Posti hii inahusu zaidi makundi ambayo yapo katika hatari ya kupata ugonjwa wa ngiri, ni hatari kwa sababu tunajua kuwa ngiri utokea kwa sababu ya kuta au tishu zinazoshikilia viungo fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwepo kwa uwazi na kufanya viun
Makundi yenye hatari ya kupata ngiri.
1. Kundi la kwanza ni mama wajawazito.
Tunajua kuwa akina Mama wajawazito wako katika hatari kubwa kwa sababu tunajua kabisa mwili na viungo vya akina mama vinakuwa vimebeba mzigo ambao una uzito kwa kiwango fulani kwa hiyo ni rahisi kupata ngiri.
2. Kundi la pili ni wazee.
Tunajua kuwa mtu mzima au umri ukienda kila kitu kinapungua nguvu kwa hiyo ni rahisi na viungo vya mwili kukosa nguvu na hatimaye kupata tatizo la ngiri.
3. Wanaovuta Sana sigara.
Kwa sababu sigara zina tabia ya kudhoofisha mapafu kwa hiyo kwa hiyo baada ya mishipa kukosa nguvu inaweza kulegea na hatimaye ngiri inaweza kutokea.
4. Wagonjwa wenye uvimbe tumboni.
Pia na wenye uvimbe wako kwenye hatari ya kupata tatizo hili la ngiri kwa hiyo kama mtu akigundua kuwa ana uvimbe anapaswa kwenda hospitalini mara moja ili kufanyiwa matibabu kabla ya tatizo la ngiri halijatokea.
5. Watoto waliozaliwa na uzito mdogo au wale waliozaliwa kabla ya wakati, tunajua wazi kwamba watoto wa namna hiyo kinga yao ni ndogo kwa hiyo ni rahisi sana kushambuliwa na magonjwa mara kwa mara.
6.kwa hiyo haya makundi yanapaswa kulindwa sana ili kuweza kuepuka tatizo la ngiri na kuwapatia huduma muhimu ambazo zitaweza kuwasaidia kuepukana na hali hii ya tatizo la ngiri kwa watoto na akundi ambayo yako kwenye hatari ya kupata tatizo hili.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Virusi vya Ebola ni virusi vinavyohusiana vinavyosababisha Homa za hemorrhagic magonjwa yanayoambatana na kutokwa na damu nyingi (kuvuja damu), viungo kushindwa kufanya kazi na, mara nyingi, kifo. Virusi vya Ebola na virusi huishi kwa wanyama, na wanad
Soma Zaidi...Posti hii inahusisha maambukizi ya virusi vya ukimwi .pia tutangalia njia za kujikinga na ugonjwa wa UKIMWI
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa uchovu sugu ni ugonjwa tata unaoonyeshwa na uchovu mwingi ambao hauwezi kuelezewa na hali yoyote ya matibabu. Uchovu unaweza kuwa mbaya zaidi kwa shughuli za kimwili au kiakili, lakini haiboresha kwa kupumzika
Soma Zaidi...Hapa nitakueleza namna ambavyounaweza kupunguza hatari ya kupata maradhi ya ini. Kwa njia hizi unaweza kujikina wewe na wengineo na maradhi haya hatari ya ini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na fangasi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu visababishi vya vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...