Posti hii inazungumzia Faida, hasara, na madhara ya Kufunga kizazi kwa Wanaume.
Kufunga kizazi kwa Wanaume
Ni njia ya upasuaji ya kupanga uzazi kwa wanaume ambao wana uhakika kwamba hawataki watoto zaidi. Ni njia ya kudumu ya kuzuia mimba . Ni njia ya upasuaji ambayo inaweza kufanywa katika kliniki kwa utaratibu mzuri wa kuzuia maambukizi.
Taratibu zake
Inahusisha kukata na kufunga kwa epididymis. Chale ndogo hutengenezwa kwenye korodani ya mwanamume na kuziba mirija yote miwili inayotoa mbegu za kiume kutoka kwenye korodani zake. Kwa hiyo mbegu za kiume haziwezi kukutana na yai la mwanamke.
1. Njia ya uzazi wa mpango ya kudumu
2. Hakuna kinachohitajika badala ya njia hii mfano kondomu
3. Hakuna haja ya kubadili vifaa.
1. Matatizo madogo ya muda mfupi ya upasuaji k.m. maumivu
2. Matatizo yasiyo ya kawaida ya upasuaji k.m. Vujadamu.
3. Inahitaji upasuaji mdogo na wafanyikazi waliofunzwa.
4. Operesheni ya kurudi nyuma ni ngumu na ya gharama kubwa
Nani anaweza kutumia njia
1.Mwanaume ambaye hataki kuwa na watoto zaidi.
Ambao hawawezi kutumia njia
-Mwanaume ambaye anaweza kutaka kuwa na watoto zaidi
Mwisho: Hakuna kinga dhidi ya maambukizo ya zinaa pamoja na VVU/UKIMWI
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Matatizo yahusianayo na nguvu za kume na kukosa hamu ya tendo la ndoa kwahuweza kuchangiwa sana na mpangilio mbovu wa vyakula pamoja na saikolojia ya mtu.
Soma Zaidi...Utajifunza sababua zinazopelekea kuhisi maumivu makali ya tumbo baada ya kumaliza tendo la ndoa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo tunaweza kuzitumia ili kuwakinga watoto dhidi ya saratani, kama tulivyotangulia kusema kwamba saratani ya watoto mara nyingi Usababishwa na akina Mama hasa kwa sababu ya mtindo wa maisha wakati wa ujauzito kwa hiyo tun
Soma Zaidi...Jifunze muda ambao mjamzito hatatkiwa kishiriki tendo la ndoa. je kuna madhara kwa mjamzito kushiriki tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua, hili ni tatizo ambalo uwapata akina Mama wengi wanapomaliza kujifungua kwa hiyo tutaweza kuziona sababu zinazosababishwa na tatizo hili.
Soma Zaidi...Kama unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa, suluhisho lako lipo kwenye makala hii
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu uzazi wa mpango, ni imani walizonazo Watu kuhusu matumizi ya uzazi wa mpango.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo anyopaswa kujua akiwa mjamzito. Ni mambo muhimu ya kuzingatia kwa mama akiwa mjamzito.
Soma Zaidi...Hii ni orodha ya dawa ambazo hutumiwa sana na watu kutoka maduka ya dawa lakini sio salama kwa wajawazito.
Soma Zaidi...