Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kupatikana ikiwa mwili unaweza kujaa sumu, kwa sababu mwili unapaswa kuwa huru Ili kuweza kufanya vizuri kazi yake ila ikiwa utajaa Sumu Kuna hatari mbalimbali zinaweza kutokea kama vile.
1.mwili ukijaa Sumu Kuna madhara ya kupata maambukizi kwenye Figo kwa kawaida tunafahamu kazi kubwa ya Figo kwa hiyo Figo likipata matatizo kunakuwepo na Sumu nyingi mwilini hali ambayo usababisha matatizo mengi mwilini na Figo ushindwa kufanya kazi yake.
2. Vile vile kunakuwepo na maambukizi kwenye inii , kwa kawaida Sumu ikiwa nyingi mwilini na ini linakuwa na kazi kubwa ya kuweza kufanya kazi yake hali ambayo usababisha maambukizi kwenye inii hali inayosababisha ini kushindwa kufanya kazi yake au inafanya kazi kwa shida kubwa.
3. Pia Sumu ikiwa nyingi mwilini Kuna tatizo la kupata ugumba, kwa sababu ya kuenea kwa Sumu na kazi ya homoni za uzalishaji upata shida sana hali ambayo usababisha kuwepo kwa ugumba kwa hiyo ni vizuri kabisa kupunguza Sumu mwilini Ili kuweza kufanya kuwepo kwa mimba.
4. Pia kuwepo kwa Sumu mwilini usababisha kuwepo kwa uvimbe kwenye mwili au pengine uvimbe kwenye kizazi kwa sababu Sumu nyingi uweza kujilunda kwenye sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha kuwepo kwa uvimbe.
5. Kuwepo kwa shinikizo la damu.
Kwa sababu ya kuwepo kwa Sumu kwenye mishipa usababisha moyo kusukuma damu kwa shida na hivyo usababisha shinikizo la damu.
6. Kwa hiyo baada ya kuona hasara mbalimbali ambazo utokana na uwepo kwa Sumu mwilini tunapaswa kuhakikisha kuwa tunaepukana na vitu ambayo usababisha kuwepo kwa Sumu kwenye mwili na kuimarisha afya zetu vizuri Ili tuweze kuepukana na tatizo la kuwepo kwa Sumu mwilini
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Malaria husababishwa na vimelea (parasite) ambavyo husambazwa ama kubebwa na mbu aina ya anopheles.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za saratani ya ini, ni baadhi ya Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na kuona kwamba mtu fulani ana saratani ya ini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ukimwi za kwenye ulimi na mdomo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu maambukizi chini ya kitovu ni madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mgonjwa pale ambapo matibabu yanapokuwa hayatolewi kwa mgonjwa wa maumivu chini ya kitovu.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa akili .
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo na sababu zake
Soma Zaidi...Saratani ya kwenye Njia ya haja kubwa ni aina isiyo ya kawaida ambayo kitaalamu hujulikana Kama saratani ya mkundu.Mfereji wa mkundu ni mirija fupi iliyo mwisho wa puru yako ambayo kinyesi hutoka mwilini mwako. Saratani ya kwenye Njia ya ha
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na maumivu ya shingo na ndani yake kunasababu zinazopelekea shingo kupata maumivu.
Soma Zaidi...Hapautajifunza rangi kuu za mkojo na dalili zako kiafya, mkojo mchafu na dalili zake
Soma Zaidi...