Ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo

Ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa uti wa mgongo, ni ugonjwa unaoshambulia sehemu inayofunika ubongo na pia sehemu ya spinal cord

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Dalili za ugonjwa wa uti wa mgongo.

1. Kuwepo kwa homa kali.

Kwa kawaida homa hii inaweza kuleta madhara makubwa kwa mgonjwa kama matibabu ya kushusha homa hayajafanyika.

 

2. Shingo kuwa mgumu ambapo kwa kitaalamu huitwa siffnes of the neck, kwa hiyo Mgonjwa anapata shida kugeuza shingo, au akijaribu kugeuza hiyo shingo anaumia kwa sababu ya Maambukizi mishipa huwa imefuta kwa nguvu.

 

3 maumivu makali ya kichwa.

Kwa sababu Maambukizi yanakuwepo kwenye ubongo na hivyo Maambukizi ya kichwa yanakuwepo kwa kiasi kikubwa kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi, kwa hiyo dawa za maumivu ni lazima ili kuweza kumsaidia mgonjwa.

 

4 mgonjwa anakuwa anaogopa mwanga.

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi hata hivyo maumivu hayo ushambulia hata na sehemu za macho ambapo Usababisha maumivu na mgonjwa ushindwa kuangalia mwanga.

 

5. Kutapika pamoja na kuzimia 

Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi mgonjwa uweza kutapika na kwa wakati mwingine Mgonjwa uzimia kwa mda na hatimaye uweza kurudia kwenye hali ya kawaida,ila kama mgonjwa anatapika ni vizuri kabisa kumsaidia au kumpa huduma za haraka ili hasiweze kuishiwa na maji kwa wingi na kuleta kitu kingine.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1769

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Sababu za maambukizi kwenye nephoni
Sababu za maambukizi kwenye nephoni

Posti hii inahusu zaidi sababu za maambukizi kwenye nephroni, ni vitu vinavyosababisha mabukizi kwenye nephroni.

Soma Zaidi...
 AINA ZA MINYOO: tapeworm, livefluke, roundworm, hookworm, flatworm
AINA ZA MINYOO: tapeworm, livefluke, roundworm, hookworm, flatworm

AINA ZA MINYOO Minyoo ambao wanaweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu wapo aina nying, lakini hapa nitakueleza aina kuu tatu za minyoo hawa.

Soma Zaidi...
Madhara ya maumivu kwenye nyonga na kiuno.
Madhara ya maumivu kwenye nyonga na kiuno.

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa matibabu kwenye nyonga na kiuno hayatafanyika.

Soma Zaidi...
 DALILI ZA MINYOO: maumivu ya tumbo, kichwa, kuwashwa, kutapika damu, moyo kuumwa, ukuaji hafifu, udhaifu na kuchoka
DALILI ZA MINYOO: maumivu ya tumbo, kichwa, kuwashwa, kutapika damu, moyo kuumwa, ukuaji hafifu, udhaifu na kuchoka

DALILI ZA MINYOO Wakati mwingine ni vigumu sana kujua kama una minyoo, kwani minyoo wanaweza kukaa ndani ya mwili kwa muda mrefu bila ya kuonesha dalili yeyote, ama madhara yeyote.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kujikinga na mafua (common cold)
Jinsi ya kujikinga na mafua (common cold)

Posti hii inazungumzia dalili na namna ya kujikinga tusipate mafua .mafua kwa jina lingine hujulikana Kama baridi ya kawaida (common cold).baridi ya kawaida husababishwa na virusi kwenye pua na hutoa makamasi.

Soma Zaidi...
Dalili za Pua iliyovunjika
Dalili za Pua iliyovunjika

posti hii inahusu dalili za Pua iliyovunjika, pia inaitwa fracture ya pua, ni kuvunjika au kupasuka kwa mfupa katika pua yako

Soma Zaidi...
Kiungulia, dawa yake na namna ya kuzuia kiungulia
Kiungulia, dawa yake na namna ya kuzuia kiungulia

Tambuwa kiungulia, sababu zake, dawa za kiungulia na namna ya kupambana na kiungulia

Soma Zaidi...
Dalilili za tetekwanga
Dalilili za tetekwanga

posti hii inazungumziaTetekuwanga . Tetekwanga(varisela) ni maambukizi ya virusi ambayo husababisha kuwasha, kama vile upele. Tetekuwanga huambukiza sana watu ambao hawajapata ugonjwa huo wala kupewa chanjo dhidi yake. Kabla ya chanjo ya mara kwa mara

Soma Zaidi...
Namna ya kutoa huduma kwa mgonjwa wa Dengue.
Namna ya kutoa huduma kwa mgonjwa wa Dengue.

Posti hii inahusu zaidi huduma anayopaswa kupata mgonjwa wa ndengue, kwa sababu tunafahamu wazi Ugonjwa huu hauna dawa ila kuna huduma muhimu ambayo anaweza kupata na akaendelea vizuri.

Soma Zaidi...