Posti hii inahusu zaidi njia ambazo mtu anapaswa kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili kisiweze kutokea na pia kama jamii ikishirikiana kwa pamoja tunaweza kuepusha kwa kufanya yafuatayo.
Njia za kufanya ili kuweza kuepuka tatizo la kutokwa na majimaji kwenye sehemu za siri.
1.Kwanza kabisa dalili yake kuu inaweza kujitokeza kwa sababu mtu akiona maji maji yanatoka anakuwa ameshafahamu kwa hiyo kitu cha kwanza ni kutambua Dalili na hatimaye kuifanyia kazi.
2. Vile vile chanzo kitu ni magonjwa ya zinaa tunapaswa kuwa waaminifu kwenye ndoa kwa walio tayari na ndoa zao pia kwa vijana na wanaopenda kujamiiana daima epukana na ngono zembe labda kama mtu umempima ndio unaweza kuniambia kwa sababu siku hizi Magonjwa ya zinaa ni mengi na yanaleta madhara kama vile kansa ya vizazi na ugumba hasa hasa kama hayatatibiwa mapema.
3.Tunashauliwa kutumia dawa pale unapogundua juwa kuna Magonjwa ya zinaa na ni lazima kutumia dawa kwa wapenzi wote ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuendelea kuleta madhara zaidi.
4. Pia tunapaswa kwenda kuangalia afya zetu mara kwa mara ili kuweza kuepuka kuendelea kuwepo kwa Maambukizi mapya kwa kila siku kwa kutumia tabia hii ya kuangalia afya tutaweza kuokoa wengi na kupunguza Athari zitokanazo na Ugonjwa huu.
5.Vile vile jamii nzima inapaswa kupewa elimu kuhy kuwepo kwa Maambukizi kwenye sehemu za siri na kujua cha kufanya baada ya kuona dalili hizi kwa sababu kuna wengine wakiona wanaficha ili kuweza kutopata aibu kwa hiyo elimu ni ya lazima kwa jamii.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba,ni vipimo vya moja kwa moja kutoka maabara na vingine sio vya maabara.
Soma Zaidi... Posti hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa ovari kunakosababishwa na maambukizo ya bakteria na kawaida huweza kusababishwa na magonjwa sugu katika Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke.
Soma Zaidi...Unataka kujuwa sababu za mjamzito kutokwa na damu, utelezi ama majimaji kwenye uke wake. Na dalili gani zinaashiriwa na majimaji haya
Soma Zaidi...Miongoni mwa changamoto za ujauzito ni maumivu ya tumbo. Maumivu haya yanawezakuwaya kawaida ama makali zaidi. Vyema kufika Kituo cha Afya endapoyatakuwa makali.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni hii ya cortisol,hii ni homoni ambayo utokana na tezi glang(adrenal gland) kufanya kazi kupitiliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa mda mrefu, yaani wale watu ambao mda mwingi huwa wenye
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Habari DoktaNikuulize kituu?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na zikaonesha kwamba mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Madara ya kutomsaidia mama anayetokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.
Soma Zaidi...