Posti hii inazungumzia Faida, hasara, na madhara ya Kufunga kizazi kwa Wanaume.
Kufunga kizazi kwa Wanaume
Ni njia ya upasuaji ya kupanga uzazi kwa wanaume ambao wana uhakika kwamba hawataki watoto zaidi. Ni njia ya kudumu ya kuzuia mimba . Ni njia ya upasuaji ambayo inaweza kufanywa katika kliniki kwa utaratibu mzuri wa kuzuia maambukizi.
Taratibu zake
Inahusisha kukata na kufunga kwa epididymis. Chale ndogo hutengenezwa kwenye korodani ya mwanamume na kuziba mirija yote miwili inayotoa mbegu za kiume kutoka kwenye korodani zake. Kwa hiyo mbegu za kiume haziwezi kukutana na yai la mwanamke.
1. Njia ya uzazi wa mpango ya kudumu
2. Hakuna kinachohitajika badala ya njia hii mfano kondomu
3. Hakuna haja ya kubadili vifaa.
1. Matatizo madogo ya muda mfupi ya upasuaji k.m. maumivu
2. Matatizo yasiyo ya kawaida ya upasuaji k.m. Vujadamu.
3. Inahitaji upasuaji mdogo na wafanyikazi waliofunzwa.
4. Operesheni ya kurudi nyuma ni ngumu na ya gharama kubwa
Nani anaweza kutumia njia
1.Mwanaume ambaye hataki kuwa na watoto zaidi.
Ambao hawawezi kutumia njia
-Mwanaume ambaye anaweza kutaka kuwa na watoto zaidi
Mwisho: Hakuna kinga dhidi ya maambukizo ya zinaa pamoja na VVU/UKIMWI
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni hii ya cortisol,hii ni homoni ambayo utokana na tezi glang(adrenal gland) kufanya kazi kupitiliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu, yaani wale watu ambao mda mwingi huwa wenye
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ujauzito baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Je unasumbuliwa na Majimaji kwenye uume. Je unapata miwasho, ama maumivu wakati wakukojoa.
Soma Zaidi...Kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume kunamaanisha kuwa Majimaji (shahawa) unayotoa wakati wa kufika kileleni huwa na mbegu chache kuliko kawaida. Hesabu yako ya manii inachukuliwa kuwa chini kuliko kawaida ikiwa una chini ya mbegu milioni 15. Kuwa na idad
Soma Zaidi...Mama mjamzito anaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka siku ya kujifungua Kama mume wake pamoja na yeye akiwa Hana maambukizi ya zinaa na Kama akiona dalili zozote zile za hatari ndio hataruhusiwa kushiriki tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa watoto, sio akina Mama peke yao wanaofaidika na uzazi wa mpango vile vile na watoto wanafaidika na uzazi wa mpango kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza uke, tunajua wazi kuna magonjwa mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo uke hautaweza kutunzwa vizuri na pia uke ukitunzwa vizuri kuna faida ya kuepuka maradhi ya wanawake kwa njia ya kutunza uke.
Soma Zaidi...Abali mkuu Nina mdogo wangu anawashwa Sana sehemu ya Siri mpaka anatoka vipele vingi kwenye mapaja korodani zake zimebadilika kuwa nyekundu na zenye kutisha uume wake nao umekuwa unakama mabaka umebabuka aisee nime angaika Sana kumtibia mpaka nakata tamaa
Soma Zaidi...