Ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu ambao kwa kitaalamu huitwa Dementia ugonjwa huu uwapata wale ambao umri umekwenda lakini kwa wakati mwingine Usababishwa na vitu mbalimbali kama tutakavyoona.
Ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu.
1. Kwaza kabisa tunapaswa kujua kuwa ili mtu aje kufikia hatua ya kupoteza kumbukumbu ni lazima seli za kwenye ubongo zinakuwa zimeharibika ndio ufanya ufanya mawasiliano yanakuwa na wasi wasi na kuanza kupoteza kumbukumbu.
2. Msongo wa mawazo nao usababisha kuharibika kwa seli za kwenye ubongo na kusababisha kupoteza kumbukumbu.
3. Unywaji wa pombe kupita kiasi.
Kwa wale ambao wanakunywa pombe kupita kiasi uharibu seli za kwenye ubongo na pia Usababisha kupoteza kumbukumbu kwa hiyo kwa wanywaji wa pombe wanapaswa kuacha ili kupunguza kuharibika kwa seli.
4.matumizi ya dawa bila kuwa na mpangilio.
Kuna wale ambao wanatumia dawa bila kuwa na mpangilio na au ushauri wa daktari kwa hiyo Usababisha kuharibika kwa seli na pia kusababisha kupoteza kumbukumbu.
5.upungufu wa vitamini mwilini.
Kutokana na kutokuwepo kwa vitamini ambavyo ni muhimu kwa ajili ya seli ambazo zipo kwenye ubongo usababisha kuaribika kwa seli na hatimaye kuwepo kwa kupotea kwa kumbukumbu.
6. Matatizo yatokanayo na tezi aina ya thyroid Usababisha kuaribika kwa seli kwenye ubongo na hatimaye kusababisha kupotea kwa kumbukumbu kwa walio wengi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Madhara ya fangasi.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi za ukeni kwa kawaida tunajua kubwa fangasi zikiingia kwenye uke usababisha madhara mbalimbali ambayo mengine yanaweza ya kudumu na mengine ya mda kama yametibiwa mapema.
Soma Zaidi...ninaisi kma kunakitu kwenye koo alafu kuna ali ya weupe kwenye ulimi na Mashavu kwa ndan
Weupe kwenye ulimi unaweza kuwa ni hali ya kawaida. Weupe huu ukichanganyika na utandu huwenda ikaashiria uwepo wa hali fulani za kiafya.
Soma Zaidi...FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO
FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO Vidonda vya tumbo huja na maoni mengi potofu.
Soma Zaidi...Vyanzo vya sumu mwilini.
Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa sumu mwilini, kwa sababu kuna wakati mwingine tunapata magonjwa na matatizo mbalimbali ya ki afya tunaangaika huku na huko kumbe sababu kubwa ni kuwepo kwa sumu mwilini na vyanzo vya sumu hiyo ni kama ifuatavy
Soma Zaidi...Dalili na ishara za Ugonjwa wa akili.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa akili .
Soma Zaidi...