Umuhimu na msisitizowa zakat na sadaqat katika uislamu
Nguzo za uislamu,umuhimu na msisitizowa zakat na sadaqat katika uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Umuhimu na Msisitizo wa Zakat na Sadakat katika Uislamu.
- Zakat ni nguzo ya tatu ya Uislamu.
- Kutoa zakat na Sadaka ni amri ya Mwenyezi Mungu (s.w).
Rejea Qur’an (14:31) na (2:254).
- Kutoa Zakat ndio kitambulisho cha Uislamu na Ucha-Mungu wa mtu.
Rejea Qur’an (9:11) na (2:2-3).
- Kutoa Zakat na sadaka ni sababu ya mtu kufaulu Duniani na Akhera.
Rejea Qur’an (2:2-3), (23:1-4), (22:34-45) na (2:262,274).
- Kutotoa Zakat na Sadaka ni sababu ya kuangamia mtu Duniani na Akhera.
Rejea Qur’an (9:34-35), (92:8-10) na (3:180).
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Kitau cha Fiqh
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Dhamana ya Kuchunga Ahadi Katika Uislamu
Kuchunga au kutekeleza ahadi ni miongoni mwa vipengele muhimu vya tabia ya muumini wa kweli.
Soma Zaidi...MAANA YA ZAKA NA SADAKA KULUNGA NA KISHERIA PAMOJA NA TOFAUTI ZAO
MAANA YA ZAKA NA SADAKA KULUNGA NA KISHERIA PAMOJA NA TOFAUTI ZAO.
Soma Zaidi...