Tofauti kati ya zakat na sadaqat
Nguzo za Imani, tofauti kati ya sadaqat na zakat (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Tofauti kati ya Zakat na Sadaqat.
|
Na. |
Zakat |
Sadaqat |
|
1. |
Inahusiana na utoaji wa mali tu. |
Inahusiana na utoaji wa mali na huduma. |
|
2. |
Ni faradhi (amri) tu kwa tajiri muislamu aliyefikia kiwango cha Nisaab. |
Ni wajibu kwa kila mtu kadri ya uwezo wake pindi inapohitajika. |
|
3. |
Zakat hutolewa kwa kiwango maalumu (2.5% au 1/40) cha mali inayojuzu kutolewa zaka. |
Sadaqat haina kiwango maalumu. Kila muislamu atatoa kulingana na uwezo wake. |
|
4. |
Zakat hutolewa baada ya mwaka au mavuno. |
Sadaqat haina muda maalumu wa kutoa. |
|
5. |
Zakat hustahiki kupewa Waislamu tu. |
Hupewa mtu yeyote bila kujali dini au uwezo wake, bali kila anayehitajia. |
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 web hosting 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Jinsi ya kutawadha kama aalivyotawadha Mtume Muhammad (s.a.w)
Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutawadha kama vile ambavyo alitawadha Mtume
Soma Zaidi...Jinsi ya kukaa itiqaf na taratibu zake
Hapa utajifunza kuhusu taratibu za ibada ya itiqaf yaani kukaa msikitini kwa ajili ya ibada.
Soma Zaidi...