Nguzo za Imani, tofauti kati ya sadaqat na zakat (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Na. |
Zakat |
Sadaqat |
1. |
Inahusiana na utoaji wa mali tu. |
Inahusiana na utoaji wa mali na huduma. |
2. |
Ni faradhi (amri) tu kwa tajiri muislamu aliyefikia kiwango cha Nisaab. |
Ni wajibu kwa kila mtu kadri ya uwezo wake pindi inapohitajika. |
3. |
Zakat hutolewa kwa kiwango maalumu (2.5% au 1/40) cha mali inayojuzu kutolewa zaka. |
Sadaqat haina kiwango maalumu. Kila muislamu atatoa kulingana na uwezo wake. |
4. |
Zakat hutolewa baada ya mwaka au mavuno. |
Sadaqat haina muda maalumu wa kutoa. |
5. |
Zakat hustahiki kupewa Waislamu tu. |
Hupewa mtu yeyote bila kujali dini au uwezo wake, bali kila anayehitajia. |
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Uislamu umekataza tabia ya kuombaomba kama ndio njia ya kuendesha maisha. Pia ukaweka suluhisho la kukomesha tabia hiyo
Soma Zaidi...(b) WarumiJamii ya Warumi nayo ni miongoni mwa jamii zinazohesabika kuwa zilianza kustaarabika mapema katika historia ya ulimwengu.
Soma Zaidi...Maana ya elimuElimu ni ujuzi ulioambatanishwa na utendaji.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Kutawadha ni katika ibada muhimu za mwanzo kutakiwa kuzijuwa na ni lazima. Swala yako haitaweza kutimia bila ya kujuwa udhu. Inakupasa kujuwa nguzo za udhu, yanayoharibu udhu na namna ya kutawadha kifasaha. Hapa utajifunza hatuwa za kutawadha
Soma Zaidi...