Umuhimu na msisitizowa zakat na sadaqat katika uislamu
Nguzo za uislamu,umuhimu na msisitizowa zakat na sadaqat katika uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Umuhimu na Msisitizo wa Zakat na Sadakat katika Uislamu.
- Zakat ni nguzo ya tatu ya Uislamu.
- Kutoa zakat na Sadaka ni amri ya Mwenyezi Mungu (s.w).
Rejea Qur’an (14:31) na (2:254).
- Kutoa Zakat ndio kitambulisho cha Uislamu na Ucha-Mungu wa mtu.
Rejea Qur’an (9:11) na (2:2-3).
- Kutoa Zakat na sadaka ni sababu ya mtu kufaulu Duniani na Akhera.
Rejea Qur’an (2:2-3), (23:1-4), (22:34-45) na (2:262,274).
- Kutotoa Zakat na Sadaka ni sababu ya kuangamia mtu Duniani na Akhera.
Rejea Qur’an (9:34-35), (92:8-10) na (3:180).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Swala ya jamaa.
Kipengele hiki tutajifunza kusimamisha swala ya jamaa,swala za ijumaa.
Soma Zaidi...Zijuwe nguzo tano za uislamu na maana zake katika sheria ya uislamu
Hili ni somo letu la kwanza kwenye mtiririko huu wa darsa za fiqh. Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya uislamu na nguzo zake.
Soma Zaidi...Kusimamisha Swala na kuamrisha mema
Swala iliyosimamishwa vilivyo ndiyo nyenzo kuu ya kumtakasa Muislamu na kumpa sifa zinazomuwezesha kustahiki kufanya kazi takatifu ya kusimamisha Uislamu katika jamii.
Soma Zaidi...Tofauti ya uchumi wa kiislamu na uchumi wa kikafiri
Uchumi wa kiislamu unatofautiana sana na uchumi wa kikafiri. Hapa utajifunza tofauti hizo.
Soma Zaidi...