picha

Halow samahan dokta nmekuwa nikiumwa tumbo muda mwingi takriban wiki ya 3 halipon naharisha kuna muda nikila chakula hata kama kdogo tu maumivu makali,je nifanyaje msaada

Mvurugiko katika mfumo wa chakula mwilinivunaweza kusababisha maumivu ya tumbo, kuharisha, kutapika na kuchoka pia. Lakini zipo sababu nyingine kama kuwana ujauzito. Nini ufanye endapo unasumbuliwana hali hii

🌿Swali

Halow samahan dokta nmekuwa nikiumwa tumbo muda mwingi takriban wiki ya 3 halipon naharisha kuna muda nikila chakula hata kama kdogo tu maumivu makali,je nifanyaje msaada  mimi ni mwanamke. 

 

Jibu

Pole sana kwa maumivu. Na hata kuharisha.  Kama ulivyoona maelezo hapo juu kuhusu sababu za maumivu ya tumbo. 

 

Huwenda ni moja kati ya sababu ambazo zimetajwa hapo juu ilapia inawezekana Ikea ni tyohid. 

 

Huwenda pia una ujauzito,  ama ni nvurugiko wa tumbo kitalima na maji ama vyakula

 

Ushauri wangu fika hospitali kwa vipimo zaidi na matibabu. 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1479

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Dua za Mitume na Manabii     πŸ‘‰2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     πŸ‘‰3 Bongolite - Game zone - Play free game     πŸ‘‰4 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰5 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

Maambukizi ya magonjwa ya ngono

Posti hii inahusu athari za maambukizi ya magonjwa ya ngonoΒ  ambapo magonjwa ya ngono isipokuwa UKIMWIΒ  yanatibika .mgonjwa anashauriwa kuwahi hospitali au kituo chochote cha afya kupata matibabu mara anapoona dalili za magonjwa haya.

Soma Zaidi...
Dalili za UTI upande wa wanawake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UTI upande wa wanawake

Soma Zaidi...
Njia za kujilinda na kujikinga na UTI

Somo hili linakwenda kukuletea njia za kujilinda na kujikinga na UTI

Soma Zaidi...
Maambukizi ya ngozi (Cellulitis): Dalili na tiba ya hospitalini.

Ufafanuzi: Ugonjwa wa dharura wa maambukizi ya bakteria kwenye tabaka za ndani za ngozi.Maeneo Yanayoathiriwa Zaidi: Mara nyingi hutokea kwenye miguu, ingawa unaweza kuathiri sehemu yoyote ya mwili ikiwemo uso na mikono.Dalili Kuu: Ngozi kuwa nyekundu, kuvimba, kuhisi joto kali, maumivu makali, na kutoa malengelenge au michirizi myekundu.Tiba ya Hospitalini: Matumizi ya viuavijasumu (antibiotics) vya kumeza au vya kuwekewa kwenye mishipa ya damu (Intravenous) kulingana na ukali wa maambukizi.Matatizo: Isipotibiwa, inaweza kusababisha maambukizi kwenye damu (sepsis), uharibifu wa tishu (necrotizing fasciitis), au maambukizi kwenye mifupa (osteomyelitis).

Soma Zaidi...
Dalili za HIV kwa Mwanamke Mjamzito

Makala haya yanalenga kutoa uelewa muhimu kuhusu virusi vya UKIMWI (HIV) na ujauzito. Tutachunguza dalili zinazoweza kujitokeza, umuhimu wa upimaji wa mapema kwa afya ya mama na mtoto, na jinsi ya kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto (PMTCT).

Soma Zaidi...
Jinsi ya kupunguza maumivu ya hedhi kwa njia asilia.

Maumivu ya tumbo wakati wa hedhi, kitaalamu kama dysmenorrhea, huwasumbua wanawake wengi kila mwezi. Ingawa mara nyingi hutibika kwa dawa za dukani, njia za asili zinaweza kusaidia sana kupunguza makali ya maumivu hayo bila kuathiri mfumo wa mmeng'enyo wa chakula au figo. Makala hii inaangazia mbinu bora za asili unazoweza kuzitumia nyumbani ili kupata nafuu.

Soma Zaidi...