Umuhimu na msisitizowa zakat na sadaqat katika uislamu
Nguzo za uislamu,umuhimu na msisitizowa zakat na sadaqat katika uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Umuhimu na Msisitizo wa Zakat na Sadakat katika Uislamu.
- Zakat ni nguzo ya tatu ya Uislamu.
- Kutoa zakat na Sadaka ni amri ya Mwenyezi Mungu (s.w).
Rejea Qur’an (14:31) na (2:254).
- Kutoa Zakat ndio kitambulisho cha Uislamu na Ucha-Mungu wa mtu.
Rejea Qur’an (9:11) na (2:2-3).
- Kutoa Zakat na sadaka ni sababu ya mtu kufaulu Duniani na Akhera.
Rejea Qur’an (2:2-3), (23:1-4), (22:34-45) na (2:262,274).
- Kutotoa Zakat na Sadaka ni sababu ya kuangamia mtu Duniani na Akhera.
Rejea Qur’an (9:34-35), (92:8-10) na (3:180).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 web hosting 👉6 kitabu cha Simulizi
👉1 ai web app 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 web hosting 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Nini maana ya ndoa katia uislamu na ni upi umuhimu wake
Hapa utajifunza maana ya ndoa kulingana na uislamu na umuhimu wake katika jamiii
Soma Zaidi...Jinsi ya kuzika maiti wa kiislamu hatuwa kwa hatuwa
Post hii itakufundisha taratibu za kuzika maiti wa kiislamu hatuwa kwa hatuwa.
Soma Zaidi...Taratibu za mahari katika uislamu
Hapa utajifunza taratibu za kutaja mahari katika uislamu.
Soma Zaidi...Utaratibu wa kuzika maiti ya kiislamu, hatua kwa hatua
Kuzika Kuzika ni kitendo cha nne cha faradh tunacho lazimika kumfanyia ndugu yetu aliyetutangulia kufa.
Soma Zaidi...