Kuharisha ni Hali ya kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisicho na damu
Visababishi vya kuharisha ni pamoja na
1.bakteria
2.virusi
3.parasite
Dalili za kuharisha ni pamoja na
1.tumbo kuuma
2.kichefuchefu
3.kuishiwa nguvu
4.kuishiwa maji mwilini
Hatari za kuharisha
1.maji mwilini kuisha
2.kuzimia
3.kuishiwa kabisa nguvu
Tufanyeje Ili kuzuia kuharisha
1.kuchemsha maji ya kunywa na kuchuja
2.kula chakula kisafi
3.kuepuka kula vyakula vilivyopoa
4.kuosha mikono baada ya kutoka chooni
5.kunawa mikono kabla ya kuandaa chakula
Walio kwenye liski ya kupata ugonjwa huu ni
-watoto wadogo
-wazee
-wanafunzi
-na watu wanaokula kwenye migahawa
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO Kwa kuwa tumekwisha kuona namna ambavyo minyoo huenezwa, hivyo basi ni rahisi sasa kutaja namna ya kubambana na minyoo.
Soma Zaidi...Post ya leo inaenda kufundisha dalili na hatari za presha ya kupanda. Presha ni ugonjwa unaosababishwa na baadhi ya vitu mbalimbali.pressure hujulikana kwa jina lingine ambolo ni hypertension (pressure ya kupanda). presha hugundulika pale ambapo presha ya
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Sababu za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, hali hii uwatokea sana wanawake zaidi ya wanaume, kwa kitaalamu hali hii ya kuwa na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo huitwa cystitis.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea sababu zinazosababisha mkojo kuwa na damu.
Soma Zaidi...Upungufu wa damu ni tatizo la kiafya, lakini kupunguwa seli nyeupe za damu ni tatizo zaidi, nikwa sabaabu seli hizi ndizo ambazo hupambana na wadudu shambulizi wanapoingia mwilini.
Soma Zaidi...Upungufu wa maji mwilini hutokea unapotumia au kupoteza Majimaji mengi zaidi ya unayonywa, na mwili wako hauna maji ya kutosha na Majimaji mengine ya kufanya kazi zake za kawaida. Usipochukua nafasi ya Vimiminika vilivyopotea, utapungukiwa na maji.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa unaoshambulia mfumo wa hewa ambapo mgonjwa hushindwa kupumua vizuri na hupelekea matatizo ya kudumu kama haujatibiwa mapema.
Soma Zaidi...Saratani ya Mapafu ni aina ya Kansa inayoanzia kwenye mapafu. Mapafu yako ni viungo viwili vya sponji kwenye kifua chako ambavyo huchukua oksijeni unapovuta na kutoa kaboni dioksidi unapotoa nje.
Soma Zaidi...