Namna madonda koo yanavyotokea


image


Posti hii inahusu namna madonda koo yanavyotokea, ni jinsi na namna Magonjwa haya au Maambukizi yanavyotokea na kuweza kusababisha madhara kwa watu.


Jinsi madonda koo yanavyotokea 

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa madonda koo ambayo kwa kitaalamu huitwa tonsils, Magonjwa haya usababishwa na bakteria na virusi, kwa hiyo ikiwa Maambukizi kwenye koo yamesababishwa na virusi ni vigumu kupona mpaka upasuaji uwepo ila kama yanasababishwa na bakteria tunaweza kutumia antibiotics na Maambukizi haya yakaisha.

 

2.Kuna Dalili zinazoonyesha kwamba Maambukizi yamesababishwa na virusi ambapo mgonjwa huwa na kikohozi, macho kuuma na mafua yanakuwa yanatiririka na kama Maambukizi yamesababishwa na bakteria Mgonjwa anakuwa na homa anavimba kwenye sehemu ya tonsils, na maumivu ya kichwa kwa hiyo tunapaswa kutofautisha Maambukizi ya bakteria na virus.

 

3.Tunajua kuwa kazi ya tonsils ni kuchuja wadudu na takataka zote ili zisiweze kuingia katika mfumo wa hewa, na katika takataka hizo kuna nyingine huwa zinakuja na virus au bakteria ambao ushambulia tonsils na kufanya wadudu waweze kuingia kwenye mfumo mwingine wa mwili.

 

4. Kwa hiyo tunapaswa kuchukua hatua ikiwa tutapata Maambukizi haya kwa sababu sababu yasipotibiwa mapema yanaweza kuleta madhara makubwa kama vile kushambuliwa sehemu nyingine za mwili kama vile kibofu cha mkojo, ini, moyo , mambukizi kwenye mfumo wa hewa, pia mtu anaweza kupata Nimonia Magonjwa yote kama hayo



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Dalili za Ugonjwa wa Ebola.
Virusi vya Ebola ni virusi vinavyohusiana vinavyosababisha Homa za hemorrhagic magonjwa yanayoambatana na kutokwa na damu nyingi (kuvuja damu), viungo kushindwa kufanya kazi na, mara nyingi, kifo. Virusi vya Ebola na virusi huishi kwa wanyama, na wanadamu wanaweza kuambukizwa virusi kutoka kwa wanyama walioambukizwa. Baada ya maambukizi ya awali, virusi vinaweza kuenea kutoka kwa mtu hadi mtu kwa kugusana na Majimaji ya mwili au sindano zilizochafuliwa. Soma Zaidi...

image Saratani ya tishu zinazounda Damu mwilini (leukemia)
Post hii inaelezea kuhusiana na Saratani ya tishu zinazounda damu mwilini, ikijumuisha uboho na mfumo wa limfu.ugonjwa huu kitaalamu huitwa leukemia. Soma Zaidi...

image Kivimba kwa mishipa ya Damu
Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kuvimba kwa mishipa yako ya damu. Inasababisha mabadiliko katika kuta za mishipa ya damu, ikiwa ni pamoja na kuimarisha, kudhoofisha, kupungua na kupungua. Mabadiliko haya huzuia mtiririko wa damu, na kusababisha uharibifu wa chombo na tishu. Soma Zaidi...

image Madhara ya gonorrhea endapo haitotibiwa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya gonorrhea endapo haitotibiwa Soma Zaidi...

image Ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha
Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha hii ni chanjo wanayopewa watoto wadogo chini ya miaka mitano kwa lengo la kuzuia kuharisha chanjo hiyo kwa kitaalamu huitwa Rotarix. Soma Zaidi...

image Vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo Soma Zaidi...

image Namna ya kuangalia Maambukizi kwenye mifupa.
Posti hii inahusu zaidi njia zinazotumika ili kuangalia Maambukizi kwenye mifupa. Soma Zaidi...

image Magonjwa madogo madogo kwa Mama wajawazito.
Posti hii inahusu zaidi magonjwa madogo madogo kwa akina Mama wajawazito, ni magonjwa ambayo hayawezi kupelekea kupoteza maisha kwa Mama mjamzito, magonjwa haya upotea ikiwa Mama atajifungua. Soma Zaidi...

image Sababu za kutokea kwa maumivu ya jino
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutokea kwa maumivu ya jino Soma Zaidi...

image Hatua za kinga za ugumba na Utasa.
Ugumba ni “ugonjwa wa mfumo wa uzazi unaofafanuliwa kwa kushindwa kupata ujauzito baada ya miezi 12 au zaidi ya kujamiiana bila kinga mara kwa mara. Utasa  kutoweza kwa kiumbe hai kufanya uzazi wa ngono au kutoweza kupata mimba au kuchangia mimba. Soma Zaidi...