Posti hii inazungumzia Faida, hasara, na madhara ya Kufunga kizazi kwa Wanaume.
Kufunga kizazi kwa Wanaume
Ni njia ya upasuaji ya kupanga uzazi kwa wanaume ambao wana uhakika kwamba hawataki watoto zaidi. Ni njia ya kudumu ya kuzuia mimba . Ni njia ya upasuaji ambayo inaweza kufanywa katika kliniki kwa utaratibu mzuri wa kuzuia maambukizi.
Taratibu zake
Inahusisha kukata na kufunga kwa epididymis. Chale ndogo hutengenezwa kwenye korodani ya mwanamume na kuziba mirija yote miwili inayotoa mbegu za kiume kutoka kwenye korodani zake. Kwa hiyo mbegu za kiume haziwezi kukutana na yai la mwanamke.
1. Njia ya uzazi wa mpango ya kudumu
2. Hakuna kinachohitajika badala ya njia hii mfano kondomu
3. Hakuna haja ya kubadili vifaa.
1. Matatizo madogo ya muda mfupi ya upasuaji k.m. maumivu
2. Matatizo yasiyo ya kawaida ya upasuaji k.m. Vujadamu.
3. Inahitaji upasuaji mdogo na wafanyikazi waliofunzwa.
4. Operesheni ya kurudi nyuma ni ngumu na ya gharama kubwa
Nani anaweza kutumia njia
1.Mwanaume ambaye hataki kuwa na watoto zaidi.
Ambao hawawezi kutumia njia
-Mwanaume ambaye anaweza kutaka kuwa na watoto zaidi
Mwisho: Hakuna kinga dhidi ya maambukizo ya zinaa pamoja na VVU/UKIMWI
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post huu inahusu zaidi utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito, ni chakula anachopaswa kutumia na ambavyo hapaswi kutumia kwa Mama mjamzito mzito, kwa sababu Mama mjamzito anapaswa kuwa makini katika matumizi ya chakula ili kuweza kuongeza vitu muhimu mwil
Soma Zaidi...Jifunze namna ya kuthibitisha dalili za ujauzito kuwa ni za kweli. Tambuwa namna ya kupima mimba na muda mujarabu wa kupima
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mwanamke hapaswi kufumbia macho.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama, kwa kawaida uchungu unapaswa kuwa ndani ya masaa Kumi na mawili ila Kuna wakati mwingine uchungu unaweza kuwa zaidi ya masaa Kumi na mawili na kusababisha madhara yasiyo ya kawaida kwa Mama n
Soma Zaidi...Nina swali langu:-je maumivu ya nyonga na tumbo la chini ni dalili ya mimba?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba katika mwezi was kwanza
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito faida na hasara zake
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo ambayo mama mjamzito anatakiwa kuzingatia katika kipindi Cha ujauzito au mimba
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Ute ambao umo kwenye uke, Ute huu utofautiana kulingana na hali ya mama aliyonayo, kama mama ana mimba uke utakuwa tofauti na yule ambaye hana mimba au kama Ute una una magonjwa na hivyo utakuwa tofauti.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi nguzo kuu za umama katika umri wa kujifungua na kulea watoto, ni kipindi ambacho mama anakuwa analea watoto kwa kawaida kadri ya makadirio kipindi hiki uanza kati ya miaka kumi na mitano mpaka arobaini kwa walio wengi na kinaweza k
Soma Zaidi...