Post hii inahusu zaidi namna ya kufanya usafi wa sikio, sikio ni mojawapo ya ogani ambayo usaidia kusikia,kwa hiyo sikio linapaswa kusafishwa kwa uangalifu kama tutakavyoona hapo chini.
Namna ya kutunza sikio.
1.Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa sikio limegawanyika katika sehemu kuu tatu ambapo kuna sehemu ya nje, kuna sehemu ya katikati na sehemu ya ndani kwa hiyo kila sehemu ufanya kazi yake na kila sehemu upaswa kufanyiwa usafi maalumu.
2. Sehemu ya nje ndiyo ambayo ukusanya mawimbi ya sauti kwa hiyo tunapaswa kusafisha sehemu hiyo kwa kutumia kitambaa na maji safi na kuhakikisha hiyo sehemu haina vidonda hata kimoja kwa hiyo kila siku tunapopooga tunapaswa kufanyia sehemu hii usafi wa kutosha.
3.Sehemu nyingine ni sehemu ya katikati hii ni sehemu ambayo upokea mawimbi ya sauti na kuyabadilisha yakawa kwenye sauti fulani ambayo baadaye usafilishwa , sehemu hii uwa na wax ambazo uzaliwa kwenye sikio kwa hiyo uweza kutolewa na Pamba na tuepuke kuweka vitu vyenye ncha kali kwenye sehemu hii.
4.Sehemu ya tatu ya sikio uitwao sehemu ya ndani ambayo kazi yake ni kusafilisha mawimbi ya sauti na kuyapeleka ili yaweze kutafsiriwa na mtu uweza kusikia na kitendo hiki utumia mda mfupi sana. Na katika sehemu hii huwa kuna uchafu kwa hiyo tunaangalia kwa kutumia tochi na uchafu uligundulika utolewa kwa kifaa maalum cha kusafishia sikio kwa hiyo hatupaswi kutumia vi miti kutolea uchafu sehemu hii mpaka kifaa maalum.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 952
Sponsored links
๐1
Kitau cha Fiqh
๐2
kitabu cha Simulizi
๐3
Madrasa kiganjani
๐4
Simulizi za Hadithi Audio
๐5
Kitabu cha Afya
๐6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Sababu za mdomo kuwa mchungu
Hapa utajifunza sababu zinzopelekea mdomo kubadilika ladha na kuwa mchungu, ama mchachu. Soma Zaidi...
Ninashida Kuna mtu anaumwa pressure Kila anap pima Iko juu il mwil aumuumi at kidg n dawa anatumia unawez kunisaidiaj
Kama unasumbuliwa na presha post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakuoatia ushauri kutokana na swali alilouliza mdau wetu. Soma Zaidi...
Watu walio hatarini kupata ugonjwa wa pumu
Kila mtu anaweza kupata ugonjwa wa pumu, hata hivyo kuna ambao wapo hatarini zaidi kupata pumu. Soma Zaidi...
MALARIA INATOKEAJE? (Namna ambavyo malaria inatokea, inaanza na inavyoathiri afya)
Kama tulivyokwisha kuona kuwa malaria inaweza kuambukizwa kwa kung'atwa na mbu aina ya anophelesi. Soma Zaidi...
Dalili za Kiharusi Cha joto la mwili.
Kiharusi cha joto ni hali inayosababishwa na joto la juu la mwili wako, kwa kawaida kama matokeo ya kufichuliwa kwa muda mrefu au bidii ya mwili katika joto la juu. Aina hii mbaya zaidi ya jeraha la joto, kiharusi cha joto kinaweza kutokea ikiwa joto Soma Zaidi...
Dalili za Ugonjwa wa Ebola.
Virusi vya Ebola ni virusi vinavyohusiana vinavyosababisha Homa zaรย hemorrhagic magonjwa yanayoambatana na kutokwa na damu nyingi (kuvuja damu), viungo kushindwa kufanya kazi na, mara nyingi, kifo. Virusi vya Ebola na virusi huishi kwa wanyama, na wanad Soma Zaidi...
Yajuwe maradhi ya PID yaani uvimbe kwenye fupanyonga
Posti inazungumzia Ugonjwa kwenye fupa nyonga ambapo kitaalamu hujulikana Kama {Pelvic inflammatory (PID) ni maambukizi ya viungo vya uzazi vya mwanamke. Soma Zaidi...
Dalili za madhara ya figo
Posti hii inahusu dalili za figo.figo husawazisha maji mwilini pamoja na kuchuja mkojo. Soma Zaidi...
Yajue maambukizi kwenye epididimisi kwa kitaalamu huitwa (Epididymitis)
Post hii inahusu zaidi maambukizi kwenye epididimisi, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye epididimisi na kusababisha matatizo mengi. Soma Zaidi...
Njia za kupambana na kuzuia gonorrhea
Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kupambana na kuzuia gonorrhea Soma Zaidi...