Namna madonda koo yanavyotokea
Posti hii inahusu namna madonda koo yanavyotokea, ni jinsi na namna Magonjwa haya au Maambukizi yanavyotokea na kuweza kusababisha madhara kwa watu.
Jinsi madonda koo yanavyotokea
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa madonda koo ambayo kwa kitaalamu huitwa tonsils, Magonjwa haya usababishwa na bakteria na virusi, kwa hiyo ikiwa Maambukizi kwenye koo yamesababishwa na virusi ni vigumu kupona mpaka upasuaji uwepo ila kama yanasababishwa na bakteria tunaweza kutumia antibiotics na Maambukizi haya yakaisha.
2.Kuna Dalili zinazoonyesha kwamba Maambukizi yamesababishwa na virusi ambapo mgonjwa huwa na kikohozi, macho kuuma na mafua yanakuwa yanatiririka na kama Maambukizi yamesababishwa na bakteria Mgonjwa anakuwa na homa anavimba kwenye sehemu ya tonsils, na maumivu ya kichwa kwa hiyo tunapaswa kutofautisha Maambukizi ya bakteria na virus.
3.Tunajua kuwa kazi ya tonsils ni kuchuja wadudu na takataka zote ili zisiweze kuingia katika mfumo wa hewa, na katika takataka hizo kuna nyingine huwa zinakuja na virus au bakteria ambao ushambulia tonsils na kufanya wadudu waweze kuingia kwenye mfumo mwingine wa mwili.
4. Kwa hiyo tunapaswa kuchukua hatua ikiwa tutapata Maambukizi haya kwa sababu sababu yasipotibiwa mapema yanaweza kuleta madhara makubwa kama vile kushambuliwa sehemu nyingine za mwili kama vile kibofu cha mkojo, ini, moyo , mambukizi kwenye mfumo wa hewa, pia mtu anaweza kupata Nimonia Magonjwa yote kama hayo
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Dua za Mitume na Manabii π2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π3 web hosting π4 Simulizi za Hadithi Audio π5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Dalili za Mimba Kabla ya Kipimo:
βKipindi cha kusubiri ili kufanya kipimo cha mimba kinaweza kuwa na msisimko na wakati mwingine wasiwasi. Makala hii inakupatia mwongozo wa ishara za awali ambazo mwili wako unaweza kuzionyesha kabla hata ya kupata majibu ya vipimo vya maabara au vya nyumbani.
Soma Zaidi...Madhara ya kushindwa kupitisha mkojo.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kushindwa kupitisha mkojo, ni madhara makubwa yanayotokea kwa mtu iwapo akishindwa kupitisha mkojo.
Soma Zaidi...Jipu: Chanzo chake na njia salama ya kulitibu.
βJipu (abscess) ni mkusanyiko wa usaha unaotokea chini ya ngozi au ndani ya tishu za mwili kutokana na maambukizi ya bakteria. Mwili hujaribu kujilinda dhidi ya vimelea hivyo kwa kutuma seli nyeupe za damu kwenye eneo husika, na matokeo yake ni kutengeneza mfuko wa usaha unaosababisha maumivu, uvimbe, na joto. Makala haya yanafafanua chanzo cha majipu na mbinu salama za kuyatibu bila kusababisha maambukizi zaidi.
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo kitovuni
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu ya tumbo kitovuni
Soma Zaidi...Sababu za kuwa na afya ya akili
Afya ya akili ni hali ya mtu kuwa na akili timamu kiroho,kimwili ,na Kwa mazingira yake yote yaliyomzunguka na anaweza kuamua kitu akiwa katika ukamilifu, zifuatazo ni sababu za kuwa na Afya ya akili.
Soma Zaidi...Dalili za Mimba Baada ya Ovulation
Kipindi cha baada ya yai kupevuka (ovulation) na kabla ya siku zako za hedhi kutarajiwa (drip-wait period) ni kipindi cha kusisimua kwa mwanamke anayetafuta mtoto. Makala hii inaelezea dalili za mapema ambazo mwili unaweza kuzionyesha mara baada ya yai kurutubishwa na kupandikizwa kwenye mji wa mimba, yakikusaidia kuelewa mabadiliko ya kibaolojia yanayoendelea.
Soma Zaidi...