Posti hii inahusu zaidi njia ambazo mtu anapaswa kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili kisiweze kutokea na pia kama jamii ikishirikiana kwa pamoja tunaweza kuepusha kwa kufanya yafuatayo.
Njia za kufanya ili kuweza kuepuka tatizo la kutokwa na majimaji kwenye sehemu za siri.
1.Kwanza kabisa dalili yake kuu inaweza kujitokeza kwa sababu mtu akiona maji maji yanatoka anakuwa ameshafahamu kwa hiyo kitu cha kwanza ni kutambua Dalili na hatimaye kuifanyia kazi.
2. Vile vile chanzo kitu ni magonjwa ya zinaa tunapaswa kuwa waaminifu kwenye ndoa kwa walio tayari na ndoa zao pia kwa vijana na wanaopenda kujamiiana daima epukana na ngono zembe labda kama mtu umempima ndio unaweza kuniambia kwa sababu siku hizi Magonjwa ya zinaa ni mengi na yanaleta madhara kama vile kansa ya vizazi na ugumba hasa hasa kama hayatatibiwa mapema.
3.Tunashauliwa kutumia dawa pale unapogundua juwa kuna Magonjwa ya zinaa na ni lazima kutumia dawa kwa wapenzi wote ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuendelea kuleta madhara zaidi.
4. Pia tunapaswa kwenda kuangalia afya zetu mara kwa mara ili kuweza kuepuka kuendelea kuwepo kwa Maambukizi mapya kwa kila siku kwa kutumia tabia hii ya kuangalia afya tutaweza kuokoa wengi na kupunguza Athari zitokanazo na Ugonjwa huu.
5.Vile vile jamii nzima inapaswa kupewa elimu kuhy kuwepo kwa Maambukizi kwenye sehemu za siri na kujua cha kufanya baada ya kuona dalili hizi kwa sababu kuna wengine wakiona wanaficha ili kuweza kutopata aibu kwa hiyo elimu ni ya lazima kwa jamii.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo utakuwa na dalili za mimba lakini kila ukipima hakuna mimba.
Soma Zaidi...Habari DoktaNikuulize kituu?
Soma Zaidi...Hii ni hali inayowapata wanaume kushindwa kuhimili tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Maambukizi ya fangasi katika sehemu za Siri za mwanamke husababishwa na fangasi wanaoitwa CANDIDA ALBICANS pia maambukizi haya hujulikana kama YEAST INFECTION. Pia hupatikana katika midomo, mpira wa kupitisha chakula,kibofu Cha mkojo ,uume na uke.
Soma Zaidi...Kondo la nyuma ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamziti,kondo la nyuma husaidia katika kazi mbalimbali katika ukuaji wa mtoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na mathara yanayosababisha Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke
Soma Zaidi...