Post hii inahusu dalili za mtu Mwenye ugonjwa wa kisukari, dalili hizi zinaweza kujitokeza Moja kwa Moja mtu akagundua kuwa ana Ugonjwa wa kisukari.zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa kisukari.
1. Mgonjwa wa kisukari Upata kiu sana.
Hali hii ujitokeza kwa mgonjwa wa kisukari kwa sababu ya kuongezeka kwa kiasi kikubwa Cha sukari mwilini kwa hiyo mgonjwa uhisi kiu kwa sababu ya kupungua kiwango Cha sukari kwenye mwili, kwa sababu homoni ambazo zinahusika na kubadili sukari mwilini zinakuwa hazifanyi kazi kwa hiyo kiasi Cha sukari huwa kingi sana mwilini kwa hiyo mgonjwa uhisi kunywa maji Ili kuweza kupunguza kiasi Cha sukari kilicho mwilini.
2. Mgonjwa ukojoa sana.
Mgonjwa mwenye ugonjwa wa kisukari uhisi hali ya kukojoa sana kwa Sababu ya kuwepo kwa sukari nyingi kwenye damu, kwa hiyo mgonjwa unywa maji mengi na kwa sababu ya kunywa sana maji ukojoa sana kwa sababu ya kuwepo kwa maji mengi mwilini kwa hiyo tunapoona Dali hii ya kukojoa sana ni dalili inayowakumba wagonjwa wa kisukari kwa hiyo mtu akiona dalili hizi hawai sana hospitalini Ili kupima na kuangalia afya.
3. Kichefuchefu na kutapika.
Mgonjwa wa kisukari ana Dalili za kuhisi kisukari na kitapika, hali hii inajitokeza kwa sababu ya mwili kutokuwa katika hali ya kawaida, kwa sababu ya kuongezeka kwa kiwango kikubwa Cha sukari mwilini umfanya mgonjwa ajisikie hali ya kichefuchefu na kutapika. Kwa hiyo mgonjwa akihisi dalili kama hizi anapaswa kwenda hospitalini kupima. Ingawa sio kila mgonjwa akisikia hali ya kichefuchefu na kutapika ana sukari hapana kupima ni Jambo la busara na la kuaminika hata kama mtu anatumia dawa anakuwa na uhakikisha.
4.Mgonjwa wa kisukari Upata maambukizi kuliko kawaida. Kwa kawaida kitendo Cha homoni kushindwa kubadili sukari ambayo imo ndani ya damu kwa sababu hiyo maambukizi huwa mengi kuliko kawaida.kwa hiyo mtu Mwenye sukari anapaswa kwenda hospitalini kupima pale anapohisi mabadiliko kwenye mwili.
5. Mgonjwa wa kisukari Upata madonda na uchelewa kupona.
Wagonjwa wa kisukari Wana Tabia ya kupata madonda na madonda hayo uchelewa kupona kwa sababu ya kuongezeka kwa kiasi kikubwa Cha sukari kwenye damu hali hii usababisha vidonda au kidonda kinachukua mda kupona
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za fangasi Mdomoni kwa watoto, vijana, watu wazima na mama wanaonyonyeshwa.
Soma Zaidi...Kuharisha ni Hali ya kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisicho na damu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya fikra potofu kuhusu vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia kuaribika kwa figo, hizi ni njia zinazotumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuaribika kwa figo na hasa wale ambao hawajapata tatizo hili wazitumie ili tuone kama tutaweza kupunguza tatizo hili.
Soma Zaidi...Ni muda gani nitaanza kuona dalili za HIV na kilimo kitaonyesha kuwa nimeathirika?
Soma Zaidi...Schizophrenia ni ugonjwa wa akili ambao huathiri jinsi mtu anavyofikiri, kuhisi, na kuamua. Dalili za schizophrenia zinaweza kuwa kama ifuatavyo hapo chini
Soma Zaidi...Upungufu wa maji mwilini hutokea unapotumia au kupoteza Majimaji mengi zaidi ya unayonywa, na mwili wako hauna maji ya kutosha na Majimaji mengine ya kufanya kazi zake za kawaida. Usipochukua nafasi ya Vimiminika vilivyopotea, utapungukiwa na maji.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Njia za kufanya Ili kupunguza maumivu ya tatizo la uti wa mgongo, ni njia unazopaswa kufanya pale unapokuwa na tatizo la uti wa Mgongo.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kusababishwa mgongo wAko au kiuno kwa na maumivu, Mgongo ukiwa na maumivu makali Sana yanaweza kusababishwa shida kubwa ata utakapokaa au ukilala au ukitumia bado maumivu yanakuwepo.
Soma Zaidi...MATATIZO YA CHOO KIDOGO NA FIGOFigo ni kiungo muhimu sana katika uchujaji wa mkojo, na afya ya mfumo wa utoaji taka mwili.
Soma Zaidi...