Namna ya kufanya usafi wa sikio
Post hii inahusu zaidi namna ya kufanya usafi wa sikio, sikio ni mojawapo ya ogani ambayo usaidia kusikia,kwa hiyo sikio linapaswa kusafishwa kwa uangalifu kama tutakavyoona hapo chini.
Namna ya kutunza sikio.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa sikio limegawanyika katika sehemu kuu tatu ambapo kuna sehemu ya nje, kuna sehemu ya katikati na sehemu ya ndani kwa hiyo kila sehemu ufanya kazi yake na kila sehemu upaswa kufanyiwa usafi maalumu.
2. Sehemu ya nje ndiyo ambayo ukusanya mawimbi ya sauti kwa hiyo tunapaswa kusafisha sehemu hiyo kwa kutumia kitambaa na maji safi na kuhakikisha hiyo sehemu haina vidonda hata kimoja kwa hiyo kila siku tunapopooga tunapaswa kufanyia sehemu hii usafi wa kutosha.
3.Sehemu nyingine ni sehemu ya katikati hii ni sehemu ambayo upokea mawimbi ya sauti na kuyabadilisha yakawa kwenye sauti fulani ambayo baadaye usafilishwa , sehemu hii uwa na wax ambazo uzaliwa kwenye sikio kwa hiyo uweza kutolewa na Pamba na tuepuke kuweka vitu vyenye ncha kali kwenye sehemu hii.
4.Sehemu ya tatu ya sikio uitwao sehemu ya ndani ambayo kazi yake ni kusafilisha mawimbi ya sauti na kuyapeleka ili yaweze kutafsiriwa na mtu uweza kusikia na kitendo hiki utumia mda mfupi sana. Na katika sehemu hii huwa kuna uchafu kwa hiyo tunaangalia kwa kutumia tochi na uchafu uligundulika utolewa kwa kifaa maalum cha kusafishia sikio kwa hiyo hatupaswi kutumia vi miti kutolea uchafu sehemu hii mpaka kifaa maalum.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 web hosting π2 Madrasa kiganjani π3 Kitabu cha Afya π4 Simulizi za Hadithi Audio π5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina π6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Watu walio hatarini kupata UTI
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya makunfi ya watu walio hatarini kupata UTI
Soma Zaidi...Dalili za ukomo wa hedhi (Menopause) na jinsi ya kuishi nazo.
Ukomo wa hedhi (Menopause) ni hatua ya kibaolojia ambapo mzunguko wa hedhi wa mwanamke husimama kabisa, ikiashiria mwisho wa uwezo wa uzazi. Hali hii huthibitishwa baada ya mwanamke kupita miezi 12 mfululizo bila kupata hedhi. Ni mchakato wa asili unaosababishwa na kupungua kwa homoni za uzazi (estrogen na progesterone). Ingawa inaweza kuleta changamoto za kimwili na kihisia, mbinu sahihi za kimaisha na matibabu ya ushauri yanaweza kuboresha hali ya maisha kwa kiasi kikubwa.
Soma Zaidi...Nini kinasababisha kizunguzungu?
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za kizunguzungu zinazotekea katika mwili wa binadamu
Soma Zaidi...Dalili zake mtoto mwenye Ugonjwa wa Maambukizi kwenye koo
Pisti hii inahusu zaidi dalili za mtoto mwenye Maambukizi ya ugonjwa wa Dondakoo, tunajua wazi kuwa ugonjwa huu uwashambulia hasa watoto wadogo ambao wako chini ya miaka mitano, kwa hiyo zifuatazo ni baadhi ya Dalili zinazoweza kujitokeza kwa watoto hawa.
Soma Zaidi...Umuhimu wa kliniki na vipimo kwa wajawazito.
Ujauzito ni kipindi cha mabadiliko makubwa ya kimwili, kihisia, na kisaikolojia. Huduma za kliniki kwa wajawazito (Antenatal Care - ANC) ni nguzo muhimu inayohakikisha mama anakuwa na afya njema na mtoto anazaliwa akiwa salama. Makala hii inaangazia kwa nini kila mjamzito anapaswa kuhudhuria kliniki na umuhimu wa vipimo mbalimbali vinavyofanyika katika kipindi hicho.
Soma Zaidi...Dalili za Fangasi Ukeni kwa Mwanamke
βMakala hii inaangazia maambukizi ya fangasi ukeni (vaginal yeast infection), hali inayowapata wanawake wengi katika hatua mbalimbali za maisha. Tutaangalia dalili kuu za utambuzi, sababu zinazochangia maambukizi haya, na ukweli wa kisayansi kuhusu jinsi ya kuyashughulikia.
Soma Zaidi...