Post hii inahusu zaidi namna ya kufanya usafi wa sikio, sikio ni mojawapo ya ogani ambayo usaidia kusikia,kwa hiyo sikio linapaswa kusafishwa kwa uangalifu kama tutakavyoona hapo chini.
Namna ya kutunza sikio.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa sikio limegawanyika katika sehemu kuu tatu ambapo kuna sehemu ya nje, kuna sehemu ya katikati na sehemu ya ndani kwa hiyo kila sehemu ufanya kazi yake na kila sehemu upaswa kufanyiwa usafi maalumu.
2. Sehemu ya nje ndiyo ambayo ukusanya mawimbi ya sauti kwa hiyo tunapaswa kusafisha sehemu hiyo kwa kutumia kitambaa na maji safi na kuhakikisha hiyo sehemu haina vidonda hata kimoja kwa hiyo kila siku tunapopooga tunapaswa kufanyia sehemu hii usafi wa kutosha.
3.Sehemu nyingine ni sehemu ya katikati hii ni sehemu ambayo upokea mawimbi ya sauti na kuyabadilisha yakawa kwenye sauti fulani ambayo baadaye usafilishwa , sehemu hii uwa na wax ambazo uzaliwa kwenye sikio kwa hiyo uweza kutolewa na Pamba na tuepuke kuweka vitu vyenye ncha kali kwenye sehemu hii.
4.Sehemu ya tatu ya sikio uitwao sehemu ya ndani ambayo kazi yake ni kusafilisha mawimbi ya sauti na kuyapeleka ili yaweze kutafsiriwa na mtu uweza kusikia na kitendo hiki utumia mda mfupi sana. Na katika sehemu hii huwa kuna uchafu kwa hiyo tunaangalia kwa kutumia tochi na uchafu uligundulika utolewa kwa kifaa maalum cha kusafishia sikio kwa hiyo hatupaswi kutumia vi miti kutolea uchafu sehemu hii mpaka kifaa maalum.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi mzio na Dalili zake ni Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu mwenye mzio, kuna wakati watu wengine ushindwa kutambua kuwa ni mzio au la, lakini leo tunaenda kujua Dalili za mzio kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi msaada kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa, ni huduma anayopewa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepuka Ugonjwa wa raundi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu sababu za mtu kuwa na mfadhaiko na wasiwasi, mfadhaiko ni nguvu fulani anayoisikia ndani mwake kwa sababu ya tukio la kushutushwa linalomfanya afikilie sana,
Soma Zaidi...Posti hii inshusiana na dalili za anemia ya minyoo
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo
Soma Zaidi...Ijuwe historia ya VVu, Dalili zake, tiba na vipimo vyake pia njia za kueneza VVU na UKIMWI
Soma Zaidi...