Ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa vipele kwenye midomo na sehemu za siri .Ni ugonjwa ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster

Ugonjwa wa kuwepo kwa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa heper zoster.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa ugonjwa huu usababishwa na virus ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster virus one and herpes zoster virus two, hawa virusi ushambulia zaidi kwenye sehemu za midomo hasa kwenye lips na kufanya midomo ipasuke pasuke na pia ushambulia sehemu za siri na kuziacha nazo zikiwa zimepasuka pasuka.

 

2.Pia ugonjwa huu unaweza mpata mtu yeyote lakini zaidi upenda kushambulia Watu ambao wana kinga ndogo ya mwili kwa mfano wagonjwa wenye kansa ya damu ambayo kwa kitaalamu huitwa lukemia,  wale wenye Maambukizi ya virus vya ukimwi nao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa huu , pia na wale ambao wana kansa kwa mda mrefu nao wako kwenye hatari ya kupata Ugonjwa huu kwa sababu ya kinga yao kubwa chini.

 

3.Kwa hiyo kama tuna wagonjwa wenye Magonjwa yanayofanya kinga yao kuwa chini wanapaswa kuhakikisha kuwa kinga yao inakuwa juu kwa kupata dawa ambazo ufubaza virus vya ukimwi kwa wale wenye ugonjwa huu na pia kuwapatia mlo kamili wale wote wenye matatizo mbalimbali ya kiafya ili kuweza kuepuka na ugonjwa huu.

 

4.Pia Ugonjwa huu unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia tofauti kwa hiyo ni vizuri kabisa tukaweza kuepuka ugonjwa huu, hasa kwa wale wanaopenda kuhusiana kuwa na tahadhari na angalia una busu mtu wa namna gani kwa hiyo tuwe makini na pia wale wanaopenda kufanya  ngono zembe kuwa makini sana ili kuweza kuepuka madhara kabisa.

 

5. Tunapaswa kujua kuwa ugonjwa unaosababishwa na virusi hauna dawa kwa hiyo kinga na kujiadhari ni kitu cha maana kabisa ili tuweze kuepuka na janga hili la kuwepo kwa Ugonjwa huu ambao uweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

 

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2022/02/23/Wednesday - 03:30:34 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1051

Post zifazofanana:-

Ugonjwa wa Uharibifu wa seli nyekundu za damu
Posti hii inazungumzia kuhusiana na was Uharibifu wa seli nyekundu za damu ambapo hujulikana Kama Ugonjwa wa Hemolytic uremic (HUS) ni hali inayotokana na uharibifu usio wa kawaida wa seli nyekundu za damu mapema. Mara tu mchakato huu unapoanza, seli nyekundu za damu zilizoharibiwa huanza kuziba mfumo wa kuchuja kwenye figo, ambayo inaweza hatimaye kusababisha kushindwa kwa figo. Soma Zaidi...

Dalili za Ugonjwa wa mapafu.
posti hii inahusu dalili za ugonjwa wa mapafu.ambapo kitaalamu hujulikana Kama Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu yako. Majimaji mengi kwenye mapafu yako inamaanisha kuwa oksijeni kidogo inaweza kufikia mkondo wako wa damu. Hii inanyima viungo vyako oksijeni vinavyohitaji kufanya kazi. Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa wa hepatitis A
Hepatitis A ni ugonjwa wa kuambukiza wa ini unaosababishwa na virusi vya Hepatitis A. Virusi ni mojawapo ya aina kadhaa za virusi vya Hepatitis vinavyosababisha kuvimba na kuathiri uwezo wa ini wako kufanya kazi. Soma Zaidi...

Njia za kupambana na kuzuia gonorrhea
Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kupambana na kuzuia gonorrhea Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa wa Saratani ya uke
Saratani ya uke'ni Saratani'adimu'inayotokea kwenye uke wako mrija wa misuli unaounganisha uterasi na sehemu zako za siri. Saratani ya uke'mara nyingi hutokea katika seli zilizo kwenye uso wa uke wako, ambao wakati mwingine huitwa njia ya uzazi. Wanawake walio na'saratani ya uke'katika hatua za awali'wanayo nafasi nzuri ya kupata tiba. Saratani ya uke'inayoenea nje ya uke ni vigumu zaidi kutibu. Soma Zaidi...

Sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi
Kiufipi posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi Soma Zaidi...

Malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele.
Posti hii inahusu zaidi malengo ya kumsafisha mgonjwa nywele zake, ni sababu ambazo upelekea kumsafisha mgonjwa nywele kama tutakavyoona hapo chini. Soma Zaidi...

Maji
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za maji mwilini Soma Zaidi...

Sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake Soma Zaidi...

Dalili na ishara za shambulio la moyo
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili na ishara za shambulio la moyo. Shambulio la moyo huzuia damu yenye oksijeni kufika kwenye moyo hivyo hupelekea tishu kufa. Na Ugonjwa huu mtu akicheleweshewa matibabu huweza kupata mshtuko wa moyo mpaka kifo. Soma Zaidi...

Yajue malengo ya kusafisha vidonda.
Posti hii inahusu zaidi malengo ya kusafisha vidonda, kwa sababu Kuna watu wengine huwa wanajiuliza kwa nini nisafishe kidonda hospitalini au kwenye kituo chochote Cha afya, yafuatayo ni majibu ya kwa Nini nisafishe kidonda. Soma Zaidi...

Mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo
Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya yake kwenye njia safi. Soma Zaidi...