picha

Namna ya kufanya usafi wa sikio

Post hii inahusu zaidi namna ya kufanya usafi wa sikio, sikio ni mojawapo ya ogani ambayo usaidia kusikia,kwa hiyo sikio linapaswa kusafishwa kwa uangalifu kama tutakavyoona hapo chini.

Namna ya kutunza sikio.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa sikio limegawanyika katika sehemu kuu tatu ambapo kuna sehemu ya nje, kuna sehemu ya katikati na sehemu ya ndani kwa hiyo kila sehemu ufanya kazi yake na kila sehemu upaswa kufanyiwa usafi maalumu.

 

2. Sehemu ya nje ndiyo ambayo ukusanya mawimbi ya sauti kwa hiyo tunapaswa kusafisha sehemu hiyo kwa kutumia kitambaa na maji safi na kuhakikisha hiyo sehemu haina vidonda hata kimoja kwa hiyo kila siku tunapopooga tunapaswa kufanyia sehemu hii usafi wa kutosha.

 

3.Sehemu nyingine ni sehemu ya katikati hii ni sehemu ambayo upokea mawimbi ya sauti na kuyabadilisha yakawa kwenye  sauti fulani ambayo baadaye usafilishwa , sehemu hii uwa na wax ambazo uzaliwa kwenye sikio kwa hiyo uweza kutolewa na Pamba na tuepuke kuweka vitu vyenye ncha kali kwenye sehemu hii.

 

4.Sehemu ya tatu ya sikio uitwao sehemu ya ndani ambayo kazi yake ni kusafilisha mawimbi ya sauti na kuyapeleka ili yaweze kutafsiriwa na mtu uweza kusikia na kitendo hiki utumia mda mfupi sana. Na katika sehemu hii huwa kuna uchafu kwa hiyo tunaangalia kwa kutumia tochi na uchafu uligundulika utolewa kwa kifaa maalum cha kusafishia sikio kwa hiyo hatupaswi kutumia vi miti kutolea uchafu sehemu hii mpaka kifaa maalum.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2443

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Kitau cha Fiqh     ๐Ÿ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     ๐Ÿ‘‰3 Dua za Mitume na Manabii     ๐Ÿ‘‰4 kitabu cha Simulizi     ๐Ÿ‘‰5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     ๐Ÿ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Maumivu ya koo na uhusiano wake na tonsils.

โ€‹Maumivu ya koo ni malalamiko ya kawaida ambayo mara nyingi husababishwa na maambukizi ya virusi au bakteria. Hata hivyo, mara nyingi maumivu haya yanahusishwa moja kwa moja na uvimbe wa tonsilsโ€”viungo viwili vidogo vilivyopo nyuma ya koo vyenye jukumu la kusaidia kinga ya mwili dhidi ya vimelea. Makala haya yanafafanua uhusiano kati ya maumivu ya koo na tonsillitis (kuvimba kwa tonsils) na jinsi ya kutofautisha kati ya maambukizi ya kawaida na yale yanayohitaji msaada wa daktari.

Soma Zaidi...
Dalili za saratani ya mapafu

Saratani ya Mapafu ni aina ya Kansa inayoanzia kwenye mapafu. Mapafu yako ni viungo viwili vya sponji kwenye kifua chako ambavyo huchukua oksijeni unapovuta na kutoa kaboni dioksidi unapotoa nje.

Soma Zaidi...
NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO: kuosha mikono, kuwa msafi, kuvaa viatu, maji safi, kuivisha nyama vyema

NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO Kwa kuwa tumekwisha kuona namna ambavyo minyoo huenezwa, hivyo basi ni rahisi sasa kutaja namna ya kubambana na minyoo.

Soma Zaidi...
Dalili za saratani ya ini

Posti hii inahusu zaidi dalili za saratani ya ini, ni baadhi ya Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na kuona kwamba mtu fulani ana saratani ya ini.

Soma Zaidi...
Upungufu wa Vitamini D: Dalili na jinsi ya kuipata.

Vitamini D, inayojulikana kama "vitamini ya jua," ni kirutubisho muhimu ambacho mwili huhitaji ili kudumisha mifupa imara, kuimarisha mfumo wa kinga, na kusaidia kazi za kimsingi za seli. Pamoja na umuhimu wake, upungufu wa vitamini D ni janga la kimya kimya linaloikumba dunia nzima. Makala haya yanaangazia kwa kina dalili za upungufu huu, sababu zake, na njia bora za kuhakikisha unapata viwango sahihi vya kirutubisho hiki ili kudumisha afya bora.

Soma Zaidi...