Dalili za Mgonjwa wa kisukari

Post hii inahusu dalili za mtu Mwenye ugonjwa wa kisukari, dalili hizi zinaweza kujitokeza Moja kwa Moja mtu akagundua kuwa ana Ugonjwa wa kisukari.zifuatazo ni dalili za ugonjwa wa kisukari.

1. Mgonjwa wa kisukari Upata kiu sana.

Hali hii ujitokeza kwa mgonjwa wa kisukari kwa sababu ya kuongezeka kwa kiasi kikubwa Cha sukari mwilini kwa hiyo mgonjwa uhisi kiu kwa sababu ya kupungua kiwango Cha sukari kwenye mwili, kwa sababu homoni ambazo zinahusika na kubadili sukari mwilini zinakuwa hazifanyi kazi kwa hiyo kiasi Cha sukari huwa kingi sana mwilini kwa hiyo mgonjwa uhisi kunywa maji Ili kuweza kupunguza kiasi Cha sukari kilicho mwilini.

 

2. Mgonjwa ukojoa sana.

Mgonjwa mwenye ugonjwa wa kisukari uhisi hali ya kukojoa sana kwa Sababu ya kuwepo kwa sukari nyingi kwenye damu, kwa hiyo mgonjwa unywa maji mengi na kwa sababu ya kunywa sana maji ukojoa sana  kwa sababu ya kuwepo kwa maji mengi mwilini kwa hiyo tunapoona Dali hii ya kukojoa sana ni dalili inayowakumba wagonjwa wa kisukari kwa hiyo mtu akiona dalili hizi hawai sana hospitalini Ili kupima na kuangalia afya.

 

3. Kichefuchefu na kutapika.

Mgonjwa wa kisukari ana Dalili za kuhisi kisukari na kitapika, hali hii inajitokeza kwa sababu ya mwili kutokuwa katika hali ya kawaida, kwa sababu ya kuongezeka kwa kiwango kikubwa Cha sukari mwilini umfanya mgonjwa ajisikie hali ya kichefuchefu na kutapika. Kwa hiyo mgonjwa akihisi dalili kama hizi anapaswa kwenda hospitalini kupima. Ingawa sio kila mgonjwa akisikia hali ya kichefuchefu na kutapika ana sukari hapana kupima ni Jambo la busara na la kuaminika hata kama mtu anatumia dawa anakuwa na uhakikisha.

 

4.Mgonjwa wa kisukari Upata maambukizi kuliko kawaida. Kwa kawaida kitendo Cha homoni kushindwa kubadili sukari ambayo imo ndani ya damu  kwa sababu hiyo maambukizi huwa mengi kuliko kawaida.kwa hiyo mtu Mwenye sukari anapaswa kwenda hospitalini kupima pale anapohisi mabadiliko kwenye mwili.

 

5. Mgonjwa wa kisukari Upata madonda na uchelewa kupona.

Wagonjwa wa kisukari Wana Tabia ya kupata madonda na madonda hayo uchelewa kupona kwa sababu ya kuongezeka kwa kiasi kikubwa Cha sukari kwenye damu hali hii usababisha vidonda au kidonda kinachukua mda kupona

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1800

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi dalili za mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.

Soma Zaidi...
Uwepo wa asidi nyingi mwilini

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kuwepo kwa asidi nyingi mwilini hali uwasumbua watu wengi na kufikia kiasi cha kusababisha madhara mengine mawilini ikiwamo pamoja na kansa ya koo, ili kujua kama una wingi wa asildi mwilini unapaswa kujua dalili kama ifu

Soma Zaidi...
Dalili za saratani ya koo

Saratani ya Koo inarejelea Vivimbe vya Saratani vinavyotokea kwenye koo lako (koromeo), sanduku la sauti (larynx) au tonsils.

Soma Zaidi...
Je utambuzi wa maambukizi ya ukimwi hupatikana mda gani pale mtu anapoambukizwa

Kuna ukimwi na HIV na kila kimoja kina dalili zake na muda wa kuonyesha hizo dalili.

Soma Zaidi...
WAJUE FANGASI, AINA ZAKE, DALILI ZAKE NA MATIBABU YAKE

Fangasi huweza kuishi na kuathiri maeneo mbalimbali ndani ya mwili.

Soma Zaidi...
Vitu vinavyochochea kuwepo kwa Ugonjwa wa ukimwi.

Posti hii inahusu zaidi vitu ambavyo vinasababisha kuongezeka kwa Ukimwi kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na baada ya watu kujua Ugonjwa huu na matokeo ila bado ugonjwa unazidi kuongezeka.

Soma Zaidi...
NINI SABABU YA VIDONDA VYA TUMBO

NENO LA AWALI Hapa utaweza kujifunza mambo mengi kuhusu vidonda vyatumbo.

Soma Zaidi...
KISUKARI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
JE?WAJUA NJIA SAFI NA KANUNI ZA KUWEKA MWILI WAKO KWENYE AFYA NZURI?

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa usafi katika maisha ya mwanadamu au mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...