Dalili za tezi dume.

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo anaweza kuzipata mwenye Ugonjwa wa tezi dume, sio Dalili zote mtu anaweza kuzipata kwa sababu dalili kama hizi zinaweza kujitokeza hata kwa magonjwa mengine.

Dalili za tezi dume.

1. Kwanza kabisa Mgonjwa anaweza kupata tatizo la kukojoa mkojo ukiwa pamoja na damu.

Kwa kuwepo kwa Maambukizi ambayo kwa kiasi kikubwa yanakuwa yameshambuliwa sehemu za tezi kwa hiyo mkojo ukitoka unakuwa na damu.

 

2. Pengine uume unashindwa kabisa kusimama au ukisimama ni kwa shida na hauchukui mda mrefu.

Kwa sababu sehemu za mishipa ambayo inakuwa imeshikilia uume ili usimame wakati wa kujamiiana ushambuliwa kwa hiyo inakuwa haina nguvu ya kufanya uume usimame.

 

3. Kuhisi kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku.

Hali hiyo utokea kwa sababu ya sehemu za kibofu na mishipa yake ambayo utumika kuruhusu mkojo kutoka nje huwa imelegea kwa sababu ya kuenea kwa Maambukizi kwenye mfumo wa utunzaji wa mkojo kwa hiyo Mgonjwa ukojoa sana hasa wakati wa usiku kwa sababu usiku kila mfumo unakua umetulia vizuri kabisa.

 

4. Pia wakati wa kukojoa mkojo utoka kwa mtiririko dhaifu.

Kwa sababu ya kuenea kwa Maambukizi na mishipa ya kibofu nayo ulegea kwa hiyo na spidi ya mkojo upungua.

 

5. Kupata maumivu kwenye kibofu cha mkojo na kutilia kwa mkojo baada ya kukojoa .

Kwa hiyo utamkita mtu anahangaika anapokuwa anakojoa na pia kwa wakati mwingine mkojo unaweza kutiririka chini hata kwenye nguo na ukiwa kidogo kidogo.

 

6.Kwa hiyo baada ya kuona dalili kama hizi mtu anapaswa kuwahi hospitalini mara moja ili kuweza kupata matibabu haraka kwa sababu kama shida haijakuwa kubwa walau matibabu yanaweza kusaidia chochote na pia tunapaswa kujua kuwa sio Dalili zote ni za tezi dume ili kuhakikisha ni lazima kwenda hospitalini.

 

 

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1505

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba

Posti hii inahusu zaidi vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba,ni vipimo vya moja kwa moja kutoka maabara na vingine sio vya maabara.

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango kwa akina Mama kuanzia miezi sita baada ya kujifungua mpaka mwaka mmoja

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa mama aliyejifungua kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja.

Soma Zaidi...
Maelekezo muhimu kwa Mama au mlezi wa mtoto mgonjwa

Posti hii inahusu zaidi maelekezo muhimu kwa mama au mlezi wa mtoto mgonjwa. Ni maelekezo muhimu hasa wakati wa kutoa dawa kwa mtoto.

Soma Zaidi...
Tatizo la muingiliano wa majimaji ya Amniotic au seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito.

posti hii inaelezea kuhusiana tatizo la muingiliano wa majimaji ya seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito ambao hujulikana Kama Amniotic Fluid Embolism ni hali adimu lakini mbaya ambayo hutokea wakati Maji ya amniotiki Majimaji ambayo huzunguka mtot

Soma Zaidi...
UUME KUWASHA

Post yetu imebeba mada inayohusiana na wanaume wanaowashwa Uume embu tuone dalili zinazopelekea kuwashwa kwa penis. Uume(penis) ni party ya mwanaume ya sehemu za siri.pia wanaume ambao hawajatahiriwa(unsircumside) kwasababu Ile ngozi ya juu husababishwa k

Soma Zaidi...
Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume

Soma Zaidi...
Mimba iliyotunga nje

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mimba iliyotunga nje na madhara yake kiafya

Soma Zaidi...
je kutokwa na maji mengi wakati wa tendo la ndoa inaashilia nini?

Je kutokwa na maji ukeni ambayo hayana harufu na meupe Hadi kuroanisha chupi, na je kutokwa na maji mengi wakati wa tendo la ndoa inaashilia nini?

Soma Zaidi...
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa wanawake.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kufunga kizazi kwa wanawake.

Soma Zaidi...
Habari, naomba kuulizia, nimadhara gani atayapata mwanamke akitolewa bikra bila kukusudia

Je unawaza nini endapo bikra itatolewa bila wewe kukusudia, je imetolewa kwa njia ya kawaida yaani uume ama ilikuwa ni ajali?

Soma Zaidi...