Namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni.


image


Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni, ni njia ambazo utumiwa Ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa wa Homa ya inni kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine,


Namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni

1. Kwanza kabisa tunapaswa kupata chanjo ya ugonjwa huu Ili kuweza kupunguza hali ya kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano hii chanjo utolewa Bure kwa hiyo tunapaswa kuhakikisha kuwa kila mtoto anapata chanjo ya Homa ya inni, na kwa watu wazima chanjo hii unatolewa kwenye hospitalini mbalimbali kwa hiyo ni lazima na vizuri kuipata Ili kuepuka matatizo ambayo utokea kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi ya Homa ya inni.

 

2. Kuepuka ngono zembe, 

Hizi ni Aina za ngono ambazo ufanyika bila kutumia kondomu ambapo virus usambaa kutoka kwa mtu Mwenye maambukizi kwenda kwa mwingine ambaye Hana maambukizi na kukua na kuongezeka. Kwa hiyo inabidi kutumia kondomu wakati wa kujamiiana Ili kuzuia hali ya kusambaa kwa Virusi vya Homa ya in kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kusababisha madhara mengine makubwa katika jamii.

 

3. Kuwepo kwa umakini wakati wa kumwongezea mgonjwa damu.

Kabla ya kumwongezea mgonjwa damu kwanza yule anayeitoa damu anapaswa kupima Ili kuona kama ana vimelea vya Homa ya ini kama anavyo hapaswi kumpa mgonjwa damu kwa hiyo anapaswa kupatiwa matibabu kwanza , kwa hiyo damu yoyote inapaswa kupimwa kabla ya kumwongezea mwingine damu kwa hiyo maambukizi yatapumgua kwa kifonya hivyo.

 

4,kuacha kutumia vitu vya ncha kali kwa mtu zaidi ya mmoja kwa Sababu maambukizi yanaweza kusambaa kwa haraka , kwa hiyo jamii inapaswa kujua madhara katika hali zote za  ugonjwa wa Homa ya inni na hatari zake.kwa hiyo kila mtu ajitahudi kutumia vifaa vyake mwenye Ili kuepuka la ihoma ya ugonjwa wa ini.

 

5.Elimu ni muhimu kwa jamii kuhusu ugonjwa huu wa Homa ya ini kwa hiyo viongozi na wataalam wa afya wanapaswa kuhakikisha kuwa watu wote katika jamii wamepewa elimu kuhusu ugonjwa huu wa Homa ya inni kuanzia kwa kujua Dalili zake, namna unavyoenezwa, madhara yake na namna ya kuzuia ugonjwa huu, kwa kufanya  hivyo natumaini ugonjwa huu itapungua katika jamii.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa Soma Zaidi...

image Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walio na majeraha ya macho.
Posti hii inaelezea kuhusiana na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa walio na majeraha ya macho kutokana na aina mbalimbali ya jeraha Soma Zaidi...

image Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na kwikwi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na kwikwi Soma Zaidi...

image Mkojo wa kawaida
Posti hii inahusu zaidi mkojo wa kawaida kwa kila mwanadamu na unavyopaswakuwa, mkojo wa kawaida kwa binadamu huwa na sifa zifuatazo. Soma Zaidi...

image Dalili za mimba yenye uvimbe
Mimba ya tumbo - pia inajulikana kama hydatidiform mole - ni ugumu usiyo na kansa (benign) ambayo hutokea kwenye uterasi. Mimba ya molar huanza wakati yai linaporutubishwa, lakini badala ya mimba ya kawaida, yenye uwezo wa kutokea, plasenta hukua na kuwa wingi wa uvimbe usio wa kawaida. Soma Zaidi...

image Uchunguzi wa kuharisha damu na tiba yake
Posti hii inahusu zaidi uchunguzi wa kuharisha damu na Tiba yake, ni Ugonjwa ambao unaowashambulia sana watoto hasa wenye chini ya umri wa miaka mitano, kwa hiyo huoaugonjwa tunaweza kuutambua na kutibu kwa njia zifuatazo. Soma Zaidi...

image Huduma za msingi kwa mama mjamzito na mtoto.
Posti hii inahusu zaidi huduma muhimu anazopaswa kupewa mama mjamzito wakati akiwa na mimba, wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua yaani ndani ya masaa ishirini na manne, tunajua wazi kuwa Mama akiwa mjamzito anaweza kupata matatizo mbalimbali kwa hiyo anapaswa kupewa huduma muhimu kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Dalili za kuvunjika kwa nyonga
Kuvunjika kwa nyonga ni jeraha kubwa, na matatizo ambayo yanaweza kuhatarisha maisha. Hatari ya kupasuka kwa nyonga huongezeka na umri. Soma Zaidi...

image Zifahamu sofa za seli
Seli ni chembechembe hai ambazo zimo ndani ya mwili wa binadamu na hufanya kazi mbalimbali kwenye mwili, binadamu hawezi kuishi bila seli. Soma Zaidi...

image Fahamu Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa
posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa Maambukizi kwenye mfupa ambao kitaalamu hujulikana Kama Soma Zaidi...