picha

Ugonjwa wa kisonono

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisonono, ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu huitwa Neisseria gonococcal.

Ugonjwa wa kisonono.

1.ugonjwa wa kisonono ni ugonjwa wa zinaa ambao usambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kujamiiana na mtu aliye na Ugonjwa huo bila kutumia kinga, kwa hiyo mdudu huyu uishi kwenye via vya uzazi.

 

2. Ugonjwa huu uwapata wanawake na wanaume ila kwa kiasi kikubwa wanaume waliotahiriwa wanapata kwa asilimia kidogo ukilinganisha na wale waliotahiriwa, kwa hiyo ni vizuri kabisa kufanya tohara ili kuweza kupunguza Maambukizi.

 

3. Vile vile Ugonjwa huu unatibika kwa hiyo baada ya kuihisi Dalili ni vizuri kabisa kutafuta matibabu kwa hiyo kuna dawa muhimu kwa ajili ya kutibu Ugonjwa huu  dawa Zenyewe ni kama vile zimegawanyika katika makundi mawili kundi la kwanza na kundi la pili.

 

4. Kundi la kwanza ni Norflaxacin yenye milligram mia tano inamezwa kwa mara moja, nyingine ni ciproflaxino yenye milligram mia tano inamezwa mara moja, nyingine ni oflaxacin yenye milligram mia nne na yenyewe inamezwa kwa mara moja, nyingine ni levofloxacine milligram mia mbili hamsini na yenyewe ni mara moja na nyingine ni certriaxone milligram Mia mbili na hamsini na nyingine ni enoxacine yenye milligram mia nne. Pia dawa za sehemu ya kwanza zisipotibu vizuri za sehemu ya pili zinaweza kutumika.

 

5. Dawa za sehemu ya pili au kwa kitaalamu huitwa second line utumika kama first line imegoma dawa hizo ni kama cefixime milligram mia nne, cefoxitin milligram mbili ambazo utumiwa kupitia kwenye mirija ya damu, nyingine ni cefotaxime ambayo upitishwa kwenye nyama au kwa kitaalamu ni intramuscular, nyingine ni arythromysine gram Moja.

 

6. Kwa hiyo dawa hizi utumika kutibu kisonono  pia utumika kwa ushauri wa wataalamu wa afya usipende kuzitumia kiholela kwa sababu Kuna antibiotics zenye nguvu ukizitumia kiholela unaweza kujaribu bakteria ambao ni walinzi kwenye mwili. Pia ukija kutumia dawa hizi kwa kutibu kisonono ni lazima kwanza upime ugonjwa kama unao ndo unaanza kutumia, usitumie bila kupima

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/05/19/Thursday - 03:00:42 pm Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2428

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

DALILI ZA HOMA YA BONDE LA UFA (RVFD) NA INAVYOSAMBAZWA.

Homa hii inapatikana katika maeneo ya bonde la ufa barani Afrika na na Mashariki ya kati.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa kisonono

Kisonono ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria wa zinaa ambao wanaweza kuwaambukiza wanaume na wanawake. Kisonono mara nyingi huathiri urethra, puru au koo. Kwa wanawake, ugonjwa wa kisonono unaweza pia kuambukiza kizazi.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia kabla ya upasuaji,

Upasuaji ni kundi la ki medical linalohusu kutoa kiungo kisichohitajika kwenye mwili.

Soma Zaidi...
Matatizo yanayosababisha mshtuko wa moyo.

Mshtuko wa moyo hutokea wakati mtiririko wa damu kwa moyo umezuiwa, mara nyingi kwa mkusanyiko wa mafuta, cholesterol na vitu vingine, ambayo huunda plaque katika mishipa inayolisha moyo (mishipa ya moyo). Mtiririko wa damu ulioingiliwa unaweza kuharibu

Soma Zaidi...
Dawa za kutuliza maumivu na kazi zake

Post hii inahusu zaidi dawa za kupunguza maumivu na kazi zake, ni dawa ambazo upunguza maumivu kwenye mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Namna ya kugundua mtu mwenye kaswende.

Post hii inahusu zaidi njia za kumgundua mgonjwa wa kaswende, njia hizi utumika baada ya kuongea na mgonjwa kuhusu maisha yake hasa kujamiiana na watu mbalimbali.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kuchelewa kuganda kwa Damu unaojulikana Kama hemophilia.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la Kurithi ambapo Damu inatoka kwa muda mrefu wakati au baada ya jeraha bila kuganda.

Soma Zaidi...
NJIA YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA VIRUSI VYA VYA UKIMWI NA ATHARI ZAKE

Posti hii inahusisha maambukizi ya virusi vya ukimwi .pia  tutangalia  njia za kujikinga na  ugonjwa wa UKIMWI

Soma Zaidi...