Nguzo za Imani, tofauti kati ya sadaqat na zakat (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Na. |
Zakat |
Sadaqat |
1. |
Inahusiana na utoaji wa mali tu. |
Inahusiana na utoaji wa mali na huduma. |
2. |
Ni faradhi (amri) tu kwa tajiri muislamu aliyefikia kiwango cha Nisaab. |
Ni wajibu kwa kila mtu kadri ya uwezo wake pindi inapohitajika. |
3. |
Zakat hutolewa kwa kiwango maalumu (2.5% au 1/40) cha mali inayojuzu kutolewa zaka. |
Sadaqat haina kiwango maalumu. Kila muislamu atatoa kulingana na uwezo wake. |
4. |
Zakat hutolewa baada ya mwaka au mavuno. |
Sadaqat haina muda maalumu wa kutoa. |
5. |
Zakat hustahiki kupewa Waislamu tu. |
Hupewa mtu yeyote bila kujali dini au uwezo wake, bali kila anayehitajia. |
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Kuzika Kuzika ni kitendo cha nne cha faradh tunacho lazimika kumfanyia ndugu yetu aliyetutangulia kufa.
Soma Zaidi...Ugawaji wa mirathi-Mume ana nusu (1/2) = 1/2 -Mama ana sudusi.
Soma Zaidi...Ugumba ni รขโฌลugonjwa wa mfumo wa uzazi unaofafanuliwa kwa kushindwa kupata ujauzito baada ya miezi 12 au zaidi ya kujamiiana bila kinga mara kwa mara. Utasaรย kutoweza kwa kiumbe hai kufanya uzazi wa ngono au kutoweza kupata mimba au kuchangia mimba.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza hatuwa kwa hatuwa za kuchaguwa mchumba kulingana na sheria za kiislamu.
Soma Zaidi...Kwenye kipengele hiki tutajifunza maana ya swala ni nin?. Na masharti ya swala.
Soma Zaidi...