Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai

Makala hii inakwenda kukuletea orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi. Vitamini C vinajulikana kwa umuhimu wake kwenye miili yetu hasa katika kuipa nguvu miili yetu katika kupambana na maradhi. Kwa wingi vitamini C tunaweza kuvipata katika matunda yafuatayo:-
1.Pilipili nyekundu
2.Machungwa
3.Madanzi
4.Malimao na ndimu
5.Pera (mapera)
6.Pilipili za njano
7.Matunda aina ya kiwi
8.Mapapai
9.Nanasi
10.Maembe
11.Tikiti maji
12.Nyanya
13.Pensheni
14.Zabibu
15.Epo
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin A
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Vijuwe vyakula vya kyongeza nguvu za kiume na mambo yanayopunguza nguvu za kiume
Soma Zaidi...vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madini ya Shaba mwilini,ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini, kama ifuatavyo
Soma Zaidi...