Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa ukoma ni Ugonjwa unaosababishwa na bacteria anayejulika kama mycobacterium leprae.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kufahamu kwamba Ugonjwa huu unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa kugusana na mtu mwingine au kwa hewa kwa hiyo ni vizuri kuepuka kugusana na watu wenye ukoma na pia kuepukana kugusana na watu wenye ukoma bila sababu na tuwe na tahadhari wakati wa kugusana nao.
2. Kuna Dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza kwa mtu mwenye Ugonjwa wa ukoma kama vile Neva za mwili kushindwa kufanya kazi hali ambayo Usababisha hata vidole vya mikono au miguu kudondoka bila mgonjwa mwenyewe kuwa na taarifa kwa hiyo hali hii upelekea wagonjwa kujitenga na jamii wakijiona kama wana mapungufu na sio kama watu wengine.
3. Pia mgonjwa anahisi mwili wake unawaka moto hasa hasa kwenye sehemu za Maambukizi kwa hiyo mgonjwa uhisi kuwa na hali ya kutotulia kwa sababu ya hali anayoisikia.
4. Kutohisi maumivu kwenye sehemu yenye Maambukizi kwa kuwa hakuna mawasiliano kwenye mwili wa mgonjwa hata sehemu zinazokatika Maumivu yanakuwa hayapo
5. Kutokuwepo kwa maumivu kwenye vidonda,tunaelewa kwamba kama kuna vidonda kwenye sehemu ya mgonjwa mara nyingi Maumivu huwa hayapo hali ambayo uwafanya wagonjwa kutoona umuhimu wa kutibu tatizo lao kwa sababu hata kwenye vidonda hakuna maumivu kwa hiyo vidonda uongezeka hali inayopelekea kuongezeka kwa Maambukizi.
6.Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwapeleka wagonjwa wa ukoma hospitalini ili wapate dawa kwa sababu kuna dawa ambazo utibu huu Ugonjwa na wengi wamepona kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwahi matibabu mapema maana kadri unavyowahi na matibabu huwa ya kawaida.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi kuhusu kushambuliwa kwa moyo na kupumua, kushambuliwa kwa moyo na kupumua kwa kitaala huitwa (cardiopulmonary Arrest) ni kitendo Cha kusimama ghafla kwa moyo na kupumua.
Soma Zaidi...Katika makala hii utakwenda kuzijuwa baadhi ya dalili za ukimwi ama HIV kwa mwanamke
Soma Zaidi...Hepatitis C ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoshambulia ini na kusababisha kuvimba. Watu wengi walioambukizwa na virusi vya Hepatitis C (HCV) hawana dalili. Kwa kweli, watu wengi hawajui kuwa wana maambukizi ya Hepatitis C hadi uharibifu wa ini
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukupa elimu juu ya vidonda vya tumbo, nini hasa chanzo chake, vipi vinatokea ni zipi dalili zake, ni zipi njia za kujilinda dhidi ya vidonda vya tumbo. Pia tutaangalia matibabu ya kutibi vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu .
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kupambana na kuzuia gonorrhea
Soma Zaidi...Fangasi huweza kuishi na kuathiri maeneo mbalimbali ndani ya mwili.
Soma Zaidi...