OCR

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

OCR

UWANJA WA TEKNOLOJIA

Sehemu ya tisa

.

                                 JIFUNZE MATUIZI YA OCR KATIKA SIMU YAKO
OCR nifupisho cha optical character recognition. Ni mchakato wa kubadilisha picha ya maandishi au maandishi yaliyoandikwa kwenye picha kuwa maandishi ya kawaida ambayo unaweza ukayahaisha kwengine kama kukopi.
Tokeo la picha la OCR
Yaani kwa mfano umetumiwa picha ambayo ina maandishi na unataka kuyakopi maandishi hayo ukayapest kwengine hivyo mfumo huu unatumia OCR. Kwa mfano katika picha hii hapa tunataka kuchukuwa hayo maneno ili tukayapest kwenye text za kawaida. Au kwa mfano umetumiwa picha iloandikwa ujumbe mzuuri na ukataka kumtumia mtu kwa text za kawaida hivyo hakuna haja ya kusumbuka kuiandika tena kwa vidole vyako hivyo tumia OCR ili uweze kuipest text yako. sasa hebu tuone jinsi ya kufanya mchakato huu...... nitaonesha kwa hatua namna ambavyo tutakavyoibadilisha picha hiyo hapo chini kuwa text za kawaida kwa kutumia simu zetu.


1. Kwa nza unatakiwa uwe na application ya kuweza kubadilisha picha ya maandishi kuwa maandishi. Twende play kisha ukadaunlod application iitwayo TEXT FAIRY (OCR SCANNER)
2. Ifunguwe kisha uchaguwe picha yako unayotaka kuikopi maneno yake angalia video hapo chini.
3. Ikisha aliza kuichakata picha yako itakuletea text utaweza kuzikopi au kuzitengezea PDF. Pia kuna kipengele cha kuchaguwa lunga kulingana na picha yako
Huduma hii pia inapatikana kwa kutumia kompyuta abapo unaweza kubadilisha hard copy zilizoskaniwa na kuzifanya ziwe soft copy.





        

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Teknolojia Main: Jifunze File: Download PDF Views 1268

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Epuka malware (virus,work)ukiwa mtandaoni

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuepuka malware ukiwa mtandaoni

Soma Zaidi...
Kutuma sms ndefu

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
Kujaa kwa memory au hard disc

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vitu vya kufanya endapo memory au hard disk itajaa

Soma Zaidi...
Njia rahisi ya kudownload video YouTube

Posti hii inakwenda kukuelekeza kuhusu njia rahisi ya kudownload video YouTube

Soma Zaidi...
UTUNZAJI WA BETRY YA KIFAA CHAKO

Namna ya kutunza betri yako iweze kudumu kwa muda mrefu

Soma Zaidi...
Kurudisha mafaili na data zilizopotea

Posti hii inakwenda kukupa elimu ya kurudisha mafaili na data zilizopotea

Soma Zaidi...
Matumizi ya OCR katika simu yako

Somo Hili linakuleteq mafunzo ya OCR katika simu yako

Soma Zaidi...
KIPI KINGINE UTAFANYA UKIWA FACEBOOK: matumizi mengine ya facebook

Facebook ni mtandao wa kwanza wa kijamii (social media) unaotembelewa na watu wengi.

Soma Zaidi...
JE NITUMIE SIMU YANGU WAKATI INACHAJI?

Watu wengi wamekuwa wakijiuliza swali hili.

Soma Zaidi...
KULINDA AKAUNT YAKO YA FACEBOOK DHIDI YA WAHALIFU WA KIMTANDAO

Watu wengi wanalalamika kuwa akaunti zao za facebook zimehakiwa, yaani zimeshambuliwa na wahalifu wa kimtandano.

Soma Zaidi...