Home Afya Shule ICT Burudani Dini Maktaba Maswali Madrasa Apps Blog Legacy Login

DALILI ZA UGONJWA WA HERPES SIMPLEX AU VIPELE KWENYE MIDOMO NA SEHEMU ZA SIRI


image


Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster. Kwa hiyo ili kugundua kubwa mtu ana Ugonjwa huu Dalili kama hizi zifuatazo zinaweza kutokea kwa mgonjwa.


Dalili za Ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye sehemu za siri.

1.mgonjwa anakuwa na maumivu kwenye sehemu za siri na kwenye midomo.

Maumivu haya utokea kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ambayo ufanya midomo kubwa na mipasuko na kwenye sehemu za siri hivyo kunakuwepo na mipasuko ambayo Usababisha maumivu.

 

2.Rangi ya midomo ubadilika rangi na kuwa nyekundu hivyo hivyo na kwenye sehemu za siri uwa nyekundu kwa sababu ya kuwepo kwa wadudu ambao Usababisha kubadilisha rangi ya kawaida kwenye midomo na kwenye sehemu za siri.

 

3.Kuwa na miwasho kwenye midomo na hasa hasa kwenye sehemu za siri, kwa hiyo mda mwingi utaona Mgonjwa anajikuna kuna sana kwenye sehemu za siri kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi na virusi ambavyo Usababisha kuwasha sehemu hizo.

 

4.Kuwepo kwa vi uvimba vidogo vidogo vyenye maji ambavyo kwa kitaalamu huitwa brister na uweza kupasuka pasuka na kutoa maji maji ikiwa hayo maji yakimgusa mtu mwingine anaweza kupata Ugonjwa huu kwa hiyo ni vizuri na kuwa makini katika kujilinda kama mwenzetu amepatwa na Ugonjwa huo.

 

5.Pia ugonjwa huu kwa kawaida ushambulia sehemu laini kama kwenye midomo na sehemu za siri, inaweza kutokea wadudu hao wanasambaza kutoka kwenye midomo na kufika kwenye sehemu ya jicho ambapo Usababisha matatizo kwenye macho na kwa wakati mwingine tatizo lisipogundulika mapema Mgonjwa anaweza kuwa na shida ya kuona.

 

6.Kwa hiyo baada ya kuona dalili za ugonjwa huu tunapaswa kuwasaidia wagonjwa wetu na kuhakikisha kuwa ugonjwa huu hausambai kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. Kwa wale wenye Magonjwa yaanayosababisha kinga kushuka tumieni dawa zinazopaswa na kula mlo kabili na dalili hizi zitatoweka na hali ya mgonjwa itakuwa kawaida.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    2 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    3 ICT       ðŸ‘‰    4 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    5 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    6 Maktaba ya vitabu    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS

Imeandikwa na Salvertory Tags AFYA , Afya , ALL , Tarehe 2022/02/23/Wednesday - 03:50:01 pm     Share On facebook or WhatsApp Topic school Zaidi Dini AFYA ICT Burudani Tags Uzazi maswali Afya mengineyo dini HIV Sira vyakula Matunda HTML php Alif Lela 1 Alif Lela 2 FANGASI Dawa SQL Tips Quran Sunnah fiqh DARSA Magonjwa Tajwid tawhid simulizi Dua Academy Wahenga chemshabongo WAJUWA Michezo ICT Imesomwa mara 846



Post Nyingine


image Njia za kufuata unapohudumia watu waliopata ajali
Post hii inahusu zaidi namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa watu waliopata ajali. Ajali ni tukio lisilotarajiwa ambalo kinaweza kumkuta mtu yeyote, tunapotoa huduma ya kwanza tnazingatia rangi ambazo huwakilisha jinsi watu walivyoumia. Soma Zaidi...

image Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake, hii ni Aina tatu za vyakula na kazi zake jinsi zinavyofanya kazi, hufanya kazi kama ifuatavyo, Soma Zaidi...

image Tiba ya vidonda vya tumbo na dawa zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Tina ya vidonda vya tumbo na dawa zake Soma Zaidi...

image Kiasi Cha mkojo kisichokuwa cha kawaida.
Hii posti inahusu zaidi sifa za mkojo usio wa kawaida,ukiona mkojo wa namna hii unapaswa kwenda hospitalini kwa matibabu au vipimo vya zaidi. Soma Zaidi...

image Nini husababisha kizunguzungu?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo mbalimbali ambayo husababisha kizunguzungu. Soma Zaidi...

image Tatizo la Kikohozi Cha muda mrefu
Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za Kikohozi cha muda mrefu ni zaidi ya kero. Kikohozi cha muda mrefu kinaweza kuharibu usingizi wako na kukuacha unahisi uchovu. Matukio makali ya kikohozi cha muda mrefu yanaweza kusababisha kutapika, kizunguzungu,Msongo wa mawazo, hata kuvunjika kwa mbavu. Kikohozi cha kudumu kinafafanuliwa kuwa hudumu wiki nane au zaidi kwa watu wazima, wiki nne kwa watoto. Soma Zaidi...

image Madhara ya kushindwa kupitisha mkojo.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kushindwa kupitisha mkojo, ni madhara makubwa yanayotokea kwa mtu iwapo akishindwa kupitisha mkojo. Soma Zaidi...

image Maambukizi katika mfumo wa Uzazi wa mwanamke
Maambukizi kwenye Njia ya Uzazi kwa kifupi hujulikana Kama PID.ni Maambukizi ya mfumo wa Uzazi yanayoathiri wanawake, Maambukizi haya kwa Kawaida huhusisha sehemu Kama shingo ya uzazi,nyuma ya mfuko wa Uzazi na mirija ya uzazi. Soma Zaidi...

image Namna ya Kuzuia Mtoto mwenye kifua kikuu (TB).
posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano. Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kliniki yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex. Soma Zaidi...

image Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kulia Soma Zaidi...