Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo
Zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa madonda ya tumbo.
Tafiti zinathibitisha kuwa chanzo kikuu cha vidonda vya tumbo ni mashambulizi ya bakteria aina ya Helicobacter pylori (H. pylori) na matumizi ya muda mrefu ya dawa aina ya nonsteroidal anti-inflammatory drugs (NSAIDs) ambazo ni pamoja na ibuprofen (Advil, Motrin IB, n.k) na naproxen sodium (Aleve). Mambo yafuatayo huongeza hali ya hatari kwa mwenye vidoda vya tumbo:-
1. Msongo wa mawazo
2. Kuwepo kwa acidic nyingi kuliko kawaida tumboni
3. Kutokula kwa wakati
4. Kutumia madawa kwa mda mrefu
5. Kutumia vileo vikali na kuvuta sugara kwa mda mrefu.
Aina za madonda ya tumbo
1. Madonda ya tumbo yanayokutwa kohoni
2. Madonda ya tumbo ya kwenye ukuta wa tumbo
3. Madonda ya tumbo kwenye utumbo mdogo
Dalili za madonda ya tumbo
1. Kuhusu maumivu makali tumboni na koooni
2. Kichefuchefu na kitapika
3. Damu kwenye choo
4. Kupunguza uzito
5. Pengine tumbo kukwaruza.
Namna ya kuepuka kupata vidonda vya tumbo
1.kula kwa wakati
2.kupunguza vyakula vyenye acidi
3.kuachana na pombe na madawa makali
4.kupinguza mawazo
Vidonda vya tumbo vinatibika ukiuwahi mapema kwa hiyo kila tusikiapo dalili yoyote tunapaswa kwenda hospitalin kupata dawa Ili kuepuka matatizo zaidi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo mgonjwa wa ngiri anaweza kuzipata, kwa hiyo baada ya kusoma na kuelewa dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospitali mapema kwa ajili ya kupata matibabu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa inni, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye ugonjwa wa inni, Dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kuvimba kwa mishipa yako ya damu. Inasababisha mabadiliko katika kuta za mishipa ya damu, ikiwa ni pamoja na kuimarisha, kudhoofisha, kupungua na kupungua. Mabadiliko haya huzuia mtiririko wa damu, na kusababi
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukueleza ni nini hasa hizi figo, na ni yapi maradhi yake na ni kwa namna ggani utaweza kujilinda na maradhi ya figo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kushindwa kupitisha mkojo, ni madhara makubwa yanayotokea kwa mtu iwapo akishindwa kupitisha mkojo.
Soma Zaidi...Mawe ya kibofu ni mkusanyiko mgumu wa madini kwenye kibofu chako. Mawe kwenye kibofu hukua wakati mkojo kwenye kibofu chako unapokolea, na kusababisha madini katika mkojo wako kung'aa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Sababu za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, hali hii uwatokea sana wanawake zaidi ya wanaume, kwa kitaalamu hali hii ya kuwa na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo huitwa cystitis.
Soma Zaidi...FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO Vidonda vya tumbo huja na maoni mengi potofu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisonono, ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu huitwa Neisseria gonococcal.
Soma Zaidi...