Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo
Zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa madonda ya tumbo.
Tafiti zinathibitisha kuwa chanzo kikuu cha vidonda vya tumbo ni mashambulizi ya bakteria aina ya Helicobacter pylori (H. pylori) na matumizi ya muda mrefu ya dawa aina ya nonsteroidal anti-inflammatory drugs (NSAIDs) ambazo ni pamoja na ibuprofen (Advil, Motrin IB, n.k) na naproxen sodium (Aleve). Mambo yafuatayo huongeza hali ya hatari kwa mwenye vidoda vya tumbo:-
1. Msongo wa mawazo
2. Kuwepo kwa acidic nyingi kuliko kawaida tumboni
3. Kutokula kwa wakati
4. Kutumia madawa kwa mda mrefu
5. Kutumia vileo vikali na kuvuta sugara kwa mda mrefu.
Aina za madonda ya tumbo
1. Madonda ya tumbo yanayokutwa kohoni
2. Madonda ya tumbo ya kwenye ukuta wa tumbo
3. Madonda ya tumbo kwenye utumbo mdogo
Dalili za madonda ya tumbo
1. Kuhusu maumivu makali tumboni na koooni
2. Kichefuchefu na kitapika
3. Damu kwenye choo
4. Kupunguza uzito
5. Pengine tumbo kukwaruza.
Namna ya kuepuka kupata vidonda vya tumbo
1.kula kwa wakati
2.kupunguza vyakula vyenye acidi
3.kuachana na pombe na madawa makali
4.kupinguza mawazo
Vidonda vya tumbo vinatibika ukiuwahi mapema kwa hiyo kila tusikiapo dalili yoyote tunapaswa kwenda hospitalin kupata dawa Ili kuepuka matatizo zaidi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Virusi vya Ebola ni virusi vinavyohusiana vinavyosababisha Homa za hemorrhagic magonjwa yanayoambatana na kutokwa na damu nyingi (kuvuja damu), viungo kushindwa kufanya kazi na, mara nyingi, kifo. Virusi vya Ebola na virusi huishi kwa wanyama, na wanad
Soma Zaidi...Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi hukua kutoka kwenye tishu laini za misuli ya uterasi. Fibroids nyingi ambazo zimekuwepo wakati wa ujauzito hupungua au kutoweka baada ya ujauzito, kwani uterasi inarudi kwenye ukubwa wa kawaida.
Soma Zaidi...UKIMWI (acquired immunodeficiency syndrome) ni hali ya kudumu, inayoweza kutishia maisha inayosababishwa na virusi vya ukimwi (VVU) Kwa kuharibu mfumo wako wa kinga, VVU huingilia uwezo wa mwili wako wa kupambana na viumbe vinavyosababisha magonjwa. Inawe
Soma Zaidi...Post ya leo inaenda kufundisha dalili na hatari za presha ya kupanda. Presha ni ugonjwa unaosababishwa na baadhi ya vitu mbalimbali.pressure hujulikana kwa jina lingine ambolo ni hypertension (pressure ya kupanda). presha hugundulika pale ambapo presha ya
Soma Zaidi...Upungufu wa damu ni tatizo la kiafya, lakini kupunguwa seli nyeupe za damu ni tatizo zaidi, nikwa sabaabu seli hizi ndizo ambazo hupambana na wadudu shambulizi wanapoingia mwilini.
Soma Zaidi...SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO Sababu za kawaida za vidonda vya tumbo ni maambukizo na bakteria Helicobacter pylori (H.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za vidonda vya tumbo sugu
Soma Zaidi...Post hii inazungumzia zaidi kuhusiana na ugonjwa wa kipindupindu.kipindupindu ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu anaitwa vibrio cholera.mdudu huyu hushambulia utumbo mdogo na kusababisha madhara mengi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanawake
Soma Zaidi...