Uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama.

Posti hii inahusu zaidi uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama, kwa kawaida uchungu unapaswa kuwa ndani ya masaa Kumi na mawili ila Kuna wakati mwingine uchungu unaweza kuwa zaidi ya masaa Kumi na mawili na kusababisha madhara yasiyo ya kawaida kwa Mama n

1. Kwanza kabisa uchungu usio wa kawaida ni uchungu ambao utokea zaidi ya massa kumi na mawili na uchungu unakuwa na nguvu kama kawaida na mtoto hatoki tumboni mwa Mama  kwa hiyo Kuna sababu zinazosababisha uchungu kupita mda wake,

 

2.  Uchungu kuwa kidogo.

Kwa kawaida uchungu unapaswa kuwa na nguvu Ili kuweza kumfanya mtoto apite na kuzaliwa mapema lakini tatizo utokea pale uchungu unapokuwa kidogo na kusababisha mtoto asitoke mapema na pia mtoto anakuwa Hana uwezo wa kusukuma viungo vya Mama na kusababisha uchungu, hali inayofanya mtoto kutozaliwa mapema kwa mda 

 

3. Kiuno cha Mama kushindwa kupitisha mtoto, Kuna wakati mwingine muundo wa kiuno cha Mama ushindwa kupitisha mtoto na hivyo kusababisha uchungu kuwapo kwa mda mrefu, hali hii kwa kitaalamu huitwa cephalopelvic disproportion, kwa hiyo wauguzi na wote wanaozalisha wanapaswa kumtambua tatizo hili na kuhakikisha kuwa mtoto anapata sehemu Sahihi ya kupita na ikiwezekana upasuaji unapaswa kutolewa Ili kuruhusu mtoto apitishwe.

 

4. Ikitokea mtoto akakosa msaada wa haraka na kukaa tumbo bila kutoka hali hii usababisha mtoto kuchoka sana na Mama akilazimisha kusukuma akiwa kwenye hali hii anaweza kusababisha kumuua mtoto kwa kumbana na kusababisha ulemavu kwa Mama kwa hiyo ni vizuri kabisa Mama kuangaliwa njia mapema Ili kuweza kumtambua kama mtoto ataweza kuzaliwa kwa njia ya kawaida au upasuaji ufanyike, kwa hiyo Ili kuokoa maisha ya Mama na mtoto ni vizuri kuwepo wahudumu wenye sifa za kuzalisha.

 

5. Mtoto kutanguliza USO.

Kuna wakati mwingine mtoto utanguliza uso badala ya kichwa hali hii usababisha mtoto kushindwa kutoka na kutumia mda mrefu wa mtoto kuzaliwa, kwa hiyo Mama anaweza kupata uchungu kwa mda mrefu kwa sababu ya kitangulizi cha mtoto, ni vizuri kabisa kuangalia mtoto katanguliza nini Ili kuweza kuepuka mtoto kuzaliwa amechoka na kusababisha matatizo kwa Mama na mtoto pia

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1859

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 web hosting    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Njia za kuzuia Malaria kwa wajawazito

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia Malaria kwa wajawazito na watoto wao wakiwa bado tumboni, tunajuwa wazi kuwa wajawazito wakipata Malaria inaweza kupelekea mimba kutoka kwa hiyo ili kuzuia tatizo hili zifuatazo ni njia zilizowekwa ili kuz

Soma Zaidi...
Kutoka kwa mimba, sababu za kutoka kwa mimba, dalili za kutoka mimba na kuzuia mimba kuoka

Mimba inapotoka ina dalili, na zipo sababu kadhaa za kutoka kwa mimba. Je utazuiaje mimba kutoka. Soma makala hii

Soma Zaidi...
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa wanawake.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kufunga kizazi kwa wanawake.

Soma Zaidi...
Zijuwe Dalili za minyoo na dalili kuu 9 za minyoo

Utajifunza dalili za minyoo, sababu za minyoo na namna ya kujiepusha na minyoo. Dalili kuu 5 za minyoo mwilini

Soma Zaidi...
Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba kutoka.

Post hii inahusu zaidi dalili za mimba kutoka, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mimba zote ambazo utaka kutoka kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Dalili za mama mjamzito akikaribia kujifungua

Post hii inazungumzia mama wajawazito Mara tu mama anapohisi kuwa yeye ni mjamzito anashauriwa kuanza clinic.na clinic hizi zinasaidia kuwapatia wakina mama elimu,namna ya kumkinga Mtoto asipatwe na maradhi Kama UKIMWI. Pia mama anapoanza clinic

Soma Zaidi...
Kazi ya homoni ya testosterone

Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya testosterone, hii homoni kwa kiwango kikubwa ukutwa kwa wanaume ndiyo homoni ambayo umfanya mwanaume aonekane jinsi alivyokuwa na sifa zake zote.

Soma Zaidi...