picha

Ugonjwa wa kuharisha na sababu zake.

Kuharisha ni Hali ya kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisicho na damu

Visababishi vya kuharisha ni pamoja na

1.bakteria

2.virusi

3.parasite

 

Dalili za kuharisha ni pamoja na

1.tumbo kuuma

2.kichefuchefu

3.kuishiwa nguvu

4.kuishiwa maji mwilini

 

Hatari za kuharisha

1.maji mwilini kuisha

2.kuzimia

3.kuishiwa kabisa nguvu

Tufanyeje Ili kuzuia kuharisha

1.kuchemsha maji ya kunywa na kuchuja

2.kula chakula kisafi

3.kuepuka kula vyakula vilivyopoa

4.kuosha mikono baada ya kutoka chooni

5.kunawa mikono kabla ya kuandaa chakula

 

Walio kwenye liski ya kupata ugonjwa huu ni 

-watoto wadogo

-wazee

-wanafunzi

-na watu wanaokula kwenye migahawa

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2232

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 ai web app     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Samahan naomb kujua staili za tendo la ndoa

Post hii inakwenda kujibu swali la muulizaji. Kuhusu syyle za tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Ufahamu ugonjwa wa UTI na dalili zake hasa kwa wajawazito

Wajawazito wanaposumbuliwa na ugonjwa wa UTI, dalili za UTI na namna ya Kujikinga na UTI

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa schizophrenia

Schizophrenia ni ugonjwa wa akili ambao huathiri jinsi mtu anavyofikiri, kuhisi, na kuamua. Dalili za schizophrenia zinaweza kuwa kama ifuatavyo hapo chini

Soma Zaidi...
Kushambuliwa kwa moyo na kupumua

Post hii inahusu zaidi kuhusu kushambuliwa kwa moyo na kupumua, kushambuliwa kwa moyo na kupumua kwa kitaala huitwa (cardiopulmonary Arrest) ni kitendo Cha kusimama ghafla kwa moyo na kupumua.

Soma Zaidi...
Baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha

Soma Zaidi...
Aina za fangasi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya aina za fangasi

Soma Zaidi...