Home Afya Shule ICT Burudani Dini Maktaba Maswali Madrasa Apps Blog Legacy Login

SABABU ZA KUTOKEA UVIMBE KWENYE KIZAZI.


image


Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi,kwa kawaida tumesikia akina mama wengi wanalalamika kuhusu kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na wengine hawajui sababu zake kwa hiyo sababu zifuatazo ni za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.


Sababu za uvimbe kwenye kizazi.

1.kuongezeka kwa vichocheo vya homoni ambazo ni progesterone homoni na oestrogen homoni.

Hizi homoni kwa kawaida zinakuwepo kwenye mwili ila ikitokea zikaongezeka zaidi zinaweza kuleta madhara ya kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi kwa hiyo hizi homoni zinapaswa kuwepo kwa kiwango maalumu sio kuzidi sana.

 

2. Kuwepo kwa ujauzito.

Kwa kawaida ujauzito uweza kusababisha kuwepo kwa uvimbe kwa sababu wakati wa kujifungua kuna uchafu mwingine ukibaki uweza kusababisha kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

 

3. Uzito na unene kupita kiasi.

Kwa wakati mwingine kuna kiasi cha uzito au unene kupita kiasi kwa sababu mwili ni kama umejaza vitu mbalimbali na ambavyo havina mazoezi kwa hiyo uendelee ujirunda ndani na hatimaye kusababisha uvimbe kwenye kizazi.

 

4. Kuwepo kwa mfumo usio sawa wa mishipa ya damu.

Kitendo cha kuwepo kwa mfumo usio sawa wa mishipa ya damu Usababisha uvimbe kwa sababu kwa wakati mwingine damu haiwezi kusafili kutoka sehemu moja kwenda nyingine na hali hii Usababisha uvimbe kwenye kizazi.

 

5. Sababu za kuridhi.

Kuna familia nyingine huwa na tatizo hili la kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na kufanya kila mtoto anayezaliwa kwenye familia hiyo kuwa nao hii ni kwa sababu familia hiyo inakuwa na uzalishaji wa homoni zisizofaa na kusababisha uvimba kwa kizazi.

 

6. Lishe isiyofaa 

Kuwepo kwa lishe isiyofaa nalo ni tatizo la kufanya uvimbe kwenye kizazi kwa sababu tunajuwa wazi kuwa chakula ni dawa kwa hiyo bila lishe ya muhimu kila ugonjwa utakushambulia. Kwa hiyo tunapaswa kutumia vyakula vya kutosha na vyenye lishe bora



Sponsored Posts


  ๐Ÿ‘‰    1 Magonjwa na afya       ๐Ÿ‘‰    2 Jifunze fiqh       ๐Ÿ‘‰    3 Hadiythi za alif lela u lela       ๐Ÿ‘‰    4 ICT       ๐Ÿ‘‰    5 Maktaba ya vitabu       ๐Ÿ‘‰    6 Madrasa kiganjani    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS

Imeandikwa na Salvertory Tags AFYA , Uzazi , ALL , Tarehe 2022/03/07/Monday - 09:04:44 am     Share On facebook or WhatsApp Topic school Zaidi Dini AFYA ICT Burudani Tags Uzazi maswali Afya mengineyo dini HIV Sira vyakula Matunda HTML php Alif Lela 1 Alif Lela 2 FANGASI Dawa SQL Tips Quran Sunnah fiqh DARSA Magonjwa Tajwid tawhid simulizi Dua Academy Wahenga chemshabongo WAJUWA Michezo ICT Imesomwa mara 1497



Post Nyingine


image Jinsi mimba inavyotungwa na namna ambavyo jinsia ya mtoto inavyotokea
Posti hii hasa inahusu kasoro ,utatuzi,na jinsi ya kutunga mimba kwa upande wa mwanamke na mwanaumeย  .itatupelekea jinsi ya kuangalia kasoro na jinsi ya kutatua hizo kasoro katika jamii zetu. Soma Zaidi...

image UTI na ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa UTI kwa wajawazito Soma Zaidi...

image Nimetoka kufanya tendo la ndoa ghafla tumbo likaanza kukaza upande wa kushoto na kutoka maji yenye uzito wa kawaida kama ute mengi je hii itakuwa ni nini
Maumivu yavtumbo huwenda yakachanganya sana, Keane yanahusianana sababu nyingi sana. Kina baadhi ya watu hupata na maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa ama punde tu baada ya kumaliza. Soma Zaidi...

image Namna ya kutunza joto la mtoto mara tu baada ya kuzaliwa.
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha ili kuweza kuendelea kukua vizuri na kuepukana na magonjwa. Soma Zaidi...

image Mimi nilipima na kipimo mwenyewe nkakuta mistari miwili iliokoza lkn nikifanya tendo nakua naumia sana tatizo ni Nini docta
Je anapatwa maumivu รฐลธหœยญ makali wakati wa tendo la ndoa ama ukiwa katika hedhi? Soma makala hii hadi mwisho Soma Zaidi...

image Kwa nini hujapata siku zako za hedhi.
Unaweza kupitiliza siku zako za hedhi kwa sababu nyingi. Post hii itakueleza ni kwa nini umechelewa kupata siku zako. Soma Zaidi...

image Kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito faida na hasara zake Soma Zaidi...

image Ay ni iv kipimo cha mimb uanz kutoa majb ndan ya mda gan wik mwez au iko vipi?
Kipimo cha Mlimba huweza kuonyesha mimba changa mapema sana. Pia ni rahisi kutumia na kinapatikana kwa bei nafuu. Je ungeoendavkujuwa ni muda gani kinatoa majibu sahihi? Soma Zaidi...

image Nini husababisha upungufu wa nguvu za kiume
Post hii itakujulidha mambo ambayo hupunguza nguvu za kiume Soma Zaidi...

image Huduma kwa mama mwenye kifafa cha mimba.
Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wajawazito wanaweza kuzipata wakiwa na Dalli au tayari wana kifafa cha mimba. Soma Zaidi...