Ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa uti wa mgongo, ni ugonjwa unaoshambulia sehemu inayofunika ubongo na pia sehemu ya spinal cord

Dalili za ugonjwa wa uti wa mgongo.

1. Kuwepo kwa homa kali.

Kwa kawaida homa hii inaweza kuleta madhara makubwa kwa mgonjwa kama matibabu ya kushusha homa hayajafanyika.

 

2. Shingo kuwa mgumu ambapo kwa kitaalamu huitwa siffnes of the neck, kwa hiyo Mgonjwa anapata shida kugeuza shingo, au akijaribu kugeuza hiyo shingo anaumia kwa sababu ya Maambukizi mishipa huwa imefuta kwa nguvu.

 

3 maumivu makali ya kichwa.

Kwa sababu Maambukizi yanakuwepo kwenye ubongo na hivyo Maambukizi ya kichwa yanakuwepo kwa kiasi kikubwa kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi, kwa hiyo dawa za maumivu ni lazima ili kuweza kumsaidia mgonjwa.

 

4 mgonjwa anakuwa anaogopa mwanga.

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi hata hivyo maumivu hayo ushambulia hata na sehemu za macho ambapo Usababisha maumivu na mgonjwa ushindwa kuangalia mwanga.

 

5. Kutapika pamoja na kuzimia 

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi mgonjwa uweza kutapika na kwa wakati mwingine Mgonjwa uzimia kwa mda na hatimaye uweza kurudia kwenye hali ya kawaida,ila kama mgonjwa anatapika ni vizuri kabisa kumsaidia au kumpa huduma za haraka ili hasiweze kuishiwa na maji kwa wingi na kuleta kitu kingine.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2040

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 web hosting    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Kichaa cha mbwa.

Post hii inahusu zaidi kichaa cha mbwa,au kwa kitaalamu huitwa rabies, utokea pale mtu anapongatwa na mnyama ambaye ni jamii ya mtu au mbwa mwenyewe

Soma Zaidi...
Ishara na dalilili za Kichaa Cha mbwa

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kichaa cha mbwa ni virusi hatari vinavyoenezwa kwa watu kutoka kwa mate ya wanyama walioambukizwa. Virusi vya kichaa cha mbwa kawaida hupitishwa kwa kuuma.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa pepopunda kwa watoto

Pepopunda ni ugonjwa hatari wa kutishia maisha unaosababishwa na sumu inayojulikana Kama tetanospasmin inayotolewa kwenye majeraha yaliyoambukizwa. Bakteria ya pepopunda huingia kwenye mwili wa mtoto mchanga kupitia kisiki cha kitovu ambacho kimekatwa na

Soma Zaidi...
Kupambana na kisukari

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na kisukari

Soma Zaidi...
Yajue magonjwa nyemelezi.

Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi ambayo kwa kawaida utokea pale ambapo kinga ya mwili inashuka.

Soma Zaidi...
Dalili za jeraha kali kwenye ubongo

Posti hii inahusu zaidi dalili za jeraha kali kwenye ubongo, ni majeraha ambayo utokea kwenye ubongo pale ambapo mtu anapata ajali au amepigwa na kitu chochote kigumu kichwni, zifuatazo ni dalili za jeraha kali kwenye ubongo

Soma Zaidi...
Dalili za macho kuwa makavu

posti hii inaelezea kuhusiana na dalilili na Mambo ya hatari ya Macho makavu  hutokea wakati machozi yako hayawezi kutoa unyevu wa kutosha kwa macho yako. Machozi yanaweza kuwa duni kwa sababu nyingi. Kwa mfano, Macho makavu  yanaweza ku

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa unaosababisha madhara kwenye mapafu

Posti hii inaelezea kuhusiana na Magonjwa yanayosababisha madhara kwenye mapafu na kitaalamu hujulikana Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu

Soma Zaidi...
Dalili za ukimwi za kwenye ulimi na mdomo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ukimwi za kwenye ulimi na mdomo

Soma Zaidi...
Maumivu, kizunguzungu, kichefuchefu na kutoka na damu ni dalili zamimba?

Je unapata dalili zisizoeleweka ni ni za mimba ama laa. Hapa nitakujuza hali baadhi ya wanawake zinazowatokea.

Soma Zaidi...