Menu



Ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa uti wa mgongo, ni ugonjwa unaoshambulia sehemu inayofunika ubongo na pia sehemu ya spinal cord

Dalili za ugonjwa wa uti wa mgongo.

1. Kuwepo kwa homa kali.

Kwa kawaida homa hii inaweza kuleta madhara makubwa kwa mgonjwa kama matibabu ya kushusha homa hayajafanyika.

 

2. Shingo kuwa mgumu ambapo kwa kitaalamu huitwa siffnes of the neck, kwa hiyo Mgonjwa anapata shida kugeuza shingo, au akijaribu kugeuza hiyo shingo anaumia kwa sababu ya Maambukizi mishipa huwa imefuta kwa nguvu.

 

3 maumivu makali ya kichwa.

Kwa sababu Maambukizi yanakuwepo kwenye ubongo na hivyo Maambukizi ya kichwa yanakuwepo kwa kiasi kikubwa kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi, kwa hiyo dawa za maumivu ni lazima ili kuweza kumsaidia mgonjwa.

 

4 mgonjwa anakuwa anaogopa mwanga.

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi hata hivyo maumivu hayo ushambulia hata na sehemu za macho ambapo Usababisha maumivu na mgonjwa ushindwa kuangalia mwanga.

 

5. Kutapika pamoja na kuzimia 

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi mgonjwa uweza kutapika na kwa wakati mwingine Mgonjwa uzimia kwa mda na hatimaye uweza kurudia kwenye hali ya kawaida,ila kama mgonjwa anatapika ni vizuri kabisa kumsaidia au kumpa huduma za haraka ili hasiweze kuishiwa na maji kwa wingi na kuleta kitu kingine.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1625

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Ugonjwa wa UTI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa UTI

Soma Zaidi...
Dalilili za tetekwanga

posti hii inazungumziaTetekuwanga . Tetekwanga(varisela) ni maambukizi ya virusi ambayo husababisha kuwasha, kama vile upele. Tetekuwanga huambukiza sana watu ambao hawajapata ugonjwa huo wala kupewa chanjo dhidi yake. Kabla ya chanjo ya mara kwa mara

Soma Zaidi...
Yajuwe maradhi ya PID yaani uvimbe kwenye fupanyonga

Posti inazungumzia Ugonjwa kwenye fupa nyonga ambapo kitaalamu hujulikana Kama {Pelvic inflammatory (PID) ni maambukizi ya viungo vya uzazi vya mwanamke.

Soma Zaidi...
Ishara na dalilili za Kichaa Cha mbwa

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kichaa cha mbwa ni virusi hatari vinavyoenezwa kwa watu kutoka kwa mate ya wanyama walioambukizwa. Virusi vya kichaa cha mbwa kawaida hupitishwa kwa kuuma.

Soma Zaidi...
Maambukizi ya tezi za mate

Psti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi ya tezi za mate ambao hujulikana Kama MABUSHA (mumps) ni maambukizi ya virusi ambayo kimsingi huathiri tezi mojawapo ya jozi tatu za tezi za mate zinazotoa mate, zilizo chini na mbele ya masikio

Soma Zaidi...
Dalili za Saratani ya utumbo mdogo.

Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo

Soma Zaidi...
Nini hasa chanzo cha pumu, na je inarithiwa?

Ugonjwa wa pumu ni moja katika magonjwa hatari yanayoweza kutokea kwa ghafla, na endapo itacheleweshwa kudhibitiwa inaweza sababisha athari mbaya zaidi

Soma Zaidi...
Dalilili za kidole tumbo (appendicitis)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa wa Kidole ambao kitaalamu hujulikana Kama Appendicitis. Kidole tumbo husababisha maumivu kwenye tumbo la chini la kulia. Hata hivyo, kwa watu wengi, maumivu huanza karibu na kitovu na kisha kusonga. Kadiri uvi

Soma Zaidi...
Dalilili za polio

Polio ni ugonjwa wa virusi unaoambukiza ambao katika hali mbaya zaidi husababisha kupooza, kupumua kwa shida na wakati mwingine kifo.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa Dondakoo na namna unavyoweza kuenea

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa Dondakoo na namna unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine.

Soma Zaidi...