picha

Ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu ambao kwa kitaalamu huitwa Dementia ugonjwa huu uwapata wale ambao umri umekwenda lakini kwa wakati mwingine Usababishwa na vitu mbalimbali kama tutakavyoona.

Ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.

1. Kwaza kabisa tunapaswa kujua kuwa ili mtu aje kufikia hatua ya kupoteza kumbukumbu ni lazima seli za kwenye ubongo zinakuwa zimeharibika ndio ufanya ufanya mawasiliano yanakuwa na wasi wasi na kuanza kupoteza kumbukumbu.

 

2. Msongo wa mawazo nao usababisha kuharibika kwa seli za kwenye ubongo na kusababisha kupoteza kumbukumbu.

 

3. Unywaji wa pombe kupita kiasi.

Kwa wale ambao wanakunywa pombe kupita kiasi uharibu seli za kwenye ubongo na pia Usababisha kupoteza kumbukumbu kwa hiyo kwa wanywaji wa pombe wanapaswa kuacha ili kupunguza kuharibika kwa seli.

 

4.matumizi ya dawa bila kuwa na mpangilio.

Kuna wale ambao wanatumia dawa bila kuwa na mpangilio na au ushauri wa daktari kwa hiyo Usababisha kuharibika kwa seli na pia kusababisha kupoteza kumbukumbu.

 

5.upungufu wa vitamini mwilini.

Kutokana na kutokuwepo kwa vitamini ambavyo ni muhimu kwa ajili ya seli ambazo zipo kwenye ubongo usababisha kuaribika kwa seli na hatimaye kuwepo kwa kupotea kwa kumbukumbu.

 

6. Matatizo yatokanayo na tezi aina ya thyroid Usababisha kuaribika kwa seli kwenye ubongo na hatimaye kusababisha kupotea kwa kumbukumbu kwa walio wengi.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2164

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 web hosting     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Daliliza shinikizo la Chini la damu.

Shinikizo la chini la damu (hypotension) litaonekana kuwa jambo la kujitahidi. Hata hivyo, kwa watu wengi, shinikizo la chini la damu linaweza kusababisha dalili za Kizunguzungu na kuzirai. Katika hali mbaya, shinikizo la chini la damu linawez

Soma Zaidi...
Dalili za HIV na UKIMWI kwenye Ulimi na Mdomo

Dalili za HIV na UKIMWI kwenye mdomo na ulimi utaziomna hapa. hizi zinaweza kuwa ndio za kwanza kwa ambaye hajapima HIV

Soma Zaidi...
UGONJWA WA HOMA YA VIRUSI VYA ZIKA (ZIKV) VINAVYO SABABISHWA NA KUNG'ATWA NA MBU

Mnamo mwaka 2016 World Health Organization (WHO) iliitisha kikao cha dharura mnamo mwezi tarehe 1 mwezi wa pili mpaka tarehe 13 mwezi wa nne.

Soma Zaidi...
Vijuwe vidonda vya tumbo na madhara yake.

Madonda ya tumbo ni ugonjwa unaotokana na kuwepo kwa vidonda kwenye Koo, tumboni na kwenye utumbo mdogo

Soma Zaidi...
Fahamu aina mbalimbali za Magonjwa nyemelezi ya moyo

Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za Magonjwa ya moyo,kwa kawaida tunajua wazi kuwa kuna moyo mmoja lakini moyo huo unaweza kushambuliwa na magonjwa kwa kila aina kwa mfano kuna Maambukizi kwenye mishipa ya moyo,au kubadilika kwa mapigo ya moyo na m

Soma Zaidi...
Dalili za fangasi kwenye mapafu

Posti hii inaonyesha dalili za fangasi kwenye mapafu.

Soma Zaidi...