Dalili za Mgonjwa wa kisukari

Post hii inahusu dalili za mtu Mwenye ugonjwa wa kisukari, dalili hizi zinaweza kujitokeza Moja kwa Moja mtu akagundua kuwa ana Ugonjwa wa kisukari.zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa kisukari.

1. Mgonjwa wa kisukari Upata kiu sana.

Hali hii ujitokeza kwa mgonjwa wa kisukari kwa sababu ya kuongezeka kwa kiasi kikubwa Cha sukari mwilini kwa hiyo mgonjwa uhisi kiu kwa sababu ya kupungua kiwango Cha sukari kwenye mwili, kwa sababu homoni ambazo zinahusika na kubadili sukari mwilini zinakuwa hazifanyi kazi kwa hiyo kiasi Cha sukari huwa kingi sana mwilini kwa hiyo mgonjwa uhisi kunywa maji Ili kuweza kupunguza kiasi Cha sukari kilicho mwilini.

 

2. Mgonjwa ukojoa sana.

Mgonjwa mwenye ugonjwa wa kisukari uhisi hali ya kukojoa sana kwa Sababu ya kuwepo kwa sukari nyingi kwenye damu, kwa hiyo mgonjwa unywa maji mengi na kwa sababu ya kunywa sana maji ukojoa sana  kwa sababu ya kuwepo kwa maji mengi mwilini kwa hiyo tunapoona Dali hii ya kukojoa sana ni dalili inayowakumba wagonjwa wa kisukari kwa hiyo mtu akiona dalili hizi hawai sana hospitalini Ili kupima na kuangalia afya.

 

3. Kichefuchefu na kutapika.

Mgonjwa wa kisukari ana Dalili za kuhisi kisukari na kitapika, hali hii inajitokeza kwa sababu ya mwili kutokuwa katika hali ya kawaida, kwa sababu ya kuongezeka kwa kiwango kikubwa Cha sukari mwilini umfanya mgonjwa ajisikie hali ya kichefuchefu na kutapika. Kwa hiyo mgonjwa akihisi dalili kama hizi anapaswa kwenda hospitalini kupima. Ingawa sio kila mgonjwa akisikia hali ya kichefuchefu na kutapika ana sukari hapana kupima ni Jambo la busara na la kuaminika hata kama mtu anatumia dawa anakuwa na uhakikisha.

 

4.Mgonjwa wa kisukari Upata maambukizi kuliko kawaida. Kwa kawaida kitendo Cha homoni kushindwa kubadili sukari ambayo imo ndani ya damu  kwa sababu hiyo maambukizi huwa mengi kuliko kawaida.kwa hiyo mtu Mwenye sukari anapaswa kwenda hospitalini kupima pale anapohisi mabadiliko kwenye mwili.

 

5. Mgonjwa wa kisukari Upata madonda na uchelewa kupona.

Wagonjwa wa kisukari Wana Tabia ya kupata madonda na madonda hayo uchelewa kupona kwa sababu ya kuongezeka kwa kiasi kikubwa Cha sukari kwenye damu hali hii usababisha vidonda au kidonda kinachukua mda kupona

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1833

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi

Kiufipi posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi

Soma Zaidi...
je Kama utaonekana kupatwa na homa,kichwa,tumbo, kiharisha kwa siku moja( ya kwanza) na vyote kupona siku nyingine (ya pili kupona) pasipo kutumia dawa inaweza kuwa Ni dalili ya ugonjwa wa zinaa ?

Homa ni moka ya dalili inayohusiana na maradhi mengi sana. Unaweza kuwa na homa ikawa pia si maradhi kumbe ni stress tu. Je unasumbuliwa na homa za mara kwamara, Makala hii ni kwa ajili yako

Soma Zaidi...
Ulemavu wa ubongo na mfumo wa fahamu -multiple sclerosis

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dadili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa ulemavu wa ubongo na mfumo wa fahamu ambao kitaalamu hujulikana Kama multiple sclerosis.

Soma Zaidi...
Madhara ya kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu

Post hii inahusu Zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea Kwa mgonjwa mweye usaha kwenye mapafu.

Soma Zaidi...
Sababu za mdomo kuwa mchungu

Hapa utajifunza sababu zinzopelekea mdomo kubadilika ladha na kuwa mchungu, ama mchachu.

Soma Zaidi...
Madhara ya utapia mlo (marasmus)

Utapiamlo Mkali sana (Marasmus) hufafanuliwa kama aina kali ya utapiamlo ambayo ina sifa ya kupoteza. Utapiamlo uliokithiri umeainishwa katika Utapiamlo Mkali sana (SAM) na Utapiamlo Uliokithiri wa Wastani (MAM), kulingana na kiwango cha kupoteza na kuw

Soma Zaidi...
MARADHI YA MOYO

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Aina ya kisukari inayojulikana kama Diabety type 1

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisukari Aina ya kwanza ambapo kwa kitaalamu huitwa Diabetes type 1, ni hali ambayo utokea ambapo mwili ushindwa kutengeneza insulini ambayo uweka sukari kwenye hali ya usawa.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu ugonjwa wa vidonda vya tumbo (Peptic ulcers)

Vidonda vya tumbo ni vidonda vilivyo wazi vinavyotokea kwenye utando wa ndani wa umio, tumbo na sehemu ya juu ya utumbo wako. Dalili ya kawaida ya Peptic ulcer ni maumivu ya tumbo. Vidonda vya tumbo ni pamoja na: Vidonda vya tumbo vinavyotokea ndani

Soma Zaidi...
Sababu kuu za maumivu ya tumbo chini ya kitomvu, Tumbo la ngiri na chango

Makala hii inakwenda kukuletea somo linalozungumzia maumivu ya tumbo chini ya kitomvu, na tumbo la ngiri kwa wanaume, na tumbo la chango kwa wanawake

Soma Zaidi...