Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kusababishwa mgongo wAko au kiuno kwa na maumivu, Mgongo ukiwa na maumivu makali Sana yanaweza kusababishwa shida kubwa ata utakapokaa au ukilala au ukitumia bado maumivu yanakuwepo.
Je na wewe Ni miongoni mwa watu wanaosumbuliwa na maumivu ya kiuno au mgongo?
Yafuatayo Ni mambo yanayosababisha kiuno au mgongo kuwa na maumivu.
1.kufanya kazi ya kukaa muda mrefu, Kama vile kusafiri safiri, kufanya kazi za komputa, kunyonyesha na kazi nyingine nyingi huweza kufanya mtu kupata maumivu makali ya mgongo na haya kwenye kiuno.
2.kuinama Sana ; hii pia hupelekea misuli ya mgongo kuchoka kutokana na kuinama Sana labda kudeki, kufyeka, na kazi nyingine ambazo utazifanya Mara kwa Mara na kwa muda mrefu huweza hupelekea maumivu.
3. Kubeba vitu vizito; Kama magunia ya mahindi, Michele, sukari n.k au kubeba vitu vizito bado wewe mdogo kinakuzidi nguvu huanzia mauvimi kwenye mshipa wa shingo mpaka mgongo na kwenye kiuno pia kwahiyo hushauri kubeba au kupambaa na vitu vizito ambavyo vinaweza kukusababishi madhara.
4.kulala kwenye godoro ambalo Lina mabonde au godoro ambalo ukilala unaumia pia hii huchangia endapo utalala Mara kwa Mara au kila siku hivyo basi epuka ujutahidi kulala sehemu nzuri ili kulinda afya ya mwili wako.
5.kuwa na uzito mkubwa uliopitiliza ;nayo Ni moja wapo ya sababu inayopelekea maumivu ya mgongo na kiuno kwani viungo vya mwili huwa legevu.
Mwisho ; endapo utapata maumivu ya kiuno na mgongo kwa mdamrefu bila kupona Ni vyema kumwona dactari mapema ili kuweza kupata matibabu na kuilinda afya yako pia.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Saratani ya Koo inarejelea Vivimbe vya Saratani vinavyotokea kwenye koo lako (koromeo), sanduku la sauti (larynx) au tonsils.
Soma Zaidi...Hawa ni fangasi ambao wanashambulia sana kwenye kucha za vidole vya mikonobna miguu.
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunza jinsi ambavyo pumu inaweza kuwa na mahusiano kwa kuwepo kwa aina flani ya bakteria ama virusi.
Soma Zaidi...posti hii inaelezea kuhusiana na dalilili na Mambo ya hatari ya Macho makavu hutokea wakati machozi yako hayawezi kutoa unyevu wa kutosha kwa macho yako. Machozi yanaweza kuwa duni kwa sababu nyingi. Kwa mfano, Macho makavu yanaweza ku
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dalili za maambukizi kwenye uume, ni dalili ambazo ujitokeza pale maambukizi yanapotokea kwenye uume.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za presha ya kushuka
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa tauni ambao kwa kitaalamu huitwa plague ni Ugonjwa unaosababishwa na wadudu ambao huitwa kitaalamu huitwa yersinia pestis ambao ukaa ndani ya panya.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba homoni, ni madhara- ambayo utokea kwa mgonjwa anayetumia homoni kama Tiba kwenye kutibu saratani.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kupunguza ugonjwa wa pressure au shinikizo la damu kwa waliokwisha kupata wanaweza kupunguza na kwa wake ambao hawajapata ni nzuri inawasaidia kuepuka hatari ya kupata ppresha.
Soma Zaidi...MAMBO HATARI KWA MWENYE VIDONDA VYA TUMBO Tukiachia mbali kuchukua dawa aina ya NSAIDs, unaweza kuwa na hatari ya kuongezeka kwa vidonda vya tumbo ikiwa: Utakuwa ni mvutaji wa sigara.
Soma Zaidi...