Baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha
BAADHI YA MARADHI YANAYOSABABISHWA NA HALI ZA MAISHA
Hapa tutaangalia kwa ufupi namna a,mbavyo hali zetu za maisha kama tabia na utaratibu ambao tunaishi unavyochangia katika kupata maradhi. Kama ambavyo tumeona huko mwanzo kuwa Afya ya mtu inaweza kuathiriwa na sababu mbalimbali kama vile tabia ya mtu. Sasa hebu tuone baadhi ya magonjwa yanayohusiana na hali za maisha yaani namna mtu anavyoishi.
1.moyo
2. kisukari
3. saratani
4. vidonda vya tumbo
5. UTI
6. macho
7. mafua
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Simulizi za Hadithi Audio π2 Madrasa kiganjani π3 ai web app π4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π5 Bongolite - Game zone - Play free game π6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Ugonjwa wa Kuvimba ubongo (Encephalitis)
Post hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kuvimba kwa ubongo ambao kitaalamu huitwa Encephalitis, Ni Maambukizi ya virusi ni sababu ya kawaida ya hali hiyo. Ugonjwa wa Kuvimba ubongo unaweza kusababisha dalili zinazofanana na Homa, kama vileΓΒ HomaΓΒ au
Soma Zaidi...Sababu za miguu kufa ganzi.
Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali,za miguu kufa ganzi,ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi na walio wengi hawafahamu kabisa ni sababu zipi ambazo uleta tatizo hili.
Soma Zaidi...Jinsi ya kutoa huduma ya kwanz akwa liyeshambuliwa na pumu
Hii ni huduma ya kwanza kwa aliyeshambuliwa na pumu katika mazingira ambayo ni mbali na kituo cha afya, na hakuna dawa.
Soma Zaidi...Sababu za kuumwa na tumbo, chini ya kitomvu ama upande wa kulia
Post hii inakwenda kukutajia baadhi tu ya sababu zinazopelekea kuumwa na tumbo. Hali hizi zinawweza kuwapata watu wa jinsia zote katika umri wowote ule. Ijapokuwa nyingine si kwa wote ni kwa baadhi ya watu. hapa nitakuletea sababu 5 tu.
Soma Zaidi...Madhara ya maambukizi kwenye tumbo
Posti hii inahusu zaidi madhara ya maambukizi kwenye tumbo,hasa pale ambapo mgonjwa hakutibiwa
Soma Zaidi...