picha

Madhara ya mwili kujaa sumu

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kupatikana ikiwa mwili unaweza kujaa sumu, kwa sababu mwili unapaswa kuwa huru Ili kuweza kufanya vizuri kazi yake ila ikiwa utajaa Sumu Kuna hatari mbalimbali zinaweza kutokea kama vile.

Madhara ya mwili kujaa sumu.

1.mwili ukijaa Sumu Kuna madhara ya kupata maambukizi kwenye Figo kwa kawaida tunafahamu kazi kubwa ya Figo kwa hiyo Figo likipata matatizo kunakuwepo na Sumu nyingi mwilini hali ambayo usababisha matatizo mengi mwilini na Figo ushindwa kufanya kazi yake.

 

2. Vile vile kunakuwepo na maambukizi kwenye inii , kwa kawaida Sumu ikiwa nyingi mwilini na ini linakuwa na kazi kubwa ya kuweza kufanya kazi yake hali ambayo usababisha maambukizi kwenye inii hali inayosababisha ini kushindwa kufanya kazi yake au inafanya kazi kwa shida kubwa.

 

3. Pia Sumu ikiwa nyingi mwilini Kuna tatizo la kupata ugumba, kwa sababu ya kuenea kwa Sumu na kazi ya homoni za uzalishaji upata shida sana hali ambayo usababisha kuwepo kwa ugumba  kwa hiyo ni vizuri kabisa kupunguza Sumu mwilini Ili kuweza kufanya kuwepo kwa mimba.

 

4. Pia kuwepo kwa Sumu mwilini usababisha kuwepo kwa uvimbe kwenye mwili au pengine uvimbe kwenye kizazi kwa sababu Sumu nyingi uweza kujilunda kwenye sehemu mbalimbali za mwili na kusababisha kuwepo kwa uvimbe.

 

5. Kuwepo kwa shinikizo la damu.

Kwa sababu ya kuwepo kwa Sumu kwenye mishipa usababisha moyo kusukuma damu kwa shida na hivyo usababisha shinikizo la damu.

 

6. Kwa hiyo baada ya kuona hasara mbalimbali ambazo utokana na uwepo kwa Sumu mwilini  tunapaswa kuhakikisha kuwa tunaepukana na vitu ambayo usababisha kuwepo kwa Sumu kwenye mwili na kuimarisha afya zetu vizuri Ili tuweze kuepukana na tatizo la kuwepo kwa Sumu mwilini

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2358

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 web hosting     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Dalili na Ishara za mawe kwenye figo

Mawe kwenye figo yana sababu nyingi na yanaweza kuathiri sehemu yoyote ya njia yako ya mkojo kutoka kwa figo hadi kibofu chako.

Soma Zaidi...
Dalili za maambukizi kwenye ovari

Posti hii inahusu zaidi dalili za maambukizi kwenye ovari, ni maambukizi ambayo hutokea kwenye ovari na kusababisha matatizo makubwa kama mgonjwa haujatibiwa mapema.

Soma Zaidi...
Dalili za minyoo na sababu zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo na sababu zake

Soma Zaidi...
Dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kuishiwa damu

Posti hii inahusu zaidi dalili za mtu mwenye ugonjwa wa kupungukiwadamu, ni dalili zinazoonekana kwa mtu Mwenye tatizo la upungufu wa damu.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo

Posti hii inaonyesha namna ya kujizuia,Mambo ya Hatari,na na Mambo yanayopelekea Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo

Soma Zaidi...
Sasa UKIMWI unatokeaje?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo UKIMWI hutokea

Soma Zaidi...