Menu



Njia za kufanya ili kuepukana na tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo mtu anapaswa kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili kisiweze kutokea na pia kama jamii ikishirikiana kwa pamoja tunaweza kuepusha kwa kufanya yafuatayo.

Njia za kufanya ili kuweza kuepuka tatizo la kutokwa na majimaji kwenye sehemu za siri.

1.Kwanza kabisa dalili yake kuu inaweza kujitokeza kwa sababu mtu akiona maji maji yanatoka anakuwa ameshafahamu kwa hiyo kitu cha kwanza ni kutambua Dalili na hatimaye kuifanyia kazi.

 

2. Vile vile chanzo kitu ni magonjwa ya zinaa tunapaswa kuwa waaminifu kwenye ndoa kwa walio tayari na ndoa zao pia kwa vijana na wanaopenda kujamiiana daima epukana na ngono zembe labda kama mtu umempima ndio unaweza kuniambia kwa sababu siku hizi Magonjwa ya zinaa ni mengi na yanaleta madhara kama vile kansa ya vizazi na ugumba hasa hasa kama hayatatibiwa mapema.

 

3.Tunashauliwa kutumia dawa pale unapogundua juwa kuna Magonjwa ya zinaa na ni lazima kutumia dawa kwa wapenzi wote ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuendelea kuleta madhara zaidi.

 

4. Pia tunapaswa kwenda kuangalia afya zetu mara kwa mara ili kuweza kuepuka kuendelea kuwepo kwa Maambukizi mapya kwa kila siku kwa kutumia tabia hii ya kuangalia afya tutaweza kuokoa wengi na kupunguza Athari zitokanazo na Ugonjwa huu.

 

5.Vile vile jamii nzima inapaswa kupewa elimu kuhy kuwepo kwa Maambukizi kwenye sehemu za siri na kujua cha kufanya baada ya kuona dalili hizi kwa sababu kuna wengine wakiona wanaficha ili kuweza kutopata aibu kwa hiyo elimu ni ya lazima kwa jamii.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Je umeipenda post hii ?

Ndio            Hapana            Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1148

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Changamoto za ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu changamoto za ujauzito na dalili zake endelevu

Soma Zaidi...
Mabadiliko kwenye tumbo la uzazi wa Mama anapobeba Mimba.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye tumbo la uzazi la Mama pindi anapobeba mimba, ni mabadiliko yanayotokea kwa mwanamke anapobeba mimba kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Imani potofu kuhusu uzazi wa mpango

Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu uzazi wa mpango, ni imani walizonazo Watu kuhusu matumizi ya uzazi wa mpango.

Soma Zaidi...
Sababu za mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mwanamke kukosa tendo la ndoa, ni sababu ambazo uwakuta wanawake wengi unakuta mama yuko kwenye ndoa ila hana hata hamu ya lile tendo la ndoa hali ambayo umfanya mwanamke kuona kitendo cha tendo la ndoa ni unyanyasaji au

Soma Zaidi...
Mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama ananyonyesha

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha

Soma Zaidi...
Uume ukiwa unaingia na ukiwa ndani nahic maumivu Kama uke unawaka Moto tafadhali nishauri

Je unasumbuliwa namaumivi wakati wa nlishiriki tendo la ndoa ama baada. Huwenda post hii ikakusaidia.

Soma Zaidi...
Sababu za mimba ya miezi 4-6 kutoka.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa uzazi wa mpango

Uzazi wa mpango ni njia inayotumiwa na WA awake na wasichana Ili kupata idadi ya watoto wanaowahitaji na kuepuka mimba zisizotarajiwa.

Soma Zaidi...