JE NITUMIE SIMU YANGU WAKATI INACHAJI?

Watu wengi wamekuwa wakijiuliza swali hili.

JE NITUMIE SIMU YANGU WAKATI INACHAJI?

JE NITUMIE SIMU YANGU WAKATI INACHAJI???

Watu wengi wamekuwa wakijiuliza swali hili. Pia kutokana na baadhi ya video vilizoeneaga wakati fulani kuwa mtu alilipuliwa na simu yake kwa sababu alitumia ikiwa INACHAJI.

 

Ukweli ni kwamba kutumia simu wakati inachaji hakuwezi kuifanya iripuke hata kidogo, napia hakuwezi kuuwa betri yako. Mainjinia wa vifaa vya umeme wanatueleza kuwa katika simu kuna kifaa ambacho kinaundwa kama simu umesha jaa na kuizuia isichaji tena, hivyo hakuna madhara ya kuchaji simu hata kwa masaa 10.

 

Jambo la kuzingatia ni joto la betri yako. Wakati unapotumia kifaa chako hakikisha joto la simu yako halipandi kuwa la juu sana. Kwani hili joto ni hatari sana kwa maisha ya betri yako.

 

Ni vyema kama unatumia simu yako aidha ikiwa chaji au haipo chaji pindi joto la betri yako likipanda uipumzishe. Pia hakuna madhara ya kuilaza simu yako kwenye chaji.

 



                   



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 197


Download our Apps
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

CHEMISTRY FOR FORM ONE
Soma Zaidi...

STANDARD FOUR ENGLISH TEST 0010
Soma Zaidi...

Learn Geography
Soma Zaidi...

PARTS OF MICROSCOPE
MICROSCOPE Microscope this is an instrument used for viewing objects which are too small to be seen by our naked eyes. Soma Zaidi...

Subscribe
Ingiza taarifa zako hapo chini uweze kupata Update zetu. Soma Zaidi...

English tenses test 006
Soma Zaidi...

GEOGRAPHY NECTA PAST PAPERS REVIEW PAPERR 01
1. Soma Zaidi...

SAMAKI AINA YA SALMON
2. Soma Zaidi...

NECTA ENGLISH STANDARD SEVEN 2014 (NECTA PAST PAPERS FOR ENGLISH SUBJECT)
Soma Zaidi...

Apps
Soma Zaidi...

Welcome to Online School
Soma Zaidi...

Sustainable Development Goals | United Nations Development Programme
The Sustainable Development Goals (SDGs), otherwise known as the Global Goals, are a universal call to action to end poverty, protect the planet and ensure that all people enjoy peace and prosperity. Soma Zaidi...