Makundi yaliyo katika hatari ya kupata Ugonjwa wa ngiri.

Makundi yaliyo katika hatari ya kupata Ugonjwa wa ngiri.

Posti hii inahusu zaidi makundi ambayo yapo katika hatari ya kupata ugonjwa wa ngiri, ni hatari kwa sababu tunajua kuwa ngiri utokea kwa sababu ya kuta au tishu zinazoshikilia viungo fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwepo kwa uwazi na kufanya viun

Download Post hii hapa

Makundi yenye hatari ya kupata ngiri.

1. Kundi la kwanza ni mama wajawazito.

Tunajua kuwa akina Mama wajawazito wako katika hatari kubwa kwa sababu tunajua kabisa mwili na viungo vya akina mama vinakuwa vimebeba mzigo ambao una uzito kwa kiwango fulani kwa hiyo ni rahisi kupata ngiri.

 

2. Kundi la pili ni wazee.

Tunajua kuwa mtu mzima au umri ukienda kila kitu kinapungua nguvu kwa hiyo ni rahisi na viungo vya mwili kukosa nguvu na hatimaye kupata tatizo la ngiri.

 

3. Wanaovuta Sana sigara.

Kwa sababu sigara zina tabia ya kudhoofisha mapafu kwa hiyo kwa hiyo baada ya mishipa kukosa nguvu inaweza kulegea na hatimaye ngiri inaweza kutokea.

 

4. Wagonjwa wenye uvimbe tumboni.

Pia na wenye uvimbe wako kwenye hatari ya kupata tatizo hili la ngiri kwa hiyo kama mtu akigundua kuwa ana uvimbe anapaswa kwenda hospitalini mara moja ili kufanyiwa matibabu kabla ya tatizo la ngiri halijatokea.

 

5. Watoto waliozaliwa na uzito mdogo au wale waliozaliwa kabla ya wakati, tunajua wazi kwamba watoto wa namna hiyo kinga yao ni ndogo kwa hiyo ni rahisi sana kushambuliwa na magonjwa mara kwa mara.

 

6.kwa hiyo haya makundi yanapaswa kulindwa sana ili kuweza kuepuka tatizo la ngiri na kuwapatia huduma muhimu ambazo zitaweza kuwasaidia kuepukana na hali hii ya tatizo la ngiri kwa watoto na akundi ambayo yako kwenye hatari ya kupata tatizo hili.

 

 

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1232

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Dalilili zinazotokea kwenye mrija wa mkojo
Dalilili zinazotokea kwenye mrija wa mkojo

Mrija wa mkojo hutoa mkojo nje ya mwili lakini mrija huu unapoziba hufanya utoaji wa mkojo kutoka kwa shida au maumivu

Soma Zaidi...
Dalilili za saratani ya utumbo
Dalilili za saratani ya utumbo

Saratani ya Utumbo ni Saratani ya utumbo mpana (koloni), sehemu ya chini ya mfumo wako wa usagaji chakula. Kwa pamoja, mara nyingi hujulikana kama Saratani ya utumbo mpana. Visa vingi vya Saratani ya utumbo mpana huanza

Soma Zaidi...
Ishara na dalilili za Kichaa Cha mbwa
Ishara na dalilili za Kichaa Cha mbwa

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kichaa cha mbwa ni virusi hatari vinavyoenezwa kwa watu kutoka kwa mate ya wanyama walioambukizwa. Virusi vya kichaa cha mbwa kawaida hupitishwa kwa kuuma.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa saikolojia wa kujitenga na watu.
Ugonjwa wa saikolojia wa kujitenga na watu.

Ugonjwa wa kuharibika kwa mwili ni aina ya ugonjwa sugu wa Akili ambao huwezi kuacha kufikiria kuhusu kasoro katika mwonekano wako au ya kuwaziwa. Lakini kwako, mwonekano wako unaonekana kuwa wa aibu sana hivi kwamba hutaki kuonekana na mtu yeyote

Soma Zaidi...
Matibabu kwa mtu mwenye kiungulia
Matibabu kwa mtu mwenye kiungulia

Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mtu mwenye kiungulia,ni tiba ambayo mtu anapaswa kutumia kama ana tatizo la kiungulia

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia Ugonjwa wa kaswende
Namna ya kuzuia Ugonjwa wa kaswende

Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia Ugonjwa wa kaswende, tunajua wazi kuwa Ugonjwa huu unasambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kufanya ngono zembe na njia nyingine kwa hiyo tunaweza kuzuia kusambaa na kuenea kwa ugonjwa huu kwa n

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa moyo.
Ugonjwa wa moyo.

Posti hii inaelezea kuhusiana na mambo hatari yanayosababisha ugonjwa wa moyo.

Soma Zaidi...
Nini sababu ya kuchubuka midomo na kuwa myeupe
Nini sababu ya kuchubuka midomo na kuwa myeupe

Kama una tatizo la midomo kuchubuka na kuwa myeupe ama kuwa na vidonda. Post hii inakwenda kuangalia swala hili.

Soma Zaidi...
Dalili za mtoto Mwenye UTI
Dalili za mtoto Mwenye UTI

Posti hii inahusu zaidi dalili za mtoto Mwenye UTI,ni dalili ambazo uwapata watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano.

Soma Zaidi...
 NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO
NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO

NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO Ili kugundua vidonda, daktari wako anaweza kwanza kuchukua historia ya matibabu na kufanya uchunguzi wa mwili.

Soma Zaidi...