Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisonono, ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu huitwa Neisseria gonococcal.
1.ugonjwa wa kisonono ni ugonjwa wa zinaa ambao usambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kujamiiana na mtu aliye na Ugonjwa huo bila kutumia kinga, kwa hiyo mdudu huyu uishi kwenye via vya uzazi.
2. Ugonjwa huu uwapata wanawake na wanaume ila kwa kiasi kikubwa wanaume waliotahiriwa wanapata kwa asilimia kidogo ukilinganisha na wale waliotahiriwa, kwa hiyo ni vizuri kabisa kufanya tohara ili kuweza kupunguza Maambukizi.
3. Vile vile Ugonjwa huu unatibika kwa hiyo baada ya kuihisi Dalili ni vizuri kabisa kutafuta matibabu kwa hiyo kuna dawa muhimu kwa ajili ya kutibu Ugonjwa huu dawa Zenyewe ni kama vile zimegawanyika katika makundi mawili kundi la kwanza na kundi la pili.
4. Kundi la kwanza ni Norflaxacin yenye milligram mia tano inamezwa kwa mara moja, nyingine ni ciproflaxino yenye milligram mia tano inamezwa mara moja, nyingine ni oflaxacin yenye milligram mia nne na yenyewe inamezwa kwa mara moja, nyingine ni levofloxacine milligram mia mbili hamsini na yenyewe ni mara moja na nyingine ni certriaxone milligram Mia mbili na hamsini na nyingine ni enoxacine yenye milligram mia nne. Pia dawa za sehemu ya kwanza zisipotibu vizuri za sehemu ya pili zinaweza kutumika.
5. Dawa za sehemu ya pili au kwa kitaalamu huitwa second line utumika kama first line imegoma dawa hizo ni kama cefixime milligram mia nne, cefoxitin milligram mbili ambazo utumiwa kupitia kwenye mirija ya damu, nyingine ni cefotaxime ambayo upitishwa kwenye nyama au kwa kitaalamu ni intramuscular, nyingine ni arythromysine gram Moja.
6. Kwa hiyo dawa hizi utumika kutibu kisonono pia utumika kwa ushauri wa wataalamu wa afya usipende kuzitumia kiholela kwa sababu Kuna antibiotics zenye nguvu ukizitumia kiholela unaweza kujaribu bakteria ambao ni walinzi kwenye mwili. Pia ukija kutumia dawa hizi kwa kutibu kisonono ni lazima kwanza upime ugonjwa kama unao ndo unaanza kutumia, usitumie bila kupima
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa pre- eclampsia ni Ugonjwa ambao uwapata wanawake wajawazito uwapata pale mimba inapofikisha umri wa wiki ishilini, utokea pale ambapo Mama mjamzito huwa na kiwango kikubwa cha shinikizo la damu na pia kuwepo kwa protini
Soma Zaidi...Zijuwe dalili kuu 7 za vidonda vya tumbo, kama kiungulia, tumbo kujaa, maumivu ya umbo..
Soma Zaidi...posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa ambao kitaalamu hujulikana Kama
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya gonorrhea endapo haitotibiwa
Soma Zaidi...MAGONJWA YA INI NA DALILIZAKE, NA KUKABILIANA NAYO Ini ni katika viungo vikuu katika mwili wa binadamu.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa mdomo unaounguaΓΒ ni neno la kimatibabu kwa ajili ya kuwaka moto mara kwa mara mdomoni bila sababu dhahiri. Usumbufu huo unaweza kuathiri ulimi wako, ufizi, midomo, ndani ya mashavu yako, paa la mdomo wako au maeneo yaliyoenea ya mdomo wako wot
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha dalili za ugonjwa wa Vidonda vya kitanda (bed sores)mara nyingi hukua kwenye ngozi ambayo hufunika sehemu za mifupa ya mwili, kama vile visigino, vifundoni, viuno. Vidonda vya kitanda vinaweza kukua haraka na mara nyingi ni vigumu
Soma Zaidi...Hapautajifunza rangi kuu za mkojo na dalili zako kiafya, mkojo mchafu na dalili zake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu tahadhari za kuchukua ili kujikinga na UTI
Soma Zaidi...