Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa uti wa mgongo, ni ugonjwa unaoshambulia sehemu inayofunika ubongo na pia sehemu ya spinal cord
1. Kuwepo kwa homa kali.
Kwa kawaida homa hii inaweza kuleta madhara makubwa kwa mgonjwa kama matibabu ya kushusha homa hayajafanyika.
2. Shingo kuwa mgumu ambapo kwa kitaalamu huitwa siffnes of the neck, kwa hiyo Mgonjwa anapata shida kugeuza shingo, au akijaribu kugeuza hiyo shingo anaumia kwa sababu ya Maambukizi mishipa huwa imefuta kwa nguvu.
3 maumivu makali ya kichwa.
Kwa sababu Maambukizi yanakuwepo kwenye ubongo na hivyo Maambukizi ya kichwa yanakuwepo kwa kiasi kikubwa kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi, kwa hiyo dawa za maumivu ni lazima ili kuweza kumsaidia mgonjwa.
4 mgonjwa anakuwa anaogopa mwanga.
Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi hata hivyo maumivu hayo ushambulia hata na sehemu za macho ambapo Usababisha maumivu na mgonjwa ushindwa kuangalia mwanga.
5. Kutapika pamoja na kuzimia
Kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi mgonjwa uweza kutapika na kwa wakati mwingine Mgonjwa uzimia kwa mda na hatimaye uweza kurudia kwenye hali ya kawaida,ila kama mgonjwa anatapika ni vizuri kabisa kumsaidia au kumpa huduma za haraka ili hasiweze kuishiwa na maji kwa wingi na kuleta kitu kingine.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwahudumia wenye Maambukizi kwenye mifupa, ni njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuwasaidia wenye Maambukizi kwenye mifupa.
Soma Zaidi...posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi kwenye mfumo wa mkojo ambapo kitaalamu hujulikana Kama UTI(Urinary Tract Infection (UTI)) hufafanuliwa kuwa ni maambukizo ya mfumo wa uzazi ambayo yanahusisha urethra.ΓΒ UTI ni maambukizi ya mfumo wa mkojo, m
Soma Zaidi...KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI Fanya miadi na daktari wako wa kawaida ikiwa una ishara au dalili zinazokupa wasiwasi.
Soma Zaidi...Pindi malaria isipotibiwa inaweza kufanya dalili ziendelee na hatimaye kusababisha kifo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo na sababu zake
Soma Zaidi...Kama unasumbuliwa na presha post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakuoatia ushauri kutokana na swali alilouliza mdau wetu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ni Maambukizi ambayo hutokea kwenye mifupa kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha ugonjwa huu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wale ambao tayari wameshakuwa na tatizo la asidi mwilini, ni njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza tatizo hili au Mgonjwa anapoendelea kupata matibabu.
Soma Zaidi...Post hii itakwena kukufundisha kuhusu historia fupi ya Ukimwi na matibabu yake. Ni wapi wapo hatarini kupata maambukizi na ni kitu gani wafanye?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa sumu mwilini, kwa sababu kuna wakati mwingine tunapata magonjwa na matatizo mbalimbali ya ki afya tunaangaika huku na huko kumbe sababu kubwa ni kuwepo kwa sumu mwilini na vyanzo vya sumu hiyo ni kama ifuatavy
Soma Zaidi...