Makundi yaliyo katika hatari ya kupata Ugonjwa wa ngiri.

Posti hii inahusu zaidi makundi ambayo yapo katika hatari ya kupata ugonjwa wa ngiri, ni hatari kwa sababu tunajua kuwa ngiri utokea kwa sababu ya kuta au tishu zinazoshikilia viungo fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwepo kwa uwazi na kufanya viun

Makundi yenye hatari ya kupata ngiri.

1. Kundi la kwanza ni mama wajawazito.

Tunajua kuwa akina Mama wajawazito wako katika hatari kubwa kwa sababu tunajua kabisa mwili na viungo vya akina mama vinakuwa vimebeba mzigo ambao una uzito kwa kiwango fulani kwa hiyo ni rahisi kupata ngiri.

 

2. Kundi la pili ni wazee.

Tunajua kuwa mtu mzima au umri ukienda kila kitu kinapungua nguvu kwa hiyo ni rahisi na viungo vya mwili kukosa nguvu na hatimaye kupata tatizo la ngiri.

 

3. Wanaovuta Sana sigara.

Kwa sababu sigara zina tabia ya kudhoofisha mapafu kwa hiyo kwa hiyo baada ya mishipa kukosa nguvu inaweza kulegea na hatimaye ngiri inaweza kutokea.

 

4. Wagonjwa wenye uvimbe tumboni.

Pia na wenye uvimbe wako kwenye hatari ya kupata tatizo hili la ngiri kwa hiyo kama mtu akigundua kuwa ana uvimbe anapaswa kwenda hospitalini mara moja ili kufanyiwa matibabu kabla ya tatizo la ngiri halijatokea.

 

5. Watoto waliozaliwa na uzito mdogo au wale waliozaliwa kabla ya wakati, tunajua wazi kwamba watoto wa namna hiyo kinga yao ni ndogo kwa hiyo ni rahisi sana kushambuliwa na magonjwa mara kwa mara.

 

6.kwa hiyo haya makundi yanapaswa kulindwa sana ili kuweza kuepuka tatizo la ngiri na kuwapatia huduma muhimu ambazo zitaweza kuwasaidia kuepukana na hali hii ya tatizo la ngiri kwa watoto na akundi ambayo yako kwenye hatari ya kupata tatizo hili.

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1289

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO

MWISHO Vidonda vya tumbo vinatibika bila ya shaka.

Soma Zaidi...
Dalili za Ugonjwa wa Ebola.

Virusi vya Ebola ni virusi vinavyohusiana vinavyosababisha Homa za hemorrhagic magonjwa yanayoambatana na kutokwa na damu nyingi (kuvuja damu), viungo kushindwa kufanya kazi na, mara nyingi, kifo. Virusi vya Ebola na virusi huishi kwa wanyama, na wanad

Soma Zaidi...
NJIA YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA VIRUSI VYA VYA UKIMWI NA ATHARI ZAKE

Posti hii inahusisha maambukizi ya virusi vya ukimwi .pia  tutangalia  njia za kujikinga na  ugonjwa wa UKIMWI

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa uchovu sugu.

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa uchovu sugu ni ugonjwa tata unaoonyeshwa na uchovu mwingi ambao hauwezi kuelezewa na hali yoyote ya matibabu. Uchovu unaweza kuwa mbaya zaidi kwa shughuli za kimwili au kiakili, lakini haiboresha kwa kupumzika

Soma Zaidi...
Jinsi ya kujilinda na maradhi ya ini

Hapa nitakueleza namna ambavyounaweza kupunguza hatari ya kupata maradhi ya ini. Kwa njia hizi unaweza kujikina wewe na wengineo na maradhi haya hatari ya ini.

Soma Zaidi...
Njia za kupambana na fangasi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na fangasi

Soma Zaidi...
Vidonda vya tumbo husababishwa na nini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu visababishi vya vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Aina za minyoo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya aina za minyoo

Soma Zaidi...