Ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa vipele kwenye midomo na sehemu za siri .Ni ugonjwa ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster

Ugonjwa wa kuwepo kwa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa heper zoster.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa ugonjwa huu usababishwa na virus ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster virus one and herpes zoster virus two, hawa virusi ushambulia zaidi kwenye sehemu za midomo hasa kwenye lips na kufanya midomo ipasuke pasuke na pia ushambulia sehemu za siri na kuziacha nazo zikiwa zimepasuka pasuka.

 

2.Pia ugonjwa huu unaweza mpata mtu yeyote lakini zaidi upenda kushambulia Watu ambao wana kinga ndogo ya mwili kwa mfano wagonjwa wenye kansa ya damu ambayo kwa kitaalamu huitwa lukemia,  wale wenye Maambukizi ya virus vya ukimwi nao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa huu , pia na wale ambao wana kansa kwa mda mrefu nao wako kwenye hatari ya kupata Ugonjwa huu kwa sababu ya kinga yao kubwa chini.

 

3.Kwa hiyo kama tuna wagonjwa wenye Magonjwa yanayofanya kinga yao kuwa chini wanapaswa kuhakikisha kuwa kinga yao inakuwa juu kwa kupata dawa ambazo ufubaza virus vya ukimwi kwa wale wenye ugonjwa huu na pia kuwapatia mlo kamili wale wote wenye matatizo mbalimbali ya kiafya ili kuweza kuepuka na ugonjwa huu.

 

4.Pia Ugonjwa huu unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia tofauti kwa hiyo ni vizuri kabisa tukaweza kuepuka ugonjwa huu, hasa kwa wale wanaopenda kuhusiana kuwa na tahadhari na angalia una busu mtu wa namna gani kwa hiyo tuwe makini na pia wale wanaopenda kufanya  ngono zembe kuwa makini sana ili kuweza kuepuka madhara kabisa.

 

5. Tunapaswa kujua kuwa ugonjwa unaosababishwa na virusi hauna dawa kwa hiyo kinga na kujiadhari ni kitu cha maana kabisa ili tuweze kuepuka na janga hili la kuwepo kwa Ugonjwa huu ambao uweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1958

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Saratani ya tishu zinazounda Damu mwilini (leukemia)

Post hii inaelezea kuhusiana na Saratani ya tishu zinazounda damu mwilini, ikijumuisha uboho na mfumo wa limfu.ugonjwa huu kitaalamu huitwa leukemia.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa Saratani ya seli nyeupe.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Saratani ambayo hutokea katika aina ya seli nyeupe ya damu inayoitwa seli ya plasma. Seli za plasma hukusaidia kupambana na maambukizo kwa kutengeneza kingamwili zinazotambua na kushambulia vijidudu. Pia husababish

Soma Zaidi...
Matatizo yanayoweza kusababisha Saratani.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na matatizo yanayoweza kusababisha Ugonjwa wa Saratani.

Soma Zaidi...
Dalili za gonorrhea

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya dalili za gonorrhea

Soma Zaidi...
Dalili za awali za ugonjwa wa kizukari

ugonjwa wa kisukari ni moja katika magonjwa hatari sana, na mpaka sasa bado hauna matibabu ya kuponya moja kwa moja

Soma Zaidi...
Maambukizi kwenye mfumo wa usagaji chakula unaotokea kwenye utumbo mkubwa (diverticulitis)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mifuko midogo midogo, iliyobubujika ambayo inaweza kuunda kwenye utando wa mfumo wako wa usagaji chakula. Wao hupatikana mara nyingi katika sehemu ya chini ya utumbo mkubwa (koloni). Hali hiyo inajulikana kama Divert

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa misuli kuwa dhaifu.

hali ambayo misuli unayotumia kwa hotuba ni dhaifu au unapata shida kuidhibiti mara nyingi inaonyeshwa na usemi wa kufifia au polepole ambao unaweza kuwa mgumu kuelewa. Sababu za kawaida za Ugonjwa huu ni pamoja na matatizo ya mfumo wa neva (neurolojia

Soma Zaidi...
Walio hatarini kupata gonorrhea (gonoria)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu watu walio hatarini kupata gonorrhea gonoria

Soma Zaidi...
Ishara na dalilili za Mtoto mwenye kuhara

postii hii inazungumzia dalilili za Mtoto mwenye Kuhara. Kuhara maana yake ni kutokwa na kinyesi chenye maji matatu au zaidi, pamoja na au bila damu ndani ya masaa 24. Kuhara kunaweza kusababishwa na maambukizo ya bakteria na virusi, ugonjwa wa matumb

Soma Zaidi...