Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo
Zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa madonda ya tumbo.
Tafiti zinathibitisha kuwa chanzo kikuu cha vidonda vya tumbo ni mashambulizi ya bakteria aina ya Helicobacter pylori (H. pylori) na matumizi ya muda mrefu ya dawa aina ya nonsteroidal anti-inflammatory drugs (NSAIDs) ambazo ni pamoja na ibuprofen (Advil, Motrin IB, n.k) na naproxen sodium (Aleve). Mambo yafuatayo huongeza hali ya hatari kwa mwenye vidoda vya tumbo:-
1. Msongo wa mawazo
2. Kuwepo kwa acidic nyingi kuliko kawaida tumboni
3. Kutokula kwa wakati
4. Kutumia madawa kwa mda mrefu
5. Kutumia vileo vikali na kuvuta sugara kwa mda mrefu.
Aina za madonda ya tumbo
1. Madonda ya tumbo yanayokutwa kohoni
2. Madonda ya tumbo ya kwenye ukuta wa tumbo
3. Madonda ya tumbo kwenye utumbo mdogo
Dalili za madonda ya tumbo
1. Kuhusu maumivu makali tumboni na koooni
2. Kichefuchefu na kitapika
3. Damu kwenye choo
4. Kupunguza uzito
5. Pengine tumbo kukwaruza.
Namna ya kuepuka kupata vidonda vya tumbo
1.kula kwa wakati
2.kupunguza vyakula vyenye acidi
3.kuachana na pombe na madawa makali
4.kupinguza mawazo
Vidonda vya tumbo vinatibika ukiuwahi mapema kwa hiyo kila tusikiapo dalili yoyote tunapaswa kwenda hospitalin kupata dawa Ili kuepuka matatizo zaidi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1251
Sponsored links
👉1
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉2
kitabu cha Simulizi
👉3
Kitabu cha Afya
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
Madrasa kiganjani
👉6
Simulizi za Hadithi Audio
Ugonjwa wa moyo.
Posti hii inaelezea kuhusiana na mambo hatari yanayosababisha ugonjwa wa moyo. Soma Zaidi...
Maambukizi kwenye Tumbo na utumbo mdogo.
Posti hii inahusu Maambukizi kwenye tumbo na kwenye utumbo mdogo,ni Maambukizi ambayo uwa kwenye tumbo na utumbo mdogo. Soma Zaidi...
Dalili za homa ya ini
Kaika post hii utakwenda kujifunz akuhusu dalili za homa ya ini. Dalili hizi sio lazima zitokee zote. Zinaweza zikatokea baadhi tu na ikatosha kuonjesha kuw auna homa ya ini. Soma Zaidi...
Dalili za minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo Soma Zaidi...
Ni zipi dalili za Ukimwi na ni zipi dalili za VVU
Ijuwe historia ya VVu, Dalili zake, tiba na vipimo vyake pia njia za kueneza VVU na UKIMWI Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa unaosababisha madhara kwenye mapafu
Posti hii inaelezea kuhusiana na Magonjwa yanayosababisha madhara kwenye mapafu na kitaalamu hujulikana Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu Soma Zaidi...
Dalili kwa mtu anayeharisha
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitia kinyesi chenye maji inawezekana kina damu au kisichokuwa na damu. Soma Zaidi...
Mapigo ya moyo kwenda mbio, mwili kuchoka,kichefuchefu, kizungungu, joto kiasi.
Je, mtu mwenye dalili zifuatazo Kama, Mapigo ya moyo kwenda mbio, mwili kuchoka,kichefuchefu, kizungungu, joto kiasi. Soma Zaidi...
Dalili za kwanza za HIV na UKIMWI kuanzia wiki ya kwanza toka kuathirika
DALILI ZA HIV ZA MWANZO NA DALILI ZA UKIMWI ZA MWANZO Kama ilivyo magonjwa mengi hupitia hatua kadha kadha na kuonyesha dalili kadha katika hatua hizo. Soma Zaidi...
Mambo ya kufanya kama una kiungulia
Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo unapaswa kufanya kama una tatizo la kiungulia. Soma Zaidi...