Nguzo za Imani, tofauti kati ya sadaqat na zakat (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Na. |
Zakat |
Sadaqat |
1. |
Inahusiana na utoaji wa mali tu. |
Inahusiana na utoaji wa mali na huduma. |
2. |
Ni faradhi (amri) tu kwa tajiri muislamu aliyefikia kiwango cha Nisaab. |
Ni wajibu kwa kila mtu kadri ya uwezo wake pindi inapohitajika. |
3. |
Zakat hutolewa kwa kiwango maalumu (2.5% au 1/40) cha mali inayojuzu kutolewa zaka. |
Sadaqat haina kiwango maalumu. Kila muislamu atatoa kulingana na uwezo wake. |
4. |
Zakat hutolewa baada ya mwaka au mavuno. |
Sadaqat haina muda maalumu wa kutoa. |
5. |
Zakat hustahiki kupewa Waislamu tu. |
Hupewa mtu yeyote bila kujali dini au uwezo wake, bali kila anayehitajia. |
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowPost hii inakwenda kukufundisha jinsi ambavyo mgonjwa anatakiwa aswali kulingana na ugonjwa wake.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Kwa nini ni muhimu kuswali? Post hii itakwenda kukufundisha kuhusu umuhimu wa kusimamisha swala.
Soma Zaidi...Post hii itakujuza maana ya uislamu na nguzo zake.
Soma Zaidi...Nguzo za imani, maana ya sadaqat (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...- Watumwa walikuwa wakikamatwa na kutezwa nguvu bila kujali utu na ubinaadamu wao.
Soma Zaidi...