Maswali juu ya Sunnah na hadithi

Maswali juu ya Sunnah na hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Zoezi la 7.

  1. Bainisha madai ya wapinzani wa Hadith juu ya kupinga kwao Hadith na udhaifu hoja hizo.
  2. Kwa kutumia ushahidi wa Hadith, onesha hatua (daraja) za kuondosha uovu katika mazingira ya jamii yako.
  3. Kwa nini Hadith ndio chem. chem. pekee ya sheria baada ya Qur’an?

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu Rajabu
Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Sunnah Main: Post File: Download PDF
Views: 3395

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 ai web app     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

NAFASI YA SUNNAH KATIKA UISLAMU

Nafasi ya Sunnah katika UislamuMtume Muhammad (s.

Soma Zaidi...