Ugonjwa wa kuharisha na sababu zake.

Kuharisha ni Hali ya kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisicho na damu

Visababishi vya kuharisha ni pamoja na

1.bakteria

2.virusi

3.parasite

 

Dalili za kuharisha ni pamoja na

1.tumbo kuuma

2.kichefuchefu

3.kuishiwa nguvu

4.kuishiwa maji mwilini

 

Hatari za kuharisha

1.maji mwilini kuisha

2.kuzimia

3.kuishiwa kabisa nguvu

Tufanyeje Ili kuzuia kuharisha

1.kuchemsha maji ya kunywa na kuchuja

2.kula chakula kisafi

3.kuepuka kula vyakula vilivyopoa

4.kuosha mikono baada ya kutoka chooni

5.kunawa mikono kabla ya kuandaa chakula

 

Walio kwenye liski ya kupata ugonjwa huu ni 

-watoto wadogo

-wazee

-wanafunzi

-na watu wanaokula kwenye migahawa

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1618

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kushoto

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kushoto

Soma Zaidi...
Matatizo ya mapigo ya moyo

posti hii inazungumzia kuhusiana na matatizo ya mapigo ya moyo.Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, unaodunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza k

Soma Zaidi...
Madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, ni madhara ambayo yanaweza kutokea iwapo maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo hayatatibiwa kwa wakati.

Soma Zaidi...
Dalili za selulitis.

Selulitis ni maambukizi ya ngozi ya bakteria ya kawaida, ambayo yanaweza kuwa mbaya. Cellulitis inaonekana kama sehemu nyekundu ya ngozi iliyovimba na inahisi joto na laini. Inaweza kuenea kwa kasi kwa sehemu nyingine za mwili. Cellulitis haienei kuto

Soma Zaidi...
Dawa za kutuliza maumivu na kazi zake

Post hii inahusu zaidi dawa za kupunguza maumivu na kazi zake, ni dawa ambazo upunguza maumivu kwenye mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa

Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa, ni dalili ambazo ujitokeza tu mtoto anapozaliwa kwa hiyo dalili hizi zinapaswa kuzuiwa ili zisilete madhara makubwa.

Soma Zaidi...
NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO

NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO Ili kugundua vidonda, daktari wako anaweza kwanza kuchukua historia ya matibabu na kufanya uchunguzi wa mwili.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa gonoria (gonorrhea)

UGONJWA WA GONORIA NA DALILI ZAKE (GONORRHEA)Gonoria (gonorrhea) ni katika maradhi yanayoambukizwa kwa njia ya ngono.

Soma Zaidi...
Maumivu ya mgongo.

Post yetu Leo inaenda kuzungumzia Maumivu ya nyuma ni malalamiko ya kawaida. Kwa upande mkali, unaweza kuchukua hatua za kuzuia au kupunguza matukio mengi ya maumivu ya mgongo. Ikiwa kinga itashindikana, matibabu rahisi ya nyumbani na mbinu sahihi za m

Soma Zaidi...
Dalili kwa mtu anayeharisha

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitia kinyesi chenye maji inawezekana kina damu au kisichokuwa na damu.

Soma Zaidi...