Menu



DUA 41 - 50

41.

DUA 41 - 50


41..Dua ya kusema unapoanza kula Unapoanza kula hunabudi kusema: “Bismillaahi" “Kwa jina la Allah" Na ukisahau kusema hivyo wakati wa kuanza, ukikumbuka wakati unaendelea kula sema: “Bismillahi fiy awwalihi wa-aakhirihi" “Kwa jina la Allah katika mwanzo wake na mwisho wake" 24.Dua ya kushukuru baada ya kula “Al-hamdulillahilladhii atw-a'maniy hadhaa warazaqaniyhi min ghayri hawlin minniy walaa quwwatin" “Shukurani zote anastahiki Allah ambaye amenilisha chakula hiki bila ya uwezo wala nguvu yoyote kutoka kwangu."

42.Dua ya mgeni kumuombea mwenyeji aliye mlisha chakula “Allahumma baarik-lahum fiymaa razaq-tahum, wagh-fir lahum war-hamhum." 483 Ee Allah, wape baraka kwa hicho ulicho wapa,wasamehe na warehemu."

43.Dua ya kuleta baada ya kupiga chafya Unapopiga chafya hunabudi kusema: “Al-hamdulillaahi" “Sifa zote anastahiki Allah." Kisha ndugu zako Waislamu watasema: “Yar-hamuka llahu." “Allah akurehemu." Kisha utajibu kwa kusema: "Yah-diykumullahu wayusw-lihi baalakum." "Allah akuongozeni na kuwasahilishia mambo yenu." Kama anaeambiwa ni mwanamke
“Utasema yar-hamuki llahu”

44.Dua ya kuwaombea maharusi (waliooana) “Baarakallahulaka,wabaaraka a'layka,wajamaa'baynakumaa fiy khayrin" “Allah akubariki wewe na yeye (mkeo/mumeo) na awaunganishe katika kheri."

45.Dua ya kuleta unapoanza kufanya tendo la ndoa “Bi smi l lahi A l lahumma jannib-nashshay - twaana wajannibish-shytwaana maarazaq-tanaa". “Kwa jina la Allah, Ee Allah muweke shetani mbali nasi na muweke shetani mbali na hicho ulichoturuzuku."

46.Dua ya kuleta unapopandwa na hasira “Au'udhubillaahi minash-shaytwaani rrajiimi" “Najikinga kwa Allah na shetani aliyelaaniwa."

47.Dua ya kuleta mwisho wa kikao (mkutano) "Sub-haanaka llahumma wabihamdika, ash-hadu an-laa ilaha illa anta as-taghfiruka wa-atuubu ilayka." "Utukufu ni wako, Ee Allah, nakutukuza. Ninashuhudia kuwa hapana Mola ila wewe. Nakuomba msamaha na ninatubia kwako."

48.Dua unayomuombea yule aliyekufanyia jambo zuri “Jazaka llahu khayran" “Allah akulipe kheri."

49.Dua ya kuomba kuepushwa na shirk “Allahumma inniy au'udhubika an-ush-rika bika waanaaaa'lamu, wa-astagh-firuka limaa laa-aa'lamu." "Ewe Allah, najikinga kwako nisikushirikishe huku nikijua na naomba unisamehe kwa lile (baya) nitakalolifanya bila kujua."

50.33.Dua ya kupokelea sadaqa au zawadi "Baarakallahu fiykum." “Baraka za Allah ziwe juu yenu." Na aliyetoa zawadi/swadaqa na akaombewa hivi atajibu "Wafiyhim baarakallahu." "Pia Allah awabariki."


                   

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Sunnah Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 781


Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zifazofanana:-

MASHARTI YA KUKUBALIWA KWA DUA
MASHART YA KUKUBALIWA KWA DUA. Soma Zaidi...

DUA ZA KUSWALIA, KUAMKA, WACHAWI, MAJINI, ASUBUHI, NA JIONI NA NYINGINEZO
Soma Zaidi...

Hali ambazo akiwa nazo mwenye kuomba dua dua yake hujibiwa
Post hii inakwenda kukifundisha nibhali zipi ukiwa nazo, basi dua yako kuhubaliwa kwa urahisi. Soma Zaidi...

AMRI YA KUMFUATA MTUME (s.a.w9)
Amri ya Kumfuata Mtume (s. Soma Zaidi...

ADABU ZA KUOMBA DUA
ADABU ZA KUOMBA DUA. Soma Zaidi...

DUA ZA SWALA
DUA ZA SWALA 1. Soma Zaidi...

HALI AMBAZO MTU AKIOMBA DUA HUJIBIWA
HALI AMBAZO MTU AKIOMBA DUA ITAJIBIWA. Soma Zaidi...

Hadithi Ya 32: Kusiwe Na Kudhuriana Wala Kulipiza Dhara
الحديث الثاني والثلاثون "لا ضرر ولا ضرار" عَنْ أَبىِ سَعيدٍ سَعْدِ بْن مَالكِ بْن سِنَانٍ الْخُدريِّ رضي الله عنه  أَنَّ رَسُولَ اللّ?... Soma Zaidi...

Usiku wa lailat al qadir maana yake na fadhila zake. Nini ufanye katika usiku wa lailat al-qadir
Soma Zaidi...

DUA DHIDI YA WASIWASI, UCHAWI NA MASHETANI
DUA ZA KUONDOA WASIWASI, SIHIRI NA UCHAWI 1. Soma Zaidi...