Menu



Dalili za ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster. Kwa hiyo ili kugundua kubwa mtu ana Ugonjwa huu Dalili kama hizi zifuatazo zinaweza kutokea kwa mgonjwa.

Dalili za Ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye sehemu za siri.

1.mgonjwa anakuwa na maumivu kwenye sehemu za siri na kwenye midomo.

Maumivu haya utokea kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ambayo ufanya midomo kubwa na mipasuko na kwenye sehemu za siri hivyo kunakuwepo na mipasuko ambayo Usababisha maumivu.

 

2.Rangi ya midomo ubadilika rangi na kuwa nyekundu hivyo hivyo na kwenye sehemu za siri uwa nyekundu kwa sababu ya kuwepo kwa wadudu ambao Usababisha kubadilisha rangi ya kawaida kwenye midomo na kwenye sehemu za siri.

 

3.Kuwa na miwasho kwenye midomo na hasa hasa kwenye sehemu za siri, kwa hiyo mda mwingi utaona Mgonjwa anajikuna kuna sana kwenye sehemu za siri kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi na virusi ambavyo Usababisha kuwasha sehemu hizo.

 

4.Kuwepo kwa vi uvimba vidogo vidogo vyenye maji ambavyo kwa kitaalamu huitwa brister na uweza kupasuka pasuka na kutoa maji maji ikiwa hayo maji yakimgusa mtu mwingine anaweza kupata Ugonjwa huu kwa hiyo ni vizuri na kuwa makini katika kujilinda kama mwenzetu amepatwa na Ugonjwa huo.

 

5.Pia ugonjwa huu kwa kawaida ushambulia sehemu laini kama kwenye midomo na sehemu za siri, inaweza kutokea wadudu hao wanasambaza kutoka kwenye midomo na kufika kwenye sehemu ya jicho ambapo Usababisha matatizo kwenye macho na kwa wakati mwingine tatizo lisipogundulika mapema Mgonjwa anaweza kuwa na shida ya kuona.

 

6.Kwa hiyo baada ya kuona dalili za ugonjwa huu tunapaswa kuwasaidia wagonjwa wetu na kuhakikisha kuwa ugonjwa huu hausambai kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. Kwa wale wenye Magonjwa yaanayosababisha kinga kushuka tumieni dawa zinazopaswa na kula mlo kabili na dalili hizi zitatoweka na hali ya mgonjwa itakuwa kawaida.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1542

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Dalili za moyo kutanuka

Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza na kuonyesha kwamba moyo umetanuka.

Soma Zaidi...
Dalili za Saratani ya utumbo mdogo.

Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa vidonda vya kitanda (bed sores)

Posti hii inaonyesha dalili za ugonjwa wa Vidonda vya kitanda (bed sores)mara nyingi hukua kwenye ngozi ambayo hufunika sehemu za mifupa ya mwili, kama vile visigino, vifundoni, viuno. Vidonda vya kitanda vinaweza kukua haraka na mara nyingi ni vigumu

Soma Zaidi...
Aina za vyakula somo la 13: Faida za bamia

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu faida za bamia mwilini

Soma Zaidi...
Dalili za saratani ya ini.

posti inaonyesha dalili mbalimbali za Saratani ya ini. Saratani ya ini ni Saratani inayoanzia kwenye seli za ini lako. Ini lako ni kiungo cha ukubwa wa mpira wa miguu ambacho kinakaa sehemu ya juu ya kulia ya tumbo lako, chini ya diaphr

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kuharisha na sababu zake.

Kuharisha ni Hali ya kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisicho na damu

Soma Zaidi...
Elimu kuhusu HIV na UKIMWI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu elimu ya kuhusu HIV na UKIMWI

Soma Zaidi...
Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili?

Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili? Hili ni swali lililoulizwa kuhusu vidonda vya tumbo, kuwa vinakaa wapi katika mwili.

Soma Zaidi...
Naomb niulize ukiingiliana na mwanmke mweny ukimwi unaweza kuambikizwa na kusaambaaa kwa mda gan ndan ya mwil

Muda gani ukimwi huweza kuonekana mwilini ama kugundulika kama umeathirika, ni dalili zipo hujitokeza punde tu utakapoathirika

Soma Zaidi...
Dawa za kutuliza vvu zinaongeza damu

Hakuna dawa ya UKIMWI ya kutibu kuondoa virusi mwilini, lakini zipo dawa za kuweza kupunguza makali ya virusi hawa. Hivi unesha jiuliza kuwa je zile dawa zinaongeza damu?

Soma Zaidi...