Sababu za kutokea uvimbe kwenye kizazi.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi,kwa kawaida tumesikia akina mama wengi wanalalamika kuhusu kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na wengine hawajui sababu zake kwa hiyo sababu zifuatazo ni za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

Sababu za uvimbe kwenye kizazi.

1.kuongezeka kwa vichocheo vya homoni ambazo ni progesterone homoni na oestrogen homoni.

Hizi homoni kwa kawaida zinakuwepo kwenye mwili ila ikitokea zikaongezeka zaidi zinaweza kuleta madhara ya kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi kwa hiyo hizi homoni zinapaswa kuwepo kwa kiwango maalumu sio kuzidi sana.

 

2. Kuwepo kwa ujauzito.

Kwa kawaida ujauzito uweza kusababisha kuwepo kwa uvimbe kwa sababu wakati wa kujifungua kuna uchafu mwingine ukibaki uweza kusababisha kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

 

3. Uzito na unene kupita kiasi.

Kwa wakati mwingine kuna kiasi cha uzito au unene kupita kiasi kwa sababu mwili ni kama umejaza vitu mbalimbali na ambavyo havina mazoezi kwa hiyo uendelee ujirunda ndani na hatimaye kusababisha uvimbe kwenye kizazi.

 

4. Kuwepo kwa mfumo usio sawa wa mishipa ya damu.

Kitendo cha kuwepo kwa mfumo usio sawa wa mishipa ya damu Usababisha uvimbe kwa sababu kwa wakati mwingine damu haiwezi kusafili kutoka sehemu moja kwenda nyingine na hali hii Usababisha uvimbe kwenye kizazi.

 

5. Sababu za kuridhi.

Kuna familia nyingine huwa na tatizo hili la kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na kufanya kila mtoto anayezaliwa kwenye familia hiyo kuwa nao hii ni kwa sababu familia hiyo inakuwa na uzalishaji wa homoni zisizofaa na kusababisha uvimba kwa kizazi.

 

6. Lishe isiyofaa 

Kuwepo kwa lishe isiyofaa nalo ni tatizo la kufanya uvimbe kwenye kizazi kwa sababu tunajuwa wazi kuwa chakula ni dawa kwa hiyo bila lishe ya muhimu kila ugonjwa utakushambulia. Kwa hiyo tunapaswa kutumia vyakula vya kutosha na vyenye lishe bora

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2090

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Zifahamu sifa za mtoto mchanga.

Posti hii inahusu zaidi sifa ambazo mtoto mchanga anapaswa kuwa Nazo,ni sifa ambazo lazima zionekane kwa mtoto mchanga pale anapozaliwa na zikikosa ni lazima kuja kuwa mtoto ana matatizo mbalimbali kwa hiyo zifuatazo ni sifa za mtoto mchanga kama ifuatavy

Soma Zaidi...
Nimetoka kufanya tendo la ndoa ghafla tumbo likaanza kukaza upande wa kushoto na kutoka maji yenye uzito wa kawaida kama ute mengi je hii itakuwa ni nini

Maumivu yavtumbo huwenda yakachanganya sana, Keane yanahusianana sababu nyingi sana. Kina baadhi ya watu hupata na maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa ama punde tu baada ya kumaliza.

Soma Zaidi...
Mbinu za kupunguza Kichefuchefu

Point hii inahusu zaidi mbinu za kupunguza Kichefuchefu hasa kwa wagonjwa na watumiaji wa madawa mbalimbali yanayoweza kusababisha kichefuchefu.

Soma Zaidi...
Ndug mi naitaj ushauri mimi nishaingia kwenye tendo dakika 7 tu nakua nishafika kilelen naomba ushauri ndugu

Kama unadhani una tatizo la kuwahi kufika kileleni basi post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya Matiti kwa Mama mjamzito

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye Matiti kwa Mama mjamzito, hali hii utokea pale ambapo mama akibeba mimba Kuna mabadiliko kwenye Matiti kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Namna ya kutunza joto la mtoto mara tu baada ya kuzaliwa.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha i

Soma Zaidi...
Vipimo muhimu wakati wa ujauzito

Post hii inahusu zaidi vipimo muhimu wakati wa ujauzito ni vipimo ambavyo vinapaswa kupimwa na Mama ili kuangalia mambo mbalimbali katika damu au sehemu yoyote, pia vipimo hivi umsaidia sana Mama kujua afya yake.

Soma Zaidi...
Fahamu matatizo yanayowapata watoto waliozaliwa kabla ya wakati au mapema (premature)

Kuzaa kabla ya wakati ni kuzaliwa ambayo hufanyika zaidi ya wiki tatu kabla ya kuzaliwa kwa mtoto au kuzaliwa mapema ni moja ambayo hutokea kabla ya mwanzo wa wiki ya 37 ya ujauzito. Kawaida, ujauzito hudumu kama wiki 40.

Soma Zaidi...