Fangasi mdomoni ni dalili ya minyoo aina gani


image


Zipo aina nyingi za fantasy ambazo ni rahisi kuathiri binadamu. Wipe ambao haiathiri mdomo, nyayo, shemu za siri na kwenye ngozi.


Swali 

Fangasi mdomoni ni dalili ya minyoo aina gani

Jibu 

Fangasi na minyoo ni wadudu wawili tofauti.  Fangasi wa mdomoni  hawawezi kuwa ni aina ya minyoo. 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Njia za kupunguza ugonjwa wa zinaa
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika Ili kuweza kupunguza kuwepo kwa magonjwa ya zinaa Soma Zaidi...

image Dalili za kasoro ya moyo za kuzaliwa kwa watoto
Ikiwa mtoto wako ana kasoro ya moyo wa kuzaliwa, ina maana kwamba mtoto wako alizaliwa na tatizo katika muundo wa moyo wake. Baadhi ya kasoro za moyo za kuzaliwa kwa watoto ni rahisi na hazihitaji matibabu, kama vile tundu dogo kati ya chemba za moyo ambazo hujifunga yenyewe.Kasoro nyingine za kuzaliwa kwa moyo kwa watoto ni ngumu zaidi na zinaweza kuhitaji upasuaji kadhaa kufanywa kwa muda wa miaka kadhaa. mtoto wako na kasoro ya kuzaliwa ya moyo inaweza kukuacha ukiwa na wasiwasi kuhusu afya ya mtoto wako sasa na wakati ujao.Lakini, kujifunza kuhusu kasoro ya kuzaliwa ya mtoto wako ya moyo kunaweza kukusaidia kuelewa hali hiyo na kujua unachoweza kutarajia katika miezi ijayo na miaka. Soma Zaidi...

image Namna ya kugundua mtu mwenye kaswende.
Post hii inahusu zaidi njia za kumgundua mgonjwa wa kaswende, njia hizi utumika baada ya kuongea na mgonjwa kuhusu maisha yake hasa kujamiiana na watu mbalimbali. Soma Zaidi...

image Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili?
Je vidonda Mara nyingi vitakuwa maeneo gan ya mwili? Hili ni swali lililoulizwa kuhusu vidonda vya tumbo, kuwa vinakaa wapi katika mwili. Soma Zaidi...

image Ujuwe mlo sahihi kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo
Post hii itakwenda kuangalia mlo sahihi wa mwenye vidonda vya tumbo. Hata utajifunza ni vyakula vipi hapaswi kula na vipi ana paswa kula. Soma Zaidi...

image Dalili za kasoro ya moyo ya kuzaliwa kwa watu wazima
Ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa nao (kasoro ya moyo ya kuzaliwa) ni hali isiyo ya kawaida katika muundo wa moyo wako unaozaliwa nao. utu uzima. Ingawa maendeleo ya kimatibabu yameboreshwa, watu wazima wengi walio na ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa wanaweza wasipate uangalizi ufaao wa ufuatiliaji.Iwapo ulikuwa na kasoro ya kuzaliwa iliyorekebishwa ukiwa mtoto mchanga, kuna uwezekano bado unahitaji utunzaji ukiwa mtu mzima.Inapaswa kushauriana na dactari ikiwa kuna uwezekano wa kuwa na matatizo, au ikiwa uko katika hatari kubwa ya matatizo mengine ya moyo kama mtu mzima. Soma Zaidi...

image Sababu ya maumivu ya magoti.
Posti hii inahusu zaidi sababu za maumivu ambayo yanasikika kwenye magoti, huu ni ugonjwa ambao umewapata walio wengi na bado ni kilio kwa walio wengi kwa vijana na kwa wazee, Kuna wataalamu mbalimbali ambao wameweza kugundua sababu za maumivu kwenye magoti kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image YAJUE MARADHI YA KISUKARI
Posti hii itakwenda kuelezea mambo machache kuhusu ugonjwa wa kisukari Soma Zaidi...

image Hatua za kupambana na ugonjwa wa UTI
Posti hii inahusu zaidi hatua au mbinu za kupambana na ugonjwa wa UTI kwa sababu ugonjwa huu umekuwa tishio kubwa kwa sasa kwa hiyo tunapaswa kutumia njia mbalimbali ili kuweza kupambana na Ugonjwa huu. Soma Zaidi...

image Dalili za ugonjwa wa kaswende
Post hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa kaswende kwa wajawazito, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa watu wote, kwa sababu ugonjwa huu una dalili ambazo upitia kwa hatua mbalimbali kama tutakavyoona. Soma Zaidi...