Dalili za Mgonjwa wa kisukari

Dalili za Mgonjwa wa kisukari

Post hii inahusu dalili za mtu Mwenye ugonjwa wa kisukari, dalili hizi zinaweza kujitokeza Moja kwa Moja mtu akagundua kuwa ana Ugonjwa wa kisukari.zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa kisukari.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

1. Mgonjwa wa kisukari Upata kiu sana.

Hali hii ujitokeza kwa mgonjwa wa kisukari kwa sababu ya kuongezeka kwa kiasi kikubwa Cha sukari mwilini kwa hiyo mgonjwa uhisi kiu kwa sababu ya kupungua kiwango Cha sukari kwenye mwili, kwa sababu homoni ambazo zinahusika na kubadili sukari mwilini zinakuwa hazifanyi kazi kwa hiyo kiasi Cha sukari huwa kingi sana mwilini kwa hiyo mgonjwa uhisi kunywa maji Ili kuweza kupunguza kiasi Cha sukari kilicho mwilini.

 

2. Mgonjwa ukojoa sana.

Mgonjwa mwenye ugonjwa wa kisukari uhisi hali ya kukojoa sana kwa Sababu ya kuwepo kwa sukari nyingi kwenye damu, kwa hiyo mgonjwa unywa maji mengi na kwa sababu ya kunywa sana maji ukojoa sana  kwa sababu ya kuwepo kwa maji mengi mwilini kwa hiyo tunapoona Dali hii ya kukojoa sana ni dalili inayowakumba wagonjwa wa kisukari kwa hiyo mtu akiona dalili hizi hawai sana hospitalini Ili kupima na kuangalia afya.

 

3. Kichefuchefu na kutapika.

Mgonjwa wa kisukari ana Dalili za kuhisi kisukari na kitapika, hali hii inajitokeza kwa sababu ya mwili kutokuwa katika hali ya kawaida, kwa sababu ya kuongezeka kwa kiwango kikubwa Cha sukari mwilini umfanya mgonjwa ajisikie hali ya kichefuchefu na kutapika. Kwa hiyo mgonjwa akihisi dalili kama hizi anapaswa kwenda hospitalini kupima. Ingawa sio kila mgonjwa akisikia hali ya kichefuchefu na kutapika ana sukari hapana kupima ni Jambo la busara na la kuaminika hata kama mtu anatumia dawa anakuwa na uhakikisha.

 

4.Mgonjwa wa kisukari Upata maambukizi kuliko kawaida. Kwa kawaida kitendo Cha homoni kushindwa kubadili sukari ambayo imo ndani ya damu  kwa sababu hiyo maambukizi huwa mengi kuliko kawaida.kwa hiyo mtu Mwenye sukari anapaswa kwenda hospitalini kupima pale anapohisi mabadiliko kwenye mwili.

 

5. Mgonjwa wa kisukari Upata madonda na uchelewa kupona.

Wagonjwa wa kisukari Wana Tabia ya kupata madonda na madonda hayo uchelewa kupona kwa sababu ya kuongezeka kwa kiasi kikubwa Cha sukari kwenye damu hali hii usababisha vidonda au kidonda kinachukua mda kupona

 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1786

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Presha ya kushuka (hypotension) dalili zake na njia ya kukabiliana nayo
Presha ya kushuka (hypotension) dalili zake na njia ya kukabiliana nayo

Presha ya kushuka ama kitaalamu huitwa hypotension, presha ya kushuka ni hatari kwa afya kama ilivyo presha ya kupanda, maana mwili unakosa nguvu kabisa.

Soma Zaidi...
Je fangasi ikikaa kwa muda mrefu bila kutibiwa ina madhara gani?
Je fangasi ikikaa kwa muda mrefu bila kutibiwa ina madhara gani?

Je umeshawaho kujiuliza maswali mengi kihusu fangasi?. Huyu hapa ni mmoja katika waulizaji waliopata kuuliza rundo la maswali haya. Soma post hii kuona nini ameuliza

Soma Zaidi...
Vitu vinavyochochea kuwepo kwa Ugonjwa wa ukimwi.
Vitu vinavyochochea kuwepo kwa Ugonjwa wa ukimwi.

Posti hii inahusu zaidi vitu ambavyo vinasababisha kuongezeka kwa Ukimwi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na baada ya watu kujua Ugonjwa huu na matokeo ila bado ugonjwa unazidi kuongezeka.

Soma Zaidi...
Hatua za Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi.
Hatua za Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi.

Posti hii inahusu zaidi hatua mbalimbali za Ugonjwa wa Ukimwi, kawaida Ugonjwa huu huwa na hatua kuu nne ila kila hatua huwa na sifa zake kwa hiyo tunapaswa kujua hatua za Ugonjwa huu na kujaribu kuzuia maambukizi yasisambae kabisa.

Soma Zaidi...
Magonjwa yanayowashambulia watoto wachanga
Magonjwa yanayowashambulia watoto wachanga

Watoto wachanga ni watoto wenye umri chini ya miaka mitano, watoto hawa hushambulia na maginjwa mara kwa mara na kusababisha ukuaji wao kuwa dunk,

Soma Zaidi...
Ni bakteria gani husababisha ugonjwa wa pumu
Ni bakteria gani husababisha ugonjwa wa pumu

Post hii inakwenda kujibu swali linalosema je ni bakteria aina gani husababisha igonjwa wa pumu.

Soma Zaidi...
Dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo
Dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo

Posti hii inahusu zaidi dalili la jeraha la kawaida kwenye ubongo, jeraha la kawaida utokea kwa sababu mbalimbali kama vile kupata ajali na kugongwa na kitu chochote kichwani,

Soma Zaidi...
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.

Soma Zaidi...
IJUE HOMA YA CHIKUNGUNYA (CHIKV) DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANJO YAKE, NA MBU ANAYESAMBAZA HOMA HII
IJUE HOMA YA CHIKUNGUNYA (CHIKV) DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANJO YAKE, NA MBU ANAYESAMBAZA HOMA HII

Haya ni maradhi ambayo husambazwa kutoka kwa mtu kwenda kwa mtu kwa kupitia mbu.

Soma Zaidi...
Dalili za fangasi uken
Dalili za fangasi uken

Posti hii inahusu zaidi dalili za fangasi uken, hizi ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la fangasi uken.

Soma Zaidi...