Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa vipele kwenye midomo na sehemu za siri .Ni ugonjwa ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster
Ugonjwa wa kuwepo kwa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa heper zoster.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa ugonjwa huu usababishwa na virus ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster virus one and herpes zoster virus two, hawa virusi ushambulia zaidi kwenye sehemu za midomo hasa kwenye lips na kufanya midomo ipasuke pasuke na pia ushambulia sehemu za siri na kuziacha nazo zikiwa zimepasuka pasuka.
2.Pia ugonjwa huu unaweza mpata mtu yeyote lakini zaidi upenda kushambulia Watu ambao wana kinga ndogo ya mwili kwa mfano wagonjwa wenye kansa ya damu ambayo kwa kitaalamu huitwa lukemia, wale wenye Maambukizi ya virus vya ukimwi nao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa huu , pia na wale ambao wana kansa kwa mda mrefu nao wako kwenye hatari ya kupata Ugonjwa huu kwa sababu ya kinga yao kubwa chini.
3.Kwa hiyo kama tuna wagonjwa wenye Magonjwa yanayofanya kinga yao kuwa chini wanapaswa kuhakikisha kuwa kinga yao inakuwa juu kwa kupata dawa ambazo ufubaza virus vya ukimwi kwa wale wenye ugonjwa huu na pia kuwapatia mlo kamili wale wote wenye matatizo mbalimbali ya kiafya ili kuweza kuepuka na ugonjwa huu.
4.Pia Ugonjwa huu unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia tofauti kwa hiyo ni vizuri kabisa tukaweza kuepuka ugonjwa huu, hasa kwa wale wanaopenda kuhusiana kuwa na tahadhari na angalia una busu mtu wa namna gani kwa hiyo tuwe makini na pia wale wanaopenda kufanya ngono zembe kuwa makini sana ili kuweza kuepuka madhara kabisa.
5. Tunapaswa kujua kuwa ugonjwa unaosababishwa na virusi hauna dawa kwa hiyo kinga na kujiadhari ni kitu cha maana kabisa ili tuweze kuepuka na janga hili la kuwepo kwa Ugonjwa huu ambao uweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kupunguza ugonjwa wa pressure au shinikizo la damu kwa waliokwisha kupata wanaweza kupunguza na kwa wake ambao hawajapata ni nzuri inawasaidia kuepuka hatari ya kupata ppresha.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake
Soma Zaidi...VIPIMO VYA MINYOO Haitoshelezi kuwa na dalili pekee ukathibitisha kuwa una minyoo.
Soma Zaidi...Posti hii itakwenda kuelezea mambo machache kuhusu ugonjwa wa kisukari
Soma Zaidi...Kuvimbiwa kwa watoto ni shida ya kawaida. Kuvimbiwa kwa watoto mara nyingi huonyeshwa na kinyesi kisicho kawaida au kinyesi ngumu na kavu.
Soma Zaidi...Mshtuko wa moyo hutokea wakati mtiririko wa damu kwa moyo umezuiwa, mara nyingi kwa mkusanyiko wa mafuta, cholesterol na vitu vingine, ambayo huunda plaque katika mishipa inayolisha moyo (mishipa ya moyo). Mtiririko wa damu ulioingiliwa unaweza kuharibu
Soma Zaidi...Swali hili limeulizwa na mdau mmoja. Kuwa endapo mtu atafanya ngono zembe na akapata virusi je ataweza kuambukiza.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza kiwango cha kuwepo kwa magonjwa ya kuambukiza, kwa hiyo zifuatazo ni mbinu ambazo zinapaswa kutumika ili kupunguza kiwango cha magonjwa ya kuambukiza.
Soma Zaidi...Kisonono ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria wa zinaa ambao wanaweza kuwaambukiza wanaume na wanawake. Kisonono mara nyingi huathiri urethra, puru au koo. Kwa wanawake, ugonjwa wa kisonono unaweza pia kuambukiza kizazi.
Soma Zaidi...