mnaalikwa kutumia njia za uzazi wa mpango ili kuyafanya maisha ya watoto yapendeze
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi Dalili za saratani kwa watoto, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto na ikiwa mlezi au mzazi akiziona tu anaweza kutambua mara moja kwamba hii ni saratani au la na kama bado ana wasiwasi anaweza kupata msaada zaidi kutoka kwa wataa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu damu, uteute na maji yanayotoka ukeni kipindi cha ujauzito
Soma Zaidi...Makala hii itakujuza baadhi ya njia utakaoweza kuzifuata ili kukabiliana na fangasi sehemu za siri kwa wanaume
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na hatua za kujikinga na Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na kwenye mirija ya uzazi
Soma Zaidi...In fact there is a lot of signs and symptoms of pregnancy a mother experiences throughout pregnant. These signs may start to be revealed immediately after conception or in the first week after conception. A term pregnancy is traditionally calculated by mi
Soma Zaidi...Utawezaje kukabiliana na changamoto za ujauzito, je ni zipi changamoto hizo. Hapa nitakujuza.
Soma Zaidi...Download Kitabu cha elimu ya Ujauzito na malezi ya mimba.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kutangulia kwa kitovu wakati wa mtoto anapozaliwa.
Soma Zaidi...inaweza kutokea kuwa mtoto aliye tumboni akaishiwa maji hata kabla ya kuzaliwa. yes hali hii huweza kuwapata baadhiya watoto.
Soma Zaidi...