Kuharisha ni Hali ya kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisicho na damu
Visababishi vya kuharisha ni pamoja na
1.bakteria
2.virusi
3.parasite
Dalili za kuharisha ni pamoja na
1.tumbo kuuma
2.kichefuchefu
3.kuishiwa nguvu
4.kuishiwa maji mwilini
Hatari za kuharisha
1.maji mwilini kuisha
2.kuzimia
3.kuishiwa kabisa nguvu
Tufanyeje Ili kuzuia kuharisha
1.kuchemsha maji ya kunywa na kuchuja
2.kula chakula kisafi
3.kuepuka kula vyakula vilivyopoa
4.kuosha mikono baada ya kutoka chooni
5.kunawa mikono kabla ya kuandaa chakula
Walio kwenye liski ya kupata ugonjwa huu ni
-watoto wadogo
-wazee
-wanafunzi
-na watu wanaokula kwenye migahawa
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Afya ya tumbo ni ishara tosha ya umadhibuti wa afya ya mtu. Maradhi mengi wanayouguwa watu chanzo kile mti anachokula. Yapo maradhi sugu kama saratani ambayo husababishwa pia na vyakula. Post hii itakwenda kujibu swalo la muulizaji kuhusu maumivu ya tumbo
Soma Zaidi...'UTI (urinary tract infection) no ugonjwa wa maambukizi katika mfumo wa mkojo na maambukizi haya husababishwa na bacteria, fangasi,na virus. Pia unaweza athiri rethra, kibofu Cha mkojo na figo.lakini Mara nyingi UTI huathiri Hadi mfumo wa uzazi na w
Soma Zaidi...KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI Fanya miadi na daktari wako wa kawaida ikiwa una ishara au dalili zinazokupa wasiwasi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo UKIMWI hutokea
Soma Zaidi...Ugojwa wa pumu ni hatari na unaweza kutokea ghafla. Lakini je unaweza kusababisha kifo, makalahii itakwend akujibu swali hili
Soma Zaidi...Hapa nitakueleza namna ambavyounaweza kupunguza hatari ya kupata maradhi ya ini. Kwa njia hizi unaweza kujikina wewe na wengineo na maradhi haya hatari ya ini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo VVU huambukizwa
Soma Zaidi...Fangasi mdomoni wanaweza kuwa tatizo endapo hawatatibiwa mapema. Wanaweza kuongeza majeraha kwenye kinywa.
Soma Zaidi...