Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa ukoma ni Ugonjwa unaosababishwa na bacteria anayejulika kama mycobacterium leprae.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kwamba Ugonjwa huu unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa kugusana na mtu mwingine au kwa hewa kwa hiyo ni vizuri kuepuka kugusana na watu wenye ukoma na pia kuepukana kugusana na watu wenye ukoma bila sababu na tuwe na tahadhari wakati wa kugusana nao.
2. Kuna Dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza kwa mtu mwenye Ugonjwa wa ukoma kama vile Neva za mwili kushindwa kufanya kazi hali ambayo Usababisha hata vidole vya mikono au miguu kudondoka bila mgonjwa mwenyewe kuwa na taarifa kwa hiyo hali hii upelekea wagonjwa kujitenga na jamii wakijiona kama wana mapungufu na sio kama watu wengine.
3. Pia mgonjwa anahisi mwili wake unawaka moto hasa hasa kwenye sehemu za Maambukizi kwa hiyo mgonjwa uhisi kuwa na hali ya kutotulia kwa sababu ya hali anayoisikia.
4. Kutohisi maumivu kwenye sehemu yenye Maambukizi kwa kuwa hakuna mawasiliano kwenye mwili wa mgonjwa hata sehemu zinazokatika Maumivu yanakuwa hayapo
5. Kutokuwepo kwa maumivu kwenye vidonda,tunaelewa kwamba kama kuna vidonda kwenye sehemu ya mgonjwa mara nyingi Maumivu huwa hayapo hali ambayo uwafanya wagonjwa kutoona umuhimu wa kutibu tatizo lao kwa sababu hata kwenye vidonda hakuna maumivu kwa hiyo vidonda uongezeka hali inayopelekea kuongezeka kwa Maambukizi.
6.Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwapeleka wagonjwa wa ukoma hospitalini ili wapate dawa kwa sababu kuna dawa ambazo utibu huu Ugonjwa na wengi wamepona kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwahi matibabu mapema maana kadri unavyowahi na matibabu huwa ya kawaida.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowSomo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ugonjwa wa UTI
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo yanayoweza kusababishwa mgongo wAko au kiuno kwa na maumivu, Mgongo ukiwa na maumivu makali Sana yanaweza kusababishwa shida kubwa ata utakapokaa au ukilala au ukitumia bado maumivu yanakuwepo.
Soma Zaidi...posti hii inahusu dalili za Pua iliyovunjika, pia inaitwa fracture ya pua, ni kuvunjika au kupasuka kwa mfupa katika pua yako
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma anayopaswa kupata mgonjwa wa ndengue, kwa sababu tunafahamu wazi Ugonjwa huu hauna dawa ila kuna huduma muhimu ambayo anaweza kupata na akaendelea vizuri.
Soma Zaidi...DALILI ZA MINYOO Wakati mwingine ni vigumu sana kujua kama una minyoo, kwani minyoo wanaweza kukaa ndani ya mwili kwa muda mrefu bila ya kuonesha dalili yeyote, ama madhara yeyote.
Soma Zaidi...Mvurugiko katika mfumo wa chakula mwilinivunaweza kusababisha maumivu ya tumbo, kuharisha, kutapika na kuchoka pia. Lakini zipo sababu nyingine kama kuwana ujauzito. Nini ufanye endapo unasumbuliwana hali hii
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kichaa cha mbwa,au kwa kitaalamu huitwa rabies, utokea pale mtu anapongatwa na mnyama ambaye ni jamii ya mtu au mbwa mwenyewe
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye nephroni, ni njia zinazotumika kuzuia maambukizi kwenye nephroni
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dalili za uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ingawa sio watu wote wenye dalili kama hizi Wana uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo Ila zikitokea mtu anapaswa
Soma Zaidi...