Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu ambao kwa kitaalamu huitwa Dementia ugonjwa huu uwapata wale ambao umri umekwenda lakini kwa wakati mwingine Usababishwa na vitu mbalimbali kama tutakavyoona.
Ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.
1. Kwaza kabisa tunapaswa kujua kuwa ili mtu aje kufikia hatua ya kupoteza kumbukumbu ni lazima seli za kwenye ubongo zinakuwa zimeharibika ndio ufanya ufanya mawasiliano yanakuwa na wasi wasi na kuanza kupoteza kumbukumbu.
2. Msongo wa mawazo nao usababisha kuharibika kwa seli za kwenye ubongo na kusababisha kupoteza kumbukumbu.
3. Unywaji wa pombe kupita kiasi.
Kwa wale ambao wanakunywa pombe kupita kiasi uharibu seli za kwenye ubongo na pia Usababisha kupoteza kumbukumbu kwa hiyo kwa wanywaji wa pombe wanapaswa kuacha ili kupunguza kuharibika kwa seli.
4.matumizi ya dawa bila kuwa na mpangilio.
Kuna wale ambao wanatumia dawa bila kuwa na mpangilio na au ushauri wa daktari kwa hiyo Usababisha kuharibika kwa seli na pia kusababisha kupoteza kumbukumbu.
5.upungufu wa vitamini mwilini.
Kutokana na kutokuwepo kwa vitamini ambavyo ni muhimu kwa ajili ya seli ambazo zipo kwenye ubongo usababisha kuaribika kwa seli na hatimaye kuwepo kwa kupotea kwa kumbukumbu.
6. Matatizo yatokanayo na tezi aina ya thyroid Usababisha kuaribika kwa seli kwenye ubongo na hatimaye kusababisha kupotea kwa kumbukumbu kwa walio wengi.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika post hii utakwend akujifunza kuhusu tatizo la kuwa na vijiwe kwenye ini vijiwe hivi hufahamika kama intrahepatic stones.
Soma Zaidi...Post hii itakwena kukufundisha kuhusu historia fupi ya Ukimwi na matibabu yake. Ni wapi wapo hatarini kupata maambukizi na ni kitu gani wafanye?
Soma Zaidi...joto la mwili wako linapungua, moyo wako, mfumo wa neva na viungo vingine haviwezi kufanya kazi kwa kawaida. Isipopotibiwa, Hypothermia hatimaye inaweza kusababisha moyo wako na mfumo wa upumuaji kushindwa kabisa na hata kifo.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi kwenye figo (pyelonephritis) ni aina mahususi ya maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) ambayo kwa kawaida huanza kwenye urethra au kibofu chako na kusafiri hadi kwenye figo zako.
Soma Zaidi...Malaria ni moja ya magonjwa hatari yanayoongoza katika vifo vya watoto wengi duniani walio chni ya umri wa miaka 5. Katika post hii utakwend akujifunza kuhusuugonjwa huu jinsi unavyotokea, hatuwa zake na dalili zake.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi adhari za ugonjwa wa Homa ya inni, hizi ni athari ambazo zinaweza kutokea ikiwa ugonjwa huu wa inni haujatibiwa, zifuatazo ni athari za ugonjwa wa inni
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu ugonjwa wa uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni madhara yanayotokea kwenye mfumo mzima wa kupitisha mkojo na via vya uzazi kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Hii ni huduma ya kwanza kwa aliyeshambuliwa na pumu katika mazingira ambayo ni mbali na kituo cha afya, na hakuna dawa.
Soma Zaidi...