Dalili za ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster. Kwa hiyo ili kugundua kubwa mtu ana Ugonjwa huu Dalili kama hizi zifuatazo zinaweza kutokea kwa mgonjwa.

Dalili za Ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye sehemu za siri.

1.mgonjwa anakuwa na maumivu kwenye sehemu za siri na kwenye midomo.

Maumivu haya utokea kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ambayo ufanya midomo kubwa na mipasuko na kwenye sehemu za siri hivyo kunakuwepo na mipasuko ambayo Usababisha maumivu.

 

2.Rangi ya midomo ubadilika rangi na kuwa nyekundu hivyo hivyo na kwenye sehemu za siri uwa nyekundu kwa sababu ya kuwepo kwa wadudu ambao Usababisha kubadilisha rangi ya kawaida kwenye midomo na kwenye sehemu za siri.

 

3.Kuwa na miwasho kwenye midomo na hasa hasa kwenye sehemu za siri, kwa hiyo mda mwingi utaona Mgonjwa anajikuna kuna sana kwenye sehemu za siri kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi na virusi ambavyo Usababisha kuwasha sehemu hizo.

 

4.Kuwepo kwa vi uvimba vidogo vidogo vyenye maji ambavyo kwa kitaalamu huitwa brister na uweza kupasuka pasuka na kutoa maji maji ikiwa hayo maji yakimgusa mtu mwingine anaweza kupata Ugonjwa huu kwa hiyo ni vizuri na kuwa makini katika kujilinda kama mwenzetu amepatwa na Ugonjwa huo.

 

5.Pia ugonjwa huu kwa kawaida ushambulia sehemu laini kama kwenye midomo na sehemu za siri, inaweza kutokea wadudu hao wanasambaza kutoka kwenye midomo na kufika kwenye sehemu ya jicho ambapo Usababisha matatizo kwenye macho na kwa wakati mwingine tatizo lisipogundulika mapema Mgonjwa anaweza kuwa na shida ya kuona.

 

6.Kwa hiyo baada ya kuona dalili za ugonjwa huu tunapaswa kuwasaidia wagonjwa wetu na kuhakikisha kuwa ugonjwa huu hausambai kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. Kwa wale wenye Magonjwa yaanayosababisha kinga kushuka tumieni dawa zinazopaswa na kula mlo kabili na dalili hizi zitatoweka na hali ya mgonjwa itakuwa kawaida.

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Author Tarehe 2022/02/23/Wednesday - 03:50:01 pm     Share On Facebook or WhatsApp Imesomwa mara 1001

Post zifazofanana:-

Huduma ya Kwanza kwa aliyepatwa na presha ya kushuka
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na presha ya kushuka Soma Zaidi...

Huduma ya kwanza kwa aliyeungua moto
Post hii inahusu namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyeungua moto, kuingia moto ni kitendo Cha kubabuka ngozi ya juu inaweza kuwa kwa kemikali,umeme na just, Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa fungusi uken
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa fungusi uken, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu za Siri ambao huwa na dalili kama zifuatazo. Soma Zaidi...

Faida za tangawizi
Somo Hili linakwenda kukuletea faida za tangawizi Soma Zaidi...

Nini husababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa wanawake na wanaume
Somo hili linakwenda kukueleza vitu vinavyosababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu Soma Zaidi...

Mkojo mchafu na Rangi za mikojo na maana zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Rangi za mkojo na maana zake na mkojo mchafu Soma Zaidi...

Mishipa ya machozi kufunga kwa mtoto.
Posti inahusu nzaidi kufunga kwa mishipa ya machozi ya mtoto kwa kawaida mishipa ya mtoto inapaswa kufunguka baada ya mwaka mmoja lakini kwa wengine ubaki imefungwa hata baada ya mwaka mmoja na kusababisha madhara mbalimbali kwa mtoto. Soma Zaidi...

Namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo. Soma Zaidi...

Dalili za jipu la jino.
Jipu la jino ni mfuko wa usaha unaosababishwa na maambukizi ya bakteria. Jipu linaweza kutokea katika maeneo tofauti ya jino kwa sababu tofauti. Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa sugu wa Figo.
Ugonjwa sugu wa figo, pia huitwa kushindwa kwa figo sugu, huelezea upotevu wa taratibu wa utendakazi wa figo. Figo zako huchuja taka na Majimaji kupita kiasi kutoka kwa damu yako, ambayo hutolewa kwenye mkojo wako. Ugonjwa sugu wa figo unapofikia hatua ya juu, viwango hatari vya Majimaji, elektroliti na taka vinaweza kujikusanya mwilini mwako. Soma Zaidi...

Ugonjwa wa Uharibifu wa seli nyekundu za damu
Posti hii inazungumzia kuhusiana na was Uharibifu wa seli nyekundu za damu ambapo hujulikana Kama Ugonjwa wa Hemolytic uremic (HUS) ni hali inayotokana na uharibifu usio wa kawaida wa seli nyekundu za damu mapema. Mara tu mchakato huu unapoanza, seli nyekundu za damu zilizoharibiwa huanza kuziba mfumo wa kuchuja kwenye figo, ambayo inaweza hatimaye kusababisha kushindwa kwa figo. Soma Zaidi...

Sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi
Kiufipi posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi Soma Zaidi...