Home Afya Shule ICT Burudani Dini Maktaba Maswali Madrasa Apps Blog Legacy Login

NJIA ZA KUFANYA ILI KUEPUKANA NA TATIZO LA KUTOKWA NA MAJIMAJI KWENYE UUME


image


Posti hii inahusu zaidi njia ambazo mtu anapaswa kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili kisiweze kutokea na pia kama jamii ikishirikiana kwa pamoja tunaweza kuepusha kwa kufanya yafuatayo.


Njia za kufanya ili kuweza kuepuka tatizo la kutokwa na majimaji kwenye sehemu za siri.

1.Kwanza kabisa dalili yake kuu inaweza kujitokeza kwa sababu mtu akiona maji maji yanatoka anakuwa ameshafahamu kwa hiyo kitu cha kwanza ni kutambua Dalili na hatimaye kuifanyia kazi.

 

2. Vile vile chanzo kitu ni magonjwa ya zinaa tunapaswa kuwa waaminifu kwenye ndoa kwa walio tayari na ndoa zao pia kwa vijana na wanaopenda kujamiiana daima epukana na ngono zembe labda kama mtu umempima ndio unaweza kuniambia kwa sababu siku hizi Magonjwa ya zinaa ni mengi na yanaleta madhara kama vile kansa ya vizazi na ugumba hasa hasa kama hayatatibiwa mapema.

 

3.Tunashauliwa kutumia dawa pale unapogundua juwa kuna Magonjwa ya zinaa na ni lazima kutumia dawa kwa wapenzi wote ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuendelea kuleta madhara zaidi.

 

4. Pia tunapaswa kwenda kuangalia afya zetu mara kwa mara ili kuweza kuepuka kuendelea kuwepo kwa Maambukizi mapya kwa kila siku kwa kutumia tabia hii ya kuangalia afya tutaweza kuokoa wengi na kupunguza Athari zitokanazo na Ugonjwa huu.

 

5.Vile vile jamii nzima inapaswa kupewa elimu kuhy kuwepo kwa Maambukizi kwenye sehemu za siri na kujua cha kufanya baada ya kuona dalili hizi kwa sababu kuna wengine wakiona wanaficha ili kuweza kutopata aibu kwa hiyo elimu ni ya lazima kwa jamii.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    2 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    3 ICT       ðŸ‘‰    4 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    5 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    6 Madrasa kiganjani    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS

Imeandikwa na Salvertory Tags AFYA , Afya , ALL , Tarehe 2022/03/09/Wednesday - 12:00:12 pm     Share On facebook or WhatsApp Topic school Zaidi Dini AFYA ICT Burudani Tags Uzazi maswali Afya mengineyo dini HIV Sira vyakula Matunda HTML php Alif Lela 1 Alif Lela 2 FANGASI Dawa SQL Tips Quran Sunnah fiqh DARSA Magonjwa Tajwid tawhid simulizi Dua Academy Wahenga chemshabongo WAJUWA Michezo ICT Imesomwa mara 481



Post Nyingine


image Dalili za Homa ya uti wa mgongo (meningitis)
Posti hii inahusu zaidi dalili za Homa ya uti wa mgongo, ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye maambukizi kwenye uti wa mgongo. Soma Zaidi...

image Faida za minyoo
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za minyoo Soma Zaidi...

image Kumuamini mwenyezi Mungu..
Nguzo za Imani (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri
Post hii inahusu zaidi tiba na huduma kwa wenye ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri. Soma Zaidi...

image Ukiwa unalima sana unaweza kukonda
Unadhanivkufanya kazi kunaweza kukusababishia maradhi ama mwili kudhoofu, ama kukonda. Umeshawahivkujiuliza wanao nenepa huwa hawafanyi kazi? Soma Zaidi...

image Mbinu za kupunguza Magonjwa ya kuambukiza.
Posti hii inahusu zaidi mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza kiwango cha kuwepo kwa magonjwa ya kuambukiza, kwa hiyo zifuatazo ni mbinu ambazo zinapaswa kutumika ili kupunguza kiwango cha magonjwa ya kuambukiza. Soma Zaidi...

image Sababu za maumivu ya tumbo kitovuni
Somo hili linakwenda kukuletea sababu za maumivu ya tumbo kitovu i Soma Zaidi...

image Mambo yanayosababisha kuharisha
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisichokuwa na damu Soma Zaidi...

image Aina za vidonda.
Posti hii inahusu zaidi aina kuu za vidonda,kuna aina kuu tatu za vidonda ambapo kila aina utumiwa kwa njia yake kama tutakavyoona hapo chini. Soma Zaidi...

image Njia za kuzuia ugumba
Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia ugumba, ni njia ambazo utumiwa na wapenzi ambao wameshindwa kupata watoto hasa kwa wale ambao wamezaliwa wakiwa na uwezo wa kupata watoto lakini kwa sababu tofauti tofauti wanashindwa kupata watoto kwa hiyo njia zifuatazo zinaweza kuwasaidia. Soma Zaidi...