Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni, ni njia ambazo utumiwa Ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa wa Homa ya inni kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine,
Namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni
1. Kwanza kabisa tunapaswa kupata chanjo ya ugonjwa huu Ili kuweza kupunguza hali ya kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano hii chanjo utolewa Bure kwa hiyo tunapaswa kuhakikisha kuwa kila mtoto anapata chanjo ya Homa ya inni, na kwa watu wazima chanjo hii unatolewa kwenye hospitalini mbalimbali kwa hiyo ni lazima na vizuri kuipata Ili kuepuka matatizo ambayo utokea kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi ya Homa ya inni.
2. Kuepuka ngono zembe,
Hizi ni Aina za ngono ambazo ufanyika bila kutumia kondomu ambapo virus usambaa kutoka kwa mtu Mwenye maambukizi kwenda kwa mwingine ambaye Hana maambukizi na kukua na kuongezeka. Kwa hiyo inabidi kutumia kondomu wakati wa kujamiiana Ili kuzuia hali ya kusambaa kwa Virusi vya Homa ya in kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kusababisha madhara mengine makubwa katika jamii.
3. Kuwepo kwa umakini wakati wa kumwongezea mgonjwa damu.
Kabla ya kumwongezea mgonjwa damu kwanza yule anayeitoa damu anapaswa kupima Ili kuona kama ana vimelea vya Homa ya ini kama anavyo hapaswi kumpa mgonjwa damu kwa hiyo anapaswa kupatiwa matibabu kwanza , kwa hiyo damu yoyote inapaswa kupimwa kabla ya kumwongezea mwingine damu kwa hiyo maambukizi yatapumgua kwa kifonya hivyo.
4,kuacha kutumia vitu vya ncha kali kwa mtu zaidi ya mmoja kwa Sababu maambukizi yanaweza kusambaa kwa haraka , kwa hiyo jamii inapaswa kujua madhara katika hali zote za ugonjwa wa Homa ya inni na hatari zake.kwa hiyo kila mtu ajitahudi kutumia vifaa vyake mwenye Ili kuepuka la ihoma ya ugonjwa wa ini.
5.Elimu ni muhimu kwa jamii kuhusu ugonjwa huu wa Homa ya ini kwa hiyo viongozi na wataalam wa afya wanapaswa kuhakikisha kuwa watu wote katika jamii wamepewa elimu kuhusu ugonjwa huu wa Homa ya inni kuanzia kwa kujua Dalili zake, namna unavyoenezwa, madhara yake na namna ya kuzuia ugonjwa huu, kwa kufanya hivyo natumaini ugonjwa huu itapungua katika jamii.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowNi ngumu kujuwa vidonda vya tumbo uhakika wake bila ya kupata vipimo. Unajuwa ni kwa nini, ni kwa sababu maumivu ya tumbo ni dalili ya shida nyingi za kiafya kama ujauzito, mimba, typhod, na shida kwenye unfumo wa chakula.
Soma Zaidi...Kipindupindu ni ugonjwa wa bakteria ambao kawaida huenezwa kupitia maji machafu. Kipindupindu husababisha Kuhara na Upungufu wa maji mwilini.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na hatua za kufata ili kujikinga au kuepuka maradhi ya tumbo.kuna vitu vikikosekana husababisha maumivu ya tumbo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu sababu za mtu kuwa na mfadhaiko na wasiwasi, mfadhaiko ni nguvu fulani anayoisikia ndani mwake kwa sababu ya tukio la kushutushwa linalomfanya afikilie sana,
Soma Zaidi...Mvurugiko katika mfumo wa chakula mwilinivunaweza kusababisha maumivu ya tumbo, kuharisha, kutapika na kuchoka pia. Lakini zipo sababu nyingine kama kuwana ujauzito. Nini ufanye endapo unasumbuliwana hali hii
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu .
Soma Zaidi...Upasuaji ni kundi la ki medical linalohusu kutoa kiungo kisichohitajika kwenye mwili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu magonjwa ya zinaa, ni magonjwa yanayosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kujamiiana pasipo kutumia kinga au kwa lugha nyingine tunaita ngono zembe.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza namna mbalimbali za kujikinga na VVU/UKIMWI
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa upungufu wa Adrenali ni ugonjwa ambao hutokea wakati mwili wako hutoa kiasi cha kutosha cha homoni fulani zinazozalishwa na tezi zako za adrenali. ugonjwa huu hutokea katika makundi yote ya umri na huathiri
Soma Zaidi...