image

Madhara ya mwili kujaa sumu

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kupatikana ikiwa mwili unaweza kujaa sumu, kwa sababu mwili unapaswa kuwa huru Ili kuweza kufanya vizuri kazi yake ila ikiwa utajaa Sumu Kuna hatari mbalimbali zinaweza kutokea kama vile.

Madhara ya mwili kujaa sumu.

1.mwili ukijaa Sumu Kuna madhara ya kupata maambukizi kwenye Figo kwa kawaida tunafahamu kazi kubwa ya Figo kwa hiyo Figo likipata matatizo kunakuwepo na Sumu nyingi mwilini hali ambayo usababisha matatizo mengi mwilini na Figo ushindwa kufanya kazi yake.

 

2. Vile vile kunakuwepo na maambukizi kwenye inii , kwa kawaida Sumu ikiwa nyingi mwilini na ini linakuwa na kazi kubwa ya kuweza kufanya kazi yake hali ambayo usababisha maambukizi kwenye inii hali inayosababisha ini kushindwa kufanya kazi yake au inafanya kazi kwa shida kubwa.

 

3. Pia Sumu ikiwa nyingi mwilini Kuna tatizo la kupata ugumba, kwa sababu ya kuenea kwa Sumu na kazi ya homoni za uzalishaji upata shida sana hali ambayo usababisha kuwepo kwa ugumba  kwa hiyo ni vizuri kabisa kupunguza Sumu mwilini Ili kuweza kufanya kuwepo kwa mimba.

 

4. Pia kuwepo kwa Sumu mwilini usababisha kuwepo kwa uvimbe kwenye mwili au pengine uvimbe kwenye kizazi kwa sababu Sumu nyingi uweza kujilunda kwenye sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha kuwepo kwa uvimbe.

 

5. Kuwepo kwa shinikizo la damu.

Kwa sababu ya kuwepo kwa Sumu kwenye mishipa usababisha moyo kusukuma damu kwa shida na hivyo usababisha shinikizo la damu.

 

6. Kwa hiyo baada ya kuona hasara mbalimbali ambazo utokana na uwepo kwa Sumu mwilini  tunapaswa kuhakikisha kuwa tunaepukana na vitu ambayo usababisha kuwepo kwa Sumu kwenye mwili na kuimarisha afya zetu vizuri Ili tuweze kuepukana na tatizo la kuwepo kwa Sumu mwilini





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1363


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Ujuwevmv ugonjwa Nimonia na dalili zake
Nimonia ni Hali ya kuvimba pafu inayoathiri hasa vifuko vya hewa viitwavyo Alveoli, husababishwa na Maambukizi ya virusi Soma Zaidi...

Dalili za macho makavu.
Posti hii inahusu zaidi njia za kutambua Dalili za macho makavu, kama tulivyotangulia kuona kubwa macho kuwa makavu Usababishwa na sehemu ya kuzalisha maji kwenye jicho kushindwa kufanya kazi na jicho hilo huwa kavu na Dalili zake ni kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Dalili za maambukizi kwenye magoti
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa Kuna maambukizi kwenye magoti, kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha maumivu au maambukizi kwenye magoti Kuna dalili za mwanzo ambazo zinajitokeza kama tutakavyoona hapo chini Soma Zaidi...

Dalilili zinazotokea kwenye mrija wa mkojo
Mrija wa mkojo hutoa mkojo nje ya mwili lakini mrija huu unapoziba hufanya utoaji wa mkojo kutoka kwa shida au maumivu Soma Zaidi...

Ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri.
Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa vipele kwenye midomo na sehemu za siri .Ni ugonjwa ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster Soma Zaidi...

Nini kinasababisha kizunguzungu?
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za kizunguzungu zinazotekea katika mwili wa binadamu Soma Zaidi...

Dalili za sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia)
sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia) huhusishwa kwa kawaida na matibabu ya Kisukari. Hata hivyo, hali mbalimbali, nyingi zikiwa nadra, zinaweza kusababisha sukari ya chini ya damu kwa watu wasio na Kisukari. Kama vile Homa, Hy Soma Zaidi...

Dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanawake
Somo hili linakwenda kukuletea dalili za fangasi wa sehemu za Siri kwa wanawake Soma Zaidi...

Njia za kupambana na fangasi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na fangasi Soma Zaidi...

Dalili zinazonesha kuungua kwa Mdomo (burning mouth)
Ugonjwa wa mdomo unaoungua ni neno la kimatibabu kwa ajili ya kuungua kinywani kwa mara kwa mara (kwa muda mrefu) bila sababu dhahiri. Usumbufu huo unaweza kuathiri ulimi wako, ufizi, midomo, ndani ya mashavu yako, paa la mdomo wako au maeneo yaliyoenea Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa wa hepatitis A
Hepatitis A ni ugonjwa wa kuambukiza wa ini unaosababishwa na virusi vya Hepatitis A. Virusi ni mojawapo ya aina kadhaa za virusi vya Hepatitis vinavyosababisha kuvimba na kuathiri uwezo wa ini wako kufanya kazi. Soma Zaidi...

Njia za kusambaa kwa ugonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine
Posti hii inahusu zaidi jinsi magonjwa yanavyosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine. Soma Zaidi...