Namna madonda koo yanavyotokea

Namna madonda koo yanavyotokea

Posti hii inahusu namna madonda koo yanavyotokea, ni jinsi na namna Magonjwa haya au Maambukizi yanavyotokea na kuweza kusababisha madhara kwa watu.

Download Post hii hapa

Jinsi madonda koo yanavyotokea 

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa madonda koo ambayo kwa kitaalamu huitwa tonsils, Magonjwa haya usababishwa na bakteria na virusi, kwa hiyo ikiwa Maambukizi kwenye koo yamesababishwa na virusi ni vigumu kupona mpaka upasuaji uwepo ila kama yanasababishwa na bakteria tunaweza kutumia antibiotics na Maambukizi haya yakaisha.

 

2.Kuna Dalili zinazoonyesha kwamba Maambukizi yamesababishwa na virusi ambapo mgonjwa huwa na kikohozi, macho kuuma na mafua yanakuwa yanatiririka na kama Maambukizi yamesababishwa na bakteria Mgonjwa anakuwa na homa anavimba kwenye sehemu ya tonsils, na maumivu ya kichwa kwa hiyo tunapaswa kutofautisha Maambukizi ya bakteria na virus.

 

3.Tunajua kuwa kazi ya tonsils ni kuchuja wadudu na takataka zote ili zisiweze kuingia katika mfumo wa hewa, na katika takataka hizo kuna nyingine huwa zinakuja na virus au bakteria ambao ushambulia tonsils na kufanya wadudu waweze kuingia kwenye mfumo mwingine wa mwili.

 

4. Kwa hiyo tunapaswa kuchukua hatua ikiwa tutapata Maambukizi haya kwa sababu sababu yasipotibiwa mapema yanaweza kuleta madhara makubwa kama vile kushambuliwa sehemu nyingine za mwili kama vile kibofu cha mkojo, ini, moyo , mambukizi kwenye mfumo wa hewa, pia mtu anaweza kupata Nimonia Magonjwa yote kama hayo

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1572

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Yajue matatizo yanayosababisha Ugonjwa wa akili.
Yajue matatizo yanayosababisha Ugonjwa wa akili.

Madhara ya ugonjwa wa akili yanaweza kuwa ya muda au ya kudumu. Unaweza pia kuwa na zaidi ya ugonjwa mmoja wa afya ya akili kwa wakati mmoja. Kwa mfano, unaweza kuwa na ulegevu na ugonjwa wa matumizi ya madawa ya kulevya.

Soma Zaidi...
Ni nini husababisha mate kujaa mdomoni, na ni yapi matibabu yake
Ni nini husababisha mate kujaa mdomoni, na ni yapi matibabu yake

Hapa tutaangalia baadhi ya sababu zinazopelekea mdomo kujaa mate na namna ya kutibu tatizo la kujaa kwa mate mdomoni

Soma Zaidi...
Dalili za maambukizi ya sikio kwa watoto
Dalili za maambukizi ya sikio kwa watoto

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za maambukizi ya sikio kwa watoto.

Soma Zaidi...
Aina za minyoo
Aina za minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya aina za minyoo

Soma Zaidi...
Jinsi ya kujilinda na maradhi ya ini
Jinsi ya kujilinda na maradhi ya ini

Hapa nitakueleza namna ambavyounaweza kupunguza hatari ya kupata maradhi ya ini. Kwa njia hizi unaweza kujikina wewe na wengineo na maradhi haya hatari ya ini.

Soma Zaidi...
Dalilili za kukosa oksijeni
Dalilili za kukosa oksijeni

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalilili za kukosa oksijeni ambalo kitaalamu hujulikana Kama apnea.kukosa oksijeni ni tatizo ambapo kupumua kwako hukoma na kuanza unapolala.

Soma Zaidi...
Madhara ya maambukizi kwenye tumbo
Madhara ya maambukizi kwenye tumbo

Posti hii inahusu zaidi madhara ya maambukizi kwenye tumbo,hasa pale ambapo mgonjwa hakutibiwa

Soma Zaidi...
Maambukizi ya H.pylori (Vidonda vya tumbo)
Maambukizi ya H.pylori (Vidonda vya tumbo)

Maambukizi ya H. pylori hutokea wakati aina ya bakteria inayoitwa Helicobacter pylori (H. pylori) inapoambukiza tumbo lako. Hii kawaida hutokea wakati wa utoto. Sababu ya kawaida ya Vidonda vya tumbo, maambukizi ya H. pylori yanaweza kuwa katika za

Soma Zaidi...
Dalili za vidonda vya tumbo
Dalili za vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili?
Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili?

Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili? Hili ni swali lililoulizwa kuhusu vidonda vya tumbo, kuwa vinakaa wapi katika mwili.

Soma Zaidi...