Namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni, ni njia ambazo utumiwa Ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa wa Homa ya inni kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine,

Namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni

1. Kwanza kabisa tunapaswa kupata chanjo ya ugonjwa huu Ili kuweza kupunguza hali ya kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano hii chanjo utolewa Bure kwa hiyo tunapaswa kuhakikisha kuwa kila mtoto anapata chanjo ya Homa ya inni, na kwa watu wazima chanjo hii unatolewa kwenye hospitalini mbalimbali kwa hiyo ni lazima na vizuri kuipata Ili kuepuka matatizo ambayo utokea kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi ya Homa ya inni.

 

2. Kuepuka ngono zembe, 

Hizi ni Aina za ngono ambazo ufanyika bila kutumia kondomu ambapo virus usambaa kutoka kwa mtu Mwenye maambukizi kwenda kwa mwingine ambaye Hana maambukizi na kukua na kuongezeka. Kwa hiyo inabidi kutumia kondomu wakati wa kujamiiana Ili kuzuia hali ya kusambaa kwa Virusi vya Homa ya in kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kusababisha madhara mengine makubwa katika jamii.

 

3. Kuwepo kwa umakini wakati wa kumwongezea mgonjwa damu.

Kabla ya kumwongezea mgonjwa damu kwanza yule anayeitoa damu anapaswa kupima Ili kuona kama ana vimelea vya Homa ya ini kama anavyo hapaswi kumpa mgonjwa damu kwa hiyo anapaswa kupatiwa matibabu kwanza , kwa hiyo damu yoyote inapaswa kupimwa kabla ya kumwongezea mwingine damu kwa hiyo maambukizi yatapumgua kwa kifonya hivyo.

 

4,kuacha kutumia vitu vya ncha kali kwa mtu zaidi ya mmoja kwa Sababu maambukizi yanaweza kusambaa kwa haraka , kwa hiyo jamii inapaswa kujua madhara katika hali zote za  ugonjwa wa Homa ya inni na hatari zake.kwa hiyo kila mtu ajitahudi kutumia vifaa vyake mwenye Ili kuepuka la ihoma ya ugonjwa wa ini.

 

5.Elimu ni muhimu kwa jamii kuhusu ugonjwa huu wa Homa ya ini kwa hiyo viongozi na wataalam wa afya wanapaswa kuhakikisha kuwa watu wote katika jamii wamepewa elimu kuhusu ugonjwa huu wa Homa ya inni kuanzia kwa kujua Dalili zake, namna unavyoenezwa, madhara yake na namna ya kuzuia ugonjwa huu, kwa kufanya  hivyo natumaini ugonjwa huu itapungua katika jamii.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1244

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Mate yanaweza kuambukiza ukimwi

Jibu ni hapana, matehayawezi kuambukiza HIV. Lakini swali unalotakiwa kulijibu je ni kwa nini mate hayaambukizi. Makala hii itakwend akukupa majibu haya

Soma Zaidi...
Matibabu kwa mtu mwenye kiungulia

Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mtu mwenye kiungulia,ni tiba ambayo mtu anapaswa kutumia kama ana tatizo la kiungulia

Soma Zaidi...
Dalili za ukimwi, unavyoenezwa na njia za kujikinga

Ukimwi ni upungufu wa kinga mwilini.unasababishwa na virusi ambavyo hutokea kwa mtu mwingine kwa njia mbalimbali

Soma Zaidi...
Dalilili za homa ya manjano

posti hii inahusu dalili za Homa ya Manjano ni maambukizi ya virusi yanayoenezwa na aina fulani ya mbu. Maambukizi hayo ni ya kawaida zaidi na kuathiri wasafiri na wakazi wa maeneo hayo.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa mshtuko wa sumu.

Ugonjwa wa Mshtuko wa Sumu ni matatizo ya nadra, yanayotishia maisha ya aina fulani za maambukizi ya bakteria. Mara nyingi ugonjwa wa mshtuko wenye sumu hutokana na sumu zinazozalishwa na bakteria.

Soma Zaidi...
Yajuwe maradhi ya PID yaani uvimbe kwenye fupanyonga

Posti inazungumzia Ugonjwa kwenye fupa nyonga ambapo kitaalamu hujulikana Kama {Pelvic inflammatory (PID) ni maambukizi ya viungo vya uzazi vya mwanamke.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa mfumo wa kinga ya mwili inavyoshambulia ini.

Ugonjwa huu hupelekea kuvimba kwenye ini yako ambayo hutokea wakati mfumo wa kinga ya mwili wako unaposhambulia ini lako.

Soma Zaidi...
Sababu za mtu kuwa na mfadhaiko au wasiwasi

Post hii inahusu sababu za mtu kuwa na mfadhaiko na wasiwasi, mfadhaiko ni nguvu fulani anayoisikia ndani mwake kwa sababu ya tukio la kushutushwa linalomfanya afikilie sana,

Soma Zaidi...
Dalili za mtoto Mwenye UTI

Posti hii inahusu zaidi dalili za mtoto Mwenye UTI,ni dalili ambazo uwapata watoto wadogo chini ya umri wa miaka mitano.

Soma Zaidi...